Storm FM
Storm FM
21 April 2021, 12:00 pm
Na Mrisho Sadick: Mtaa wa Nyamakale uliyopo halmashauri ya mji wa Geita Mkoani Geita unakabiliwa na changamoto ya ulinzi shirikishi kutokana na baadhi ya wakazi wa eneo hilo kushindwa kushiriki kwa madai ya kuogopa kupata matatizo. Wakizungumza na Storm FM…
21 April 2021, 11:48 am
Na Mrisho Sadick: Mtoto mchanga anaekadiriwa kuwa na umri wa miezi (7) amekutwa ametupwa kwenye kichaka huku akiwa amefariki katika Mtaa Mtaa wa Nyanza halmashauri ya mji wa Geita Mkoani Geita. Baadhi ya wananchi waliojitokeza kushuhudia tukio hilo wameiambia Storm…
21 April 2021, 11:30 am
Na Nichoras Paul Lyankando: Mwanamke mmoja mkazi wa kijiji cha nyamalulu katika halmashauri ya wilaya ya Geita amefanya uharibifu wa kubomoa nyumba ya aliekuwa mmewake wa zamani huku ikielezwa kuwa ni wivu wa kimapenzi. Akizungumza na Storm FM Charles Katisho…
21 April 2021, 11:15 am
Na William Petro: Mashabiki na wapenzi wa wa soka mkoni Geita wameuomba uongozi wa mkoa kuangalia namna ya kukamilisha ujezi wa uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu kwani miundombinu ni sehemu ya maendeleo ya soka. Wapenzi na mashabiki hao…
21 April 2021, 10:46 am
Na Joel Maduka: Kampuni ya uchimbaji wa madini ya Anglo Gold Ashanti Kupitia mgodi wake wa Geita Gold Mining Limited (GGML) imepokea ruhusa ya mpango wa uchimbaji madini wa mwaka 2021 unaohusisha uchimbaji wa wazi na wa chini kwa chini…
19 April 2021, 6:34 pm
Wanafunzi Wa Shule Ya Sekondari Ya Evarist Iliyopo Kata Ya Nyarugusu Wilayani Geita Wameipongeza Serikali Kwa Kushirikiana Na Wadau Wa Maendeleo Katika Eneo Hilo Kwa Kufanikisha Ujenzi Wa Shule Hiyo. Wakizungumza Katika Shule Hiyo Ambayo Imeanza Kutoa Elimu Ya Kidato…
19 April 2021, 6:23 pm
Na Elizabeth Obadia: Wafanyabiashara wa wa soko la asubuhi la Nyankumbu halmashauri ya mji wa Geita wameuomba uongozi wa mtaa huo kuweka mpangilio mzuri wa soko ili kuwasaidia wao kupata wateja kwa wepesi. Wakizungumza kwa nyakati tofauti baadhi ya wafanyabiashara…
19 April 2021, 5:55 pm
Na Kale Chongela: Wakazi Wa Mtaa wa Ujamaa Kata ya Kalangalala Halmashauri ya Mji Wa Geita Wameuomba Uongozi wa Eneo Hilo Kutatua Chagangamoto ya Uchafu Katika Eneo La Machinjioni. Wakizungumza na Storm FM Wananchi Wa Mtaa Huo Wamesema Hali hiyo…
16 April 2021, 11:13 pm
Mjumbe wa kamati kuu tendaji wa chama cha mpira wa miguu Geita (GEREFA) Simon Shija amesema kila kitu kwa maana ya maandalizi kuelekea mchezo wa kesho ligi daraja la kwanza Tanzaniabara baina ya Geita Gold FC dhidi ya Pamba SC…
16 April 2021, 6:23 pm
Na Mrisho Sadick: Kukamilika kwa ujenzi wa shule ya sekondari Evarist iliyopo kata ya nyarugusu wilayani Geita umesaidia kupunguza mrundikano wa wanafunzi katika shule ya sekondari ya nyarugusu iliyopo katani humo. Akizungumza na Storm FM shuleni hapo afisa elimu wa…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.