Storm FM
Storm FM
11 August 2025, 1:09 pm
Mashindano hayo ni zaidi ya burudani kwani yanatoa nafasi kwa vijana kuonesha vipaji ambavyo havijaonekana kitaifa. Na Mwandishi Wetu: Mwamuzi maarufu wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Ally Simba ameonesha kuridhishwa na kiwango cha ushindani na nidhamu ya wachezaji katika michuano…
11 August 2025, 12:00 pm
Tanzania Peace Familiy (TPF) ni taasisi ya Kiraia inayofanya kazi kwa ushirikiano mkubwa na vyombo vya dola katika kulinda amani ya nchi. Na Mrisho Sadick: Wananchi Mkoani Geita wametakiwa kuilinda amani ya nchi kuelekea uchaguzi mkuu kwa kushirikiana na vyombo…
8 August 2025, 10:35 am
Mteja kachepusha umeme kwenye njia namba moja na njia namba tatu kwa kuunga waya moja kwa moja kwenye suplaya ya TANESCO Mpaka kwenye kiwanda. Na Edga Rwenduru: Shirika la umeme Tanzania TANESCO mkoa wa Geita limemkamata Joseph Bhukelebe mkazi wa…
5 August 2025, 6:39 pm
Katika oparesheni hiyo watanzania watano wamekamatwa kwa kuwatumia raia hao wa kigeni kinyume cha Sheria. Na Mrisho Sadick: Idara ya Uhamiaji Mkoani Geita katika Oparesheni zake imefanikiwa kuwakamata raia 20 wa Burundi walioingia nchini kinyume cha sheria nakufanya idadi ya…
4 August 2025, 4:13 pm
Matukio ya moto kuteketeza karakana yameendelea kuongezeka mkoani Geita huku sababu za matukio hayo zikiwa hazijulikani. Na Kale Chongela: Moto mkubwa ambao chanzo chake bado hakijajulikana umeteketeza karakana moja ya useremala katika mtaa wa Mkoani, Kata ya Kalangalala, Manispaa ya…
3 August 2025, 3:40 pm
Klabu ya Yanga imeahidi kufanya vizuri kwenye michuano ya kimataifa msimu huu kuliko wakati wowote. Na Mrisho Sadick: Klabu ya Soka ya Yanga imeendelea kusherehekea mafanikio yake ya msimu wa 2024/25 kwa kutembeza makombe yake matano katika mitaa mbalimbali ya…
31 July 2025, 8:40 pm
Maendeleo ya teknolojia yameleta mabadiliko makubwa katika sekta ya madini huku serikali ikikumbushwa kuwekeza katika ujuzi kwa vijana. Na Edga Rwenduru: Wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu mkoani Geita wameiomba Serikali kutumia Chuo cha VETA Geita kuanzisha mitaala maalum ya…
31 July 2025, 8:28 pm
Wafanyabiashara hao wameipongeza benki ya NMB kwa kuwapatia mafunzo juu ya elimu ya fedha na mikopo Na Mrisho Sadick: Halmashauri ya Manispaa ya Geita Mkoani Geita imewataka wafanyabiashara kuhakikisha wanamiliki leseni halali za biashara huku ikisisitiza kuwa hatua hiyo itawasaidia…
31 July 2025, 6:52 pm
“Imekuwa ni desturi yetu GGML kila mwaka kuikumbuka jamii hususani kupitia masomo kwa mtoto wa kike kwa kushirikiana na serikali ya mkoa wa Geita” – Doreen kutoka GGML Na: Ester Mabula Kampuni ya uchimbaji madini ya dhahabu ya Geita Gold…
25 July 2025, 3:27 pm
Hadi sasa serikali imefanikiwa kufikia asilimia 90 ya watu wanaotambua hali yao ya maambukizi, asilimia 98 wapo kwenye tiba, na asilimia 98 wamefubaza virusi. Na: Ester Mabula Baraza la Taifa la Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI Tanzania (NACOPHA) limetoa…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.