Storm FM

Recent posts

13 May 2021, 9:42 am

Mgogoro wa wachimbaji wa dhahabu wamalizika

Wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu katika wilaya ya Mbogwe Mkoani Geita wameipongeza serikali kupitia wizara ya madini kwa kumaliza mgogoro wa wachimbaji katika mgodi wa Nyakafuru. Wakizungumza na Storm FM siku chache baada ya waziri wa madini Mhe, Dotto…

12 May 2021, 9:28 am

Wajilinda kuzuia ndoa za utotoni

Na Mrisho Sadick: Wakazi wa kijiji cha Igate kata ya Nzera halmashauri ya wilaya ya Geita mkoani Geita wameweka mikakati ya  kutokomeza vitendo vya baadhi ya wazazi wenye tabia ya kuozesha watoto wadogo badala ya kuwapeleka shule. Wakizungumza na Storm…

11 May 2021, 6:01 pm

Watoto 2,578 Wapatiwa Chanjo Mkoani Geita

Na Mrisho Sadick: Watoto 2578 waliochini ya umri wa miaka mitano wamepatiwa chanjo katika mkoa wa Geita kwenye wiki ya Maadhimisho ya chanjo  ya Umoja wa Mataifa(UN) idadi ambayo ni mkubwa ukilinganisha na lengo la serikali ya mkoa huo ya…

4 May 2021, 6:55 pm

Tumekuja kuinua soka la wanawake

Na Mrisho Sadick: Mwenyekiti wa Chama cha Soka la wanawake Mkoani Geita Mwalimu Veronica William ameahidi kuinua soka la wanawake Geita kwa kuanza na shule za Msingi. Amesema hayo siku chache baada ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa chama hicho nakuahidi…

4 May 2021, 6:47 pm

Atelekezwa baada ya kubeba ujauzito Geita

Na Mrisho Sadick: Msichana (15) Mkazi wa Mtaa wa 14 Kambarage mjini Geita ametelekezwa na mume wake alieahidi kumuoa baada ya kubeda ujauzito. Msichana huyo anaefahamika kwa jina la Letisia Masanja  mzaliwa wa wilaya ya Sengerema Mkoani Mwanza ambae alipotezana…

4 May 2021, 6:39 pm

Baba auza mbuzi nakutelekeza familia

Na Mrisho Sadick: Katika hali isiyokuwa ya kawaida mwanamme Mmoja katika Mtaa wa 14 Kambarage mjini Geita ameuza mashine na mbuzi za familia kisha kwenda kuoa Mwanamke mwingine. Akizungumza na Storm FM Bi Hadija Mbita amesema kwasasa familia yake inakabiliwa…

3 May 2021, 6:56 pm

Mtendaji akataliwa baada ya kususia kikao cha kata

Na Mrisho Sadick: Kikao cha maendeleo ya kata katika kata ya Mganza wilayani Chato mkoani Geita kimeadhimia kwa pamoja  kutofanya kazi na Afisa mtendaji wa kata hiyo baada ya kuonesha utovu wa nidhamu kwa kususia kikao hicho. Inaelezwa kuwa sababu…

3 May 2021, 6:18 pm

Ajinyonga hadi kufa kisa kakutwa na vvu Geita.

Na Mrisho Sadick: Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani Geita Henry Mwaibambe amethibitisha tukio la Shija Mwanzalima (30) Mkazi wa Mtaa wa Nyantorotoro A mjini Geita kujinyonga hadi kufa. Kamanda amesema kabla ya Shija kufanya kitendo hicho alimjeruhi Mtoto wake…

1 May 2021, 12:33 pm

TBS yatoa mafunzo kwa wajasiriamali Geita

Wajasiriamali wa  Mamlaka ya mji Mdogo  wa Katoro wilayani na Mkoani Geita  wamekutana na  viongozi wa  shirika la viwango Tanzania TBS  kwa lengo la kuwapatia   mafunzo ya kutengeneza bidha mbalimba zenye ubora na viwango vinavyokubalika. Akizungumza kwenye  mafunzo hayo Mkuu…

1 May 2021, 12:12 pm

Acheni kufugia kuku vyandarua jikingeni

Na Kale Chongela: Wakazi wa mtaa wa Msalalaroad kata ya kalangalala Halmashauri ya mji wa Geita  wameshauriwa  kuendelea kuzingatia matumizi ya vyadarua ili kujikinga na mbu waenezao malaria nasiyo kuvitumia kwa matumizi mengine ikiwemo kufugia mifugo. Rai hiyo imetolewa na …

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.