Storm FM
Storm FM
28 October 2025, 11:13 am
Idadi ya wananchi waliojiandikisha kwenye daftari la kudumu la mpiga kura ni wilayani Nyang’hwale 124,036 na kuwa jumla ya vituo 360. Na Mrisho Sadick: Mkuu wa wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita, Grace Kingalame, amewahakikishia wananchi wa wilaya hiyo kuwa hali…
27 October 2025, 11:41 am
Oktoba 29, 2025 ni siku ambayo Taifa la Tanzania litafanya uchaguzi mkuu wa kuchagua wabunge, madiwani na Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Na: Ester Mabula Mgombea udiwani (CCM) kata ya Kalangalala Reuben Sagayika amewahimiza wananchi wa kata ya…
25 October 2025, 8:28 pm
Kupitia programu ya uwezeshaji wananchi kiuchumi, Halmashauri ya Wilaya ya Nyang’hwale imefanikiwa kukopesha vikundi 114 kwa mwaka wa fedha 2024/2025, kwa jumla ya shilingi milioni 674.5 Na Mrisho Sadick: Watu wenye ulemavu wilayani Nyang’hwale mkoani Geita wameendelea kunufaika na mpango…
24 October 2025, 6:03 pm
Zimesalia siku 4 ili wananchi nchini waweze kushiriki haki ya msingi na ya kikatiba ya kupiga kura kuchagua madiwani, wabunge na Rais. Na: Ester Mabula Mgombea Udiwani wa kata ya Kalangalala kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Reuben Sagayika…
23 October 2025, 7:38 pm
Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limeendelea kutoa wito kwa wananchi wote kuendelea kudumisha amani, umoja na mshikamano. Na Kale Chongela- Geita Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limewahakikishia wananchi kuwa maandalizi ya ulinzi na usalama yamekamilika kwa kiwango cha…
21 October 2025, 10:06 pm
Elimu hiyo inalenga kuongeza uelewa wa wananchi kuhusu mchakato wa upigaji kura, ili kuhakikisha kila kura inayopigwa inahesabiwa ipasavyo. Na Mrisho Sadick: Zikiwa zimesalia siku nane kuelekea Uchaguzi Mkuu Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Geita kimeendelea kutoa elimu kwa…
21 October 2025, 8:23 am
Lengo la huduma hiyo sasa ni kufika nje ya mkoa wa Geita ili kufikisha ujumbe wa Injili kwa Watanzania wengi zaidi. Na Kale Chongela – Geita Uwepo wa mikutano ya Injili katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Geita umeendelea kuleta…
20 October 2025, 6:05 pm
Wakati zikiwa zimesalia siku nane kuelekea katika uchaguzi mkuu Oktoba 29,2025 jeshi la polisi Geita lawatoa hofu wananchi. Na Mrisho Sadick: Jeshi la Polisi Mkoani Geita limewahakikishia Wananchi wa Mkoa huo usalama wa kutosha wakati na baada ya uchaguzi mkuu…
20 October 2025, 12:51 pm
Hii ni awamu ya nne kupokea madakari bingwa wa mama samia nakwamba katika awamu zilizopita zaidi ya watu 10,000 walifikiwa na huduma hizo. Na Mrisho Sadick: Mkoa wa Geita umepokea madaktari Bingwa 42 kutoka kambi ya Mama Samia watakaotoa huduma…
20 October 2025, 11:50 am
Mradi wa Maji wa Miji 28 Geita ni sehemu ya mpango wa kitaifa unaotekelezwa katika mikoa kadhaa ikiwemo Geita Na Mrisho Sadick: Serikali Mkoani Geita imemtaka mkandarasi anayetekeleza mradi wa maji wa miji 28 wa Bilioni 124 kuhakikisha anakamilisha mradi…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.