Storm FM

Recent posts

4 September 2025, 10:19 am

Majimbo 7 kati ya 9 Geita hayana wagombea upinzani

Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Geita kimezindua rasmi kampeni za kunadi ilani ya chama hicho kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, mwaka huu. Na: Edga Rwenduru Uzinduzi wa kampeni hizo umefanyika Septemba 02, mwaka huu Katika kata ya…

3 September 2025, 9:56 am

Picha: Mwenge wa uhuru wakabidhiwa Nyangh’wale

Ikumbukwe Mwenge wa uhuru ulipokelewa mkoani Geita Septemba mosi, 2025 ukitokea mkoani Mwanza ambapo umeendelea kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo. Na: Kale Chongela Mkuu wa wilaya ya Nyang’hwale  Mhe. Grace  Kigalame  ameupokea Mwenge wa Uhuru  kutoka kwa Mkuu wa wilaya…

3 September 2025, 9:53 am

Hizi hapa bei mpya za mafuta Geita kwa mwezi Septemba

Kila Jumatano ya kwanza ya kila mwezi mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji nchini (EWURA) hutangaza bei kikomo za mafuta ya Petroli, Dizeli na mafuta ya taa. Na: Ester Mabula Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati…

1 September 2025, 5:53 pm

Kichanga cha siku moja chachomwa moto Geita

“Kwakweli tunaomba polisi wafuatilie tukio hili ili kukomesha watu wenye roho za kikatili na kinyama kiasi hiki, huyu mtoto huwezi jua angekuwa nani baadaye” – Mwananchi Na: Edga Rwenduru: Mtoto mchanga anayekadiriwa kuwa na siku moja amekutwa amechomwa moto na…

30 August 2025, 6:22 pm

Geita kuupokea Mwenge wa Uhuru Jumatatu

Mwenge wa Uhuru ukiwa mkoani Geita utatembelea , kukagua , kuzindua kuweka mawe ya msingi jumla ya miradi 61ya maendeleo. Na Kale Chongela: Mkoa wa Geita unatarajia kuupokea Mwenge wa Uhuru  kwa mwaka 2025 katika kijiji cha Lwezera Halmashauri ya…

30 August 2025, 6:00 pm

Serikali yatoa hekta 5,000 za hifadhi kwa wananchi Bukombe

Hakuna wananchi wenye uhaba wa maeneo na makazi katika kitongoji cha Idosero baada ya serikali kutoa hekta zaidi ya 5,000. Na Mrisho Sadick: Serikali imetenga zaidi ya hekta 5,600 kutoka maeneo ya hifadhi na kuwagawia wananchi wa Kitongoji cha Idosero…

29 August 2025, 5:16 pm

Marufuku watoto kwenye Mabanda ya video Geita Road

Sera ya maendeleo ya mtoto ya mwaka 2008 inaweka bayana wajibu wa jamii, wazazi na serikali kulinda watoto dhidi ya vitendo vinavyoweza kuathiri makuzi yao. Na Mwandishi Wetu: Mwenyekiti wa mtaa huo Pelana Bagume amesema hatua hiyo imechukuliwa baada ya…

27 August 2025, 4:45 pm

Wakulima wadai kupunjwa na wanunuzi Nyawilimilwa

Uchumi wa wananchi wa Nyawilimilwa unategemea kilimo hivyo mikakati madhubuti inatakiwa kuwawezesha wananchi. Na Mrisho Sadick: Wakulima wa mazao ya mpunga, mihogo na mahindi katika Kijiji cha Nyawilimilwa wilaya ya Geita Mkoani Geita wamedai kukabiliwa na changamoto za kupunjwa na…

26 August 2025, 4:45 pm

Bodaboda Geita wafunguka serikali kuwaondolea kodi

Msamaha wa kodi kwa waendesha au wamiliki pikipiki zinazotumiwa kibiashara maarufu kama bodaboda ambapo awali walikua wakilipa shilingi 65,000 kwa mwaka kwasasa hawalipi chochote. Na Edga Rwenduru: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Geita imesema mabadiliko ya sheria za…

23 August 2025, 9:28 pm

Hawa hapa walioteuliwa kugombea ubunge Geita

Kikao cha Halmashuri Kuu ya CCM Taifa cha uteuzi wa wagombea kimeongozwa na mwenyekiti wa CCM Dkt Samia Suluhu Hassan. Na Mrisho Sadick: Katibu wa NEC Itikadi Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Amos Makalla ametangaza majina…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.