Storm FM
Storm FM
13 October 2023, 1:03 pm
Idadi ya watu milioni 2.9 katika Mkoa wa Geita imemsukuma Jaji Mkuu wa Tanzania kuanzia Mahakama kuu Mkoani Geita. Na Mrisho Sadick Geita: Jaji Mkuu wa Tanzania na Mwenyekiti wa tume ya utumishi wa Mahakama Profesa Ibrahimu Juma ameagiza kuanzishwa…
12 October 2023, 11:05 am
Wakati serikali ikiendelea kupambania haki sawa kwa mtoto wa kike wananchi na wadau wametakiwa kuiunga mkono katika mapambano hayo. Na Mrisho Sadick: Watendaji wa Mitaa na Kata wilayani Geita wameagizwa kufanya msako nakuwachukulia hatua kali wazazi na walezi ambao wamewatelekezea…
9 October 2023, 6:03 pm
Ajali za barabara zimeendelea kukatisha uhai wa watu wengi , jitihada za makusudi zinahitajika ikiwemo elimu kwa watumiaji wa vyombo vya moto ili kupunguza matukio hayo hususani kwa waendesha pikipiki. Na Mrisho Sadick – Geita Watu watatu wakiwemo watumishi wawili…
8 October 2023, 3:04 am
Licha ya ahadi kadhaa kuendelea kufanyiwa kazi kwa wananchi wa Msalala lakini bado kero ya barabara ni kubwa katika kijiji cha Kilimbu. Na Zubeda Handrish- Msalala Mbunge wa Jimbo la Msalala Iddi Kassim Iddi akiwa katika kijiji cha Kilimbu kata…
7 October 2023, 5:57 pm
Wazee nchini bado wanakabiliwa na changamoto nyingi huku suluhu ya changamoto hizo ni wazee hao kushirikishwa kikamilifu na serikali katika mambo ambayo yanawahusu. Na Mrisho Sadick: katikaBaraza la Wazee Nchini limeiomba serikali kuwashirikisha Wazee kwenye vyombo vya kutoa maamuzi ikiwemo…
6 October 2023, 10:27 am
Wazee Nchini wameiomba serikali kuingilia kati vitendo vya baadhi ya vijana wao kuwalazimisha kuwarithisha mali ili hali wako hai sababu ambayo inachangia wengi wao kufanyiwa vitendo vya ukatili ikiwemo mauaji pindi wanapokataa kufanya hivyo. Suala la vijana kuwalazimisha wazee kuwarithisha…
3 October 2023, 11:04 am
Dhamira ya serikali ya awamu ya sita nikufikisha umeme katika vijiji zaidi ya elfu 12 hapa nchini imeendelea kuonekana baada ya serikali kuendelea kufikisha huduma hiyo vijijini. Na Mrisho Sadick: Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imefikisha nishati ya umeme kwenye…
2 October 2023, 10:44 am
Sekta ya Madini imeendelea kukua kila siku huku kundi la wanawake likionesha nia kubwa ya kuwekeza katika sekta hiyo huku serikali ikiahidi kuwapa kipaumbele. Na Mrisho Sadick: Chama cha wachimbaji wadogo wanawake nchini TAWOMA kimeanzisha Tuzo za Malkia wa Madini…
1 October 2023, 7:09 pm
Kupitia maonesho ya 6 ya kimataifa ya madini EWURA CCC iliendelea kutoa huduma ya kupokea malalamiko na kuyafanyia kazi kutoka kwa wateja wa huduma ya nishati na maji, wingi wa malalamiko yalipelekea EWURA CCC kutoa tahadhari. Na Zubeda Handrish- Geita…
30 September 2023, 9:03 pm
Matumizi mabaya ya dawa na vifaa tiba bado imeonekana ni changamoto kwa baadhi ya maeneo kanda ya ziwa, hili limesababisha TMDA kuendelea kutoa elimu kwa wananchi juu ya matumizi sahihi ya dawa. Na Zubeda Handrish- Geita Meneja wa Mamlaka ya…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.