Storm FM

Recent posts

13/04/2024, 13:55

Wanawake Nyankumbu waondokana na adha ya kujifungulia njiani

Changamoto ya wanawake kujifungulia njiani imekuwa ikiripotiwa kutoka katika maeneo mbalimbali ya nchi yetu huku sababu mbalimbali ikiwemo Umbali, uchumi na miundombinu duni katika baadhi ya maeneo ya kutolea huduma za afya zikihusishwa kupelekea hali hiyo kutokea. Na Mrisho Sadick…

13/04/2024, 02:35

Wananchi washirikiana kuziba chanzo cha mafuriko

Uduni wa miundombinu ya barabara imekuwa ikichangia athari mbalimbali ambazo zimekuwa zikisababishwa na mvua inayoendelea kunyesha mkoani Geita Na Kale Chongela – Geita Baada ya mafuriko kuikumba mitaa mbalimbali ya mkoa geita kutokana na mvua iliyonyesha siku ya April 7,…

11/04/2024, 17:49

Maonesho ya biashara, viwanda na kilimo kuanza mwezi Mei Geita

Katika kukuza fursa za kibiashara , kilimo na viwanda Mkoa wa Geita huandaa kila mwaka maonesho yanayogusa sekta hizo ili wahusika waweze kuyatumia kujijenga zaidi. Na Mrisho Sadick – Geita Zaidi ya wajasiriamali 200 na makampuni makubwa kutoka ndani na nje ya…

10/04/2024, 18:21

Amani na upendo vyasisitizwa sikukuu ya Eid

Viongozi mbalimbali wa serikali na dini wametoa Jumbe mbalimbali katika sikukuu ya Eid huku suala la kudumisha amani ya nchi likipewa uzito wa aina yake. Na Kale Chongela – Geita Waumini wa dini ya kiislamu mkoani Geita wametakiwa kuendelea kuishi…

09/04/2024, 18:01

Msako waganga wanaosababisha mauaji Geita

Matukio ya watu kudaiwa kukamatwa hovyo na wananchi katika kijiji cha Iparamasa Chato yamemuibua Kamanda wa Jeshi la Polisi. Na Mrisho Sadick – Geita Jeshi la polisi Mkoani Geita linaendelea  kuwasaka nakuwakamata waganga wa tiba asili ambao wanafanya ramli chonganishi…

08/04/2024, 21:59

Ubovu wa barabara wakwamisha huduma za kijamii Songambele

14 Kambarage ni miongoni mwa maeneo ambayo yanaendelea kushuhudia athari za mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo tofautitofauti ya mkoa wa Geita na nchi nzima kwa ujumla. Na kale Chongela Wakazi wa Songambele mtaa wa 14 Kambarage kata ya Buhalahala mjini…

08/04/2024, 21:13

Familia zaidi ya 20 zaathiriwa na mafuriko Geita

Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Geita na nchi nzima kwa ujumla, athari mbalimbali zimeendelea kujitokeza kwa wananchi ikiwemo kuharibika kwa miundombinu ya barabara na athari nyinginezo katika mazingira. Na Evance Mlyakado – Geita Mvua…

07/04/2024, 17:50

Tabibu ajiua chumbani kwa rafiki yake

Tukio la kusikitisha katika jamii baada ya tabibu kudaiwa kujiua akiwa chumbani kwa rafiki yake nyakati za usiku. Na Mrisho Sadick – Geita Afisa tabibu wa Hospitali ya Halmashauri ya Mji wa Geita Fimbo Ncheye anadaiwa kujiua akiwa kwenye chumba…

06/04/2024, 16:22

Mufti wa Tanzania abariki ujenzi wa msikiti Geita

Mwezi mtukufu wa ramadhani umekuwa na manufaa makubwa kwa waumini wa dini ya kiislamu Mkoa wa Geita baada ya kiongozi wao mkuu kuwatembelea nakubariki ujenzi wa msikiti. Na Mrisho Sadick – Geita Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir ametembelea nakuweka jiwe…

05/04/2024, 17:04

Watoto wajengwe katika misingi ya imani

Mwezi mtukufu wa ramadhani umekuwa chachu ya kujenga jamii katika nyanja mbalimbali ikiwemo amani ,umoja na mshikamano. Na Mrisho Sadick – Geita Wanawake Mkoani Geita wametakiwa kutumia kipindi cha mwezi mtukufu wa ramadhani kuwajenga watoto wao katika misingi ya kiimani ili…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.