Storm FM

Recent posts

18 November 2025, 12:21 pm

Maafisa maendeleo Geita wapewa maagizo mazito

Fursa ya ufugaji wa Samaki kwa kutumia vizimba iliyokuwa haitazamwi sana kwasasa imekuwa kimbilio Na Mrisho Sadick: Serikali Mkoani Geita imewataka maafisa maendeleo kuhakikisha wanakuwa daraja muhimu la kuwakwamua Wananchi kiuchumi kwa kuibua fursa mbalimbali zinazopatikana kwenye maeneo yao ikiwemo…

18 November 2025, 12:02 pm

Kikao cha moto kati ya Jeshi la polisi na Bodaboda Geita

Jeshi la polisi limewataka waendesha Bodaboda mkoani Geita kuepukana na matukio yanayoweza kuhatarisha usalama wa maisha yao. Na Edga Rwenduru: Jeshi la polisi mkoani Geita limetoa maelekezo kwa umoja wa waendesha pikipiki mkoa wa Geita kuhakikisha wanasimamia  sheria ndogo ndogo…

13 November 2025, 1:50 pm

Wananchi na TFS wajenga Zahanati ya kijiji Chato

Suala la wananchi wa Butengorumasa kujitolea kwa hiari yao kuanzisha ujenzi wa Zahanati imekuwa mkombozi kwao baada ya TFS kuingilia kati nakukamilisha ujenzi huo. Na Mrisho Sadick: Wakala wa huduma za misitu Tanzania TFS kwa kushirikiana na wakazi wa kijiji…

13 November 2025, 1:30 pm

Bei ya viazi mviringo ,chips yapaa Geita mjini

Kwasasa gunia la viazi mviringo limepanda kutoka shilingi elfu sabini na tano 75,000 hadi zaidi ya laki moja 100,000 Na Mrisho Sadick: Wafanyabiashara wa viazi mviringo katika soko la Nyankumbu mkoani Geita wameamua kupandisha bei ya bidhaa hiyo kutokana na…

11 November 2025, 4:55 pm

Barabara za TACTIC Geita mjini kukamilika mapema mwaka kesho

Mkandarasi wa mradi huo hatapewa muda wa nyongeza baada ya siku 100 kukamiliza mapema mwezi wa pili mwaka kesho. Na Mrisho Sadick: Wananchi wa Mtaa wa Mwatulole Manispaa ya Geita Mkoani Geita wameiomba serikali kuendelea kumsukuma mkandarasi anayetekeleza mradi wa…

28 October 2025, 11:13 am

Nyan’ghwale iko shwari kuelekea uchaguzi kesho

Idadi ya wananchi waliojiandikisha kwenye daftari la kudumu la mpiga kura ni wilayani Nyang’hwale 124,036 na kuwa jumla ya vituo 360. Na Mrisho Sadick: Mkuu wa wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita, Grace Kingalame, amewahakikishia wananchi wa wilaya hiyo kuwa hali…

27 October 2025, 11:41 am

“Kura yako ni mustakabali wako miaka mitano ijayo” – Reuben

Oktoba 29, 2025 ni siku ambayo Taifa la Tanzania litafanya uchaguzi mkuu wa kuchagua wabunge, madiwani na Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Na: Ester Mabula Mgombea udiwani (CCM) kata ya Kalangalala Reuben Sagayika amewahimiza wananchi wa kata ya…

25 October 2025, 8:28 pm

Wenye ulemavu Nyangh’wale wanufaika na mikopo 10%

Kupitia programu ya uwezeshaji wananchi kiuchumi, Halmashauri ya Wilaya ya Nyang’hwale imefanikiwa kukopesha vikundi 114 kwa mwaka wa fedha 2024/2025, kwa jumla ya shilingi milioni 674.5 Na Mrisho Sadick: Watu wenye ulemavu wilayani Nyang’hwale mkoani Geita wameendelea kunufaika na mpango…

24 October 2025, 6:03 pm

Reuben Sagayika atembelea wananchi mbalimbali Kalangalala

Zimesalia siku 4 ili wananchi nchini waweze kushiriki haki ya msingi na ya kikatiba ya kupiga kura kuchagua madiwani, wabunge na Rais. Na: Ester Mabula Mgombea Udiwani wa kata ya Kalangalala kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Reuben Sagayika…

23 October 2025, 7:38 pm

Geita ulinzi umeimarishwa kuelekea uchaguzi

Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limeendelea kutoa wito kwa wananchi wote kuendelea kudumisha amani, umoja na mshikamano. Na Kale Chongela- Geita Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limewahakikishia wananchi kuwa maandalizi ya ulinzi na usalama yamekamilika kwa kiwango cha…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.