Storm FM
Storm FM
13 January 2026, 11:31 am
“Wanawake watatumaliza, kwanini mtu asieleze kuwa kaolewa ili kuondoa matatizo yasiyo ya lazima” – Kijana aliyefumaniwa Na: Ester Mabula Kijana mmoja (jina limehifadhiwa) mwenye umri wa miaka 34 amenusurika kifo baada ya kushambuliwa na wananchi wenye hasira kali, baada ya kufumwa…
12 January 2026, 4:38 pm
Zaidi ya wanafunzi 600 wamepewa madaftari na Diwani wa kata ya Kalangalala ikiwa ni mpango wa kuhakikisha wanafunzi wanakwenda shuleni bila kuwa na kikwazo cha ukosefu wa madaftari. Na: Ester Mabula Wananchi wa kata ya Kalangalala halmashauri ya manispaa ya Geita,…
10 January 2026, 6:38 pm
Januari 13, 2026 shule zote nchini zitafunguliwa na kuanza rasmi kwa mhula mpya wa masomo baada ya kukamilika sikukuu za mwisho wa mwaka. Na: Ester Mabula Diwani wa kata ya Kalangalala wilayani na mkoani Geita Reuben Sagayika leo Januari 10,…
9 January 2026, 7:31 pm
Jumla ya watoto 154 wanalelewa katika kituo cha watoto yatima cha Moyo wa huruma ambacho kinafadhiliwa na kampuni ya Geita Gold Minning Limited. Na: Ester Mabula Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imeendelea kuonesha dhamira yake ya kuwajibika kwa…
9 January 2026, 4:37 pm
Zaidi ya wanafunzi 5,700 kutoka shule saba za msingi na shule moja ya sekondari ndio wanufaika wa moja kwa moja wa mpango huo. Na Mrisho Sadick: Kata ya Shabaka wilayani Nyang’hwale mkoani Geita imelima jumla ya ekari 41 za mahindi…
9 January 2026, 4:09 pm
Mtaa wa Ilungwe unakadiriwa kuwa na idadi ya wakazi zaidi ya 1,500 wanaotegemea huduma za elimu katika mtaa wa Nyamakale ambao upo zaidi ya kilometa tatu. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa Mtaa wa Ilungwe Kata ya Nyankumbu Manispaa ya Geita…
9 January 2026, 12:11 pm
“Kimsingi zoezi la kuandikisha wanafunzi linaendelea hadi Marchi 31, 2026 kwa mujibu wa mwongozo wa serikali kupitia wizara ya elimu” – Mwalimu Mtweve Na: Ester Mabula Afisa elimu mkoa wa Geita Mwalimu Antony Mtweve amewahimiza wazazi na walezi kuendelea kujitokeza…
8 January 2026, 7:01 pm
“Lengo ni kuhakikisha abiria na watumiaji wa barabara wanakuwa katika hali ya usalama pindi wanapotumia stendi hii hususani kipindi cha mvua” – Reuben Sagayika Na: Ester Mabula Wananchi na watumiaji wa kituo kikuu cha mabasi mkoa wa Geita wameishukuru serikali…
8 January 2026, 12:40 pm
Hatua ya kufunga cheni inalenga kudhibiti waendesha pikipiki wanaojihusisha na shughuli za usafirishaji bila kuwa na vitambulisho. Na Kale Chongela: Uongozi wa egesho la pikipiki la Lukilini lililopo Mtaa wa Mkoani Kata ya Kalangalala Manispaa ya Geita umeanza kutekeleza agizo…
8 January 2026, 11:36 am
Ucheleweshaji wa marejesho una punguza juhudi za serikali kuendelea kutoa fedha za mikopo kwa vikundi vingine. Na Mrisho Sadick: Halmashauri ya Wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita imewataka wanufaika wa mikopo ya asilimia 10 kutumia teknolojia ya mawasiliano ikiwemo mitandao ya…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.