Storm FM
Storm FM
17 February 2026, 07:52
Mbunge jimbo la Geita mjini, mkoani Geita, Chacha Wambura amewapongeza wananchi kwa kujitoa kutengeneza miundombinu ya barabara huku akisema “katika kipindi cha uongozi wangu nitahakikisha barabara hii inatengenezwa kwa ubora zaidi ili kuondoa changamoto” Na: Ester Mabula Wananchi wa Kata…
16 February 2026, 23:44
Ni mwendelezo wa ziara za diwani wa kata ya Kalangalala kutembelea maeneo mbalimbali kwa lengo la kusikiliza kero za wananchi na kuweza kuzitatua. Na: Ester Mabula Wananchi wakazi wa mtaa wa Nyanza, kata ya Kalangalala, halmashauri ya manispaa ya Geita…
15 February 2026, 11:38
“Nataka niseme kuanzia siku ya Jumanne, barabara zitaanza kufanyiwa matengenezo ili kero hii iweze kuondoka kwa wananchi wa eneo hili kwani serikali ya Rais Samia imetupa fedha kwaajili ya kukarabati miundombinu” – Mbunge Geita mjini, Chacha Wambura Na: Ester Mabula…
15 February 2026, 00:44
“Maendeleo ya kata yetu yanahitaji umoja na ushirikiano na tuweke makundi pembeni, na mimi nawahakikishia nitakuwa kiongozi wa wote bila kumbagua mtu” – Diwani Kulwa Ludaho Na: Ester Mabula Diwani wa Kata ya Ichwankima wilayani Chato, mkoani Geita, Kulwa Elias…
14 February 2026, 01:16
Ziara hiyo imekagua miradi ya BOOST iliyotekelezwa na inayoendelea kutekelezwa. BOOST ni sehemu ya mpango wa lipa kulingana na matokeo katika elimu awamu ya pili (EPforR II) na inachangia utekelezaji wa mpango wa maendeleo wa sekta ya elimu wa miaka…
13 February 2026, 12:28
“Kwenye mkataba wetu hauoneshi kama sisi wapangaji tunatakiwa kuchanga pesa ili kuweza kuzibua choo, hili jambo linapelekea mkanganyiko” – mmoja wa mpangaji Na: Kale Chongela Choo kinachotumiwa na wapangaji 10 katika nyumba inayomilikiwa na Bi. Jedida Kassim iliyopo mtaa wa Ujamaa…
13 February 2026, 12:02
Shirika la THAMINI UHAI limepata ufadhili wa kutekeleza mradi wa Mama mjamzito na mtoto salama kwa muda wa miaka mitano kuanzia Septemba hadi Juni 2030 kupitia ufadhili wa pamoja wa Bloomberg Philanthropies na Gates Foundation. Na: Ester Mabula Shirika la…
9 February 2026, 10:55
“Uwepo wa bonanza hili si tu kwaajili ya kucheza michezo mbalimbali bali ni kuimarisha afya za mwili pamoja na mahusiano miongoni mwa wafanyakazi” – Dominic Marandu, mgeni rasmi. Na: Ester Mabula Wafanyakazi wa GGML pamoja na kampuni zilizopo ndani ya…
1 February 2026, 14:01
Mgodi wa GGML uliopo mkoani Geita umeendelea kuwa chachu ya maendeleo nchini kupitia ushirikiano wake na serikali katika nyanja mbalimbali za kimaendeleo kupitia Afya, Elimu, Miundombinu nk Na: Ester Mabula Naibu Waziri wa madini Dkt. Steven Kiruswa amesema sekta ya…
27 January 2026, 17:10
Baraza la madiwani la halmashauri ya Manispaa ya Geita leo Januari 27, 2026 limejadili na kupitisha rasimu ya bajeti kisasi cha shilingi bilioni 78,811,212,825.7 kwa mwaka wa fedha 2026/2027. Na: Ester Mabula Bajeti hiyo ina ongezeko la 8.3% zaidi ya…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.