Storm FM
Storm FM
8 October 2025, 5:28 am
“Suala hili tumekuwa tukilikomesha lakini inaonekana bado linajirudia kutokana na baadhi ya mawakala kuendelea kukiuka taratibu” – Mwenyekiti wa stendi Nyankumbu Na: Kale Chongela Baadhi ya wamiliki wa magari ya abiria katika kituo kidogo cha magari ya abiria kilichopo kata…
7 October 2025, 4:48 am
Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imeadhimisha miaka 25 tangu kuanzishwa kwake kwa kuandaa mashindano ya gofu katika viwanja vya Lake Victoria Golf Club vilivyopo ndani ya eneo la mgodi mkoani Geita. Na: Ester Mabula Mashindano hayo ni miongoni…
6 October 2025, 7:41 pm
“Ninaimani kata ya Kalangalala itakwenda kubadilika kimaendeleo iwapo mtanipa kura za NDIO ili niweze kuwatumikia kwa moyo wangu” – Reuben Sagayika Na: Ester Mabula Mgombea udiwani wa kata ya Kalangalala kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Reuben Sagayika leo…
6 October 2025, 1:58 pm
Vijana hao wameeleza kuwa hawatashiriki katika vurugu, maandamano yasiyo ya lazima au propaganda za kisiasa. Na Mrisho Sadick: Vijana kutoka makundi mbalimbali ikiwemo vyuo na shule za sekondari katika Manispaa ya Geita Mkoani Geita wamesema wako tayari kushiriki kikamilifu katika…
6 October 2025, 12:11 pm
Viongozi wa dini wana wajibu mkubwa wa kuhimiza amani kwa waumini wao kwani ni wadau muhimu katika kulinda tunu ya taifa. Na Mrisho Sadick: Viongozi wa dini Mkoani Geita wamekemea vikali viashiria vya uvunjifu wa amani kuelekea uchaguzi mkuu, wakiwataka…
5 October 2025, 5:57 pm
Katika hali ya kusikitisha mwili wa mtoto Magreth Dickson (7) umekutwa umetelekezwa katika mtaa wa Katoma ikiwa ni siku sita tangu kutangazwa na kituo cha Storm FM kuwa amepotea. Na: Ester Mabula Mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 7…
3 October 2025, 5:35 pm
Mhe Majaliwa akiwa Bukombe amesema hakuna sababu ya walimu kurundikana mijini wakati vijijini kuna uhitaji mkubwa . Na Mrisho Sadick: Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ameiagiza wizara ya TAMISEMI kwa kushirikiana na Ofisi ya…
2 October 2025, 3:52 pm
TAKUKURU imeendelea na mikakati mbalimbali ya kutoa elimu kwa UMMA ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025 kwa lengo la kuhakikisha mazingira huru, haki na yenye uwazi. Na: Ester Mabula Taasisi ya Kuzuia na Kupambana…
30 September 2025, 12:00 pm
Karibu kusikiliza makala maalumu kuhusu afya ya uzazi. Makala hii inaletwa kwako kupitia Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA) kwa kushirikiana na WELL SPRING ambao wanatekeleza mradi wenye lengo la kutoa elimu na uchechemuzi juu ya afya ya…
29 September 2025, 1:20 pm
Kupitia risala yao wanafunzi wa shule ya sekondari msalala wameishukuru serikali kwa uwekezaji huo na kuiomba kuwasaidia kupata basi la shule Na Mrisho Sadick: Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Msalala wilayani Nyang’hwale mkoani Geita pamoja na wananchi wa eneo hilo…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.