Storm FM

Recent posts

09/02/2026, 10:55

Wafanyakazi wapongeza uwepo wa GGML Bonanza Day

“Uwepo wa bonanza hili si tu kwaajili ya kucheza michezo mbalimbali bali ni kuimarisha afya za mwili pamoja na mahusiano miongoni mwa wafanyakazi” – Dominic Marandu, mgeni rasmi. Na: Ester Mabula Wafanyakazi wa GGML pamoja na kampuni zilizopo ndani ya…

01/02/2026, 14:01

Serikali yaipongeza GGML kwa mchango wake wa miaka 25

Mgodi wa GGML uliopo mkoani Geita umeendelea kuwa chachu ya maendeleo nchini kupitia ushirikiano wake na serikali katika nyanja mbalimbali za kimaendeleo kupitia Afya, Elimu, Miundombinu nk Na: Ester Mabula Naibu Waziri wa madini Dkt. Steven Kiruswa amesema sekta ya…

26/01/2026, 18:04

Hati za kimila 838 zatolewa kwa wananchi Nyang’hwale

Ugawaji wa hati za kimila ni sehemu ya mkakati wa Serikali wa kuhakikisha wananchi wanakuwa na umiliki halali wa ardhi. Na Mrisho Sadick: Kuelekea siku 100 za uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan,…

26/01/2026, 17:42

Matukio ya watu kufa mto Buluhe Mbogwe sasa basi

Kutokana na mvua za El nino zilizonyesha siku za nyuma serikali imetumia zaidi ya shilingi bilioni 500 kukabiliana na athari za uharibifu huo katika maeneo mbalimbali nchini. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa Kata ya Iponya wilayani Mbogwe mkoani Geita wameishukuru…

26/01/2026, 13:15

Katukula afariki akiwa na miaka 115, aacha familia ya watu 1,989

“Tunashukuru malezi na mafundisho aliyotupa baba yetu na tutayaendeleza kwa uzao wake ikiwa ni kuendelea kuheshimu watu wote katika Jamii” – Mtoto wa marehemu Na: Kale Chongela Historia ya kuishi duniani ya Mzee Jacob Chigabilo Katukula mkazi wa mtaa wa…

25/01/2026, 14:51

Wanafunzi 261 hawajaripoti shule Katoro

Hadi sasa wanafunzi 480 pekee ndio walioripoti katika shule hizo tatu, huku idadi kubwa ya wanafunzi waliopangiwa kujiunga bado hawajafika. Na Mrisho Sadick: Jumla ya wanafunzi 261 kati ya 741 waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza katika shule tatu za…

23/01/2026, 19:34

Kamati ya maendeleo kata ya Kalangalala yatembelea GGML

“Ziara hii imekuwa ni bora sana kwetu na yenye tija kwani itatuwezesha kuelewa kwa upana shughuli zinazofanyika ndani ya mgodi” – Diwani Sagayika Na: Ester Mabula Kamati ya maendeleo ya kata ya Kalangalala, halmashauri ya manispaa ya Geita ikiongozwa na…

23/01/2026, 11:23

Mbunge Chato Kusini atoa bati 200 kuezeka jengo la shule

Shule ya msingi Ndalichako iliyopo katika kijiji na kata ya Bwanga, halmshauri ya wilaya ya Chato mkoani Geita ina jumla ya wa wanafunzi 1045 Na: Ester Mabula Mbunge wa Jimbo la Chato Kusini Mhe. Paschal Lutandula ametoa bati 200 ili…

21/01/2026, 16:11

Nyankumbu yazindua kampeni ya upandaji wa miti laki tano

Siku ya kwanza ya uzinduzi wa zoezi hili imepandwa miti zaidi ya 10,000 katika taasisi za umma na binafsi pamoja na majumbani. Na Mrisho Sadick: Kata ya Nyankumbu, Manispaa ya Geita mkoani Geita, imezindua kampeni maalum ya upandaji wa miti…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.