Storm FM

Recent posts

4 June 2025, 6:33 pm

Akamatwa ugoni kwa mtego wa siri Bukombe

Msemo wa mke wa mtu sumu umedhihirika kwa kijana Kake baada ya kuonja joto la jiwe kwa kudaiwa kuwa katika mahusiano na mke wa mtu. Na Mwandishi Wetu Bukombe: Kijana mmoja mkazi wa kitongoji cha Bukingwamizi Kijiji cha Nalusunguti Kata…

4 June 2025, 5:19 pm

Nishati safi yaokoa maisha ya wanawake Geita

Matumizi ya nishati chafu ya kupikia kwa wanawake maeneo ya vijijini Mkoani Geita yalikuwa mwiba mchungu. Na Mrisho Sadick: Kuongezeka kwa matumizi ya Nishati safi ya kupikia maeneo ya vijijini imechangia kwa kiasi kikubwa kupunguza mauaji ya Wanawake yaliyokuwa yakisababishwa…

3 June 2025, 6:27 pm

Vikundi 53 vyapokea mikopo ya milioni 303 Nyang’hwale

Wajasiriamali wilayani Nyang’hwale Mkoani Geita watakiwa kutumia mikopo ya asilimia 10 kukuza biashara zao Na Mrisho Sadick: Serikali wilayani Nyang’hwale Mkoani Geita imelitaka shirika la maendeleo ya viwanda vidogo (SIDO) kuongeza nguvu ya kutoa elimu , ujuzi na utambuzi wa…

2 June 2025, 6:45 pm

Wanafunzi 126 kuuwakilisha mkoa wa Geita UMITASHUMTA

Geita watarajia mafanikio makubwa katika mashindano ya UMITASHUMTA baada ya mchujo makini uliofanyika kuwapata wachezaji mahiri. Na Mrisho Sadick: Jumla ya wanafunzi 126 wa shule za msingi kutoka mkoa wa Geita wamechaguliwa kuuwakilisha mkoa huo kwenye mashindano ya UMITASHUMTA ngazi…

31 May 2025, 2:49 pm

Wachafuzi wa mazingira kukiona cha moto Geita

Serikali wilaya ya Geita imesema haitawafumbia macho wananchi watakaobainika kuwa chanzo cha uchafuzi wa mazingira. Na: Kale Chongela: Kauli hiyo imetolewa leo Mei 31, 2025 na mkuu wa wilaya ya Geita Mhe. Hashim Komba akiwa katika mtaa wa Mwatulole uliopo…

29 May 2025, 12:48 pm

Wapangaji 12 na mama mwenye nyumba wafurushwa Geita

Mgogoro wa nyumba wapelekea mama mwenye nyumba (mke wa mwenye nyumba) pamoja na wapangaji wapatao 12 kuamriwa kuondoka katika nyumba hiyo. Na: Kale Chongela: Wapangaji 12 akiwemo mama mwenye nyumba aliyetambulika kwa jina la Chausiku Kileo kutoka mtaa wa 14…

29 May 2025, 12:03 pm

Zaidi ya Tsh. Mil 14 yaokolewa na TAKUKURU mkoa wa Geita

Katika kipindi cha kuanzia Januari hadi Marchi mwaka huu, TAKUKURU mkoa wa Geita imefanikiwa kuokoa jumla ya shilingi 14,221,567 katika miradi minne ya elimu ambayo ilibainika kuwa na mapungufu. Na: Ester Mabula: Akitoa taarifa mbele ya waandishi wa habari leo…

27 May 2025, 2:43 pm

Wenyeviti hawamalizi miaka mitano Saragulwa

Uvumilivu wa migogoro ya madaraka umewashindwa wananchi nakuamua kumuangukia mkuu wa mkoa kutafuta ufumbuzi wa changamoto hiyo kwenye kijiji chao. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa Kijiji Cha Saragulwa wilaya ya Geita Mkoani Geita wameiomba serikali kuingilia kati Sakata la wenyeviti…

27 May 2025, 2:41 pm

DC Komba akabidhi mifuko 538 ya saruji Geita DC

Jumla ya mifuko 538 ya saruji imetolewa katika ya mifuko 1,071 iliyoahidiwa ili kuweza kukamilisha ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika Afya, elimu na miundombinu. Na: Ester Mabula: Mkuu wa wilaya ya Geita Mhe. Hashim Abdallah Komba leo Mei…

27 May 2025, 12:58 pm

Msako waganga wanaobaka wateja wao Geita

Waganga matapeli wadaiwa kuongezeka kwa kasi Geita jeshi la polisi lakaa mkao wa kula kuwasaka nakuwachukulia hatua. Na Mrisho Sadick: Jeshi la Polisi Mkoani Geita limeanza msako wa kuwatafuta baadhi ya waganga wa jadi katika Kata ya Nyakagomba wilayani Geita…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.