Storm FM

Recent posts

25 October 2023, 10:29 am

Bweni laungua moto wanafunzi watano wakimbizwa hospitali

Wananchi wengi hawajui namna ya kupambana na moto pindi unapozuka kwenye nyumba zao hata kama kuna vifaa vya kuzimia moto huku serikali ikishauriwa kuendelea kutoa elimu zaidi kwa wananchi. Na Mrisho Sadick: Bweni la wasichana shule ya sekondari Queen Marry…

24 October 2023, 8:19 pm

Mabasi mabovu 19 yapigwa stop kusafirisha abiria Geita

Kutokana na uwepo wa ajali nyingi mwisho wa mwaka zinazochangiwa na matumizi ya magari mabovu , watu kutozingatia sheria za usalama barabarani , Jeshi la Polisi limekuja na mwarobaini wa matukio hayo. Na Mrisho Sadick: Jeshi la Polisi Mkoani Geita…

19 October 2023, 11:46 am

TCRA: Ni kosa kutumia kitambulisho cha mtu mwingine

Bado kuna wimbi kubwa la wananchi ambao wanaendelea kutumia vitambulisho vya taifa vya watu wengine kusajili laini zao za simu jambo ambalo ni kinyume na sheria za nchi. Na Mrisho Sadick: Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA imetoa onyo kwa watu…

19 October 2023, 11:09 am

Matokeo ya sensa ikawe chachu ya kuwaletea wananchi maendeleo

Kujulikana kwa idadi ya watu na makazi kupitia Sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 ikawe chachu ya viongozi wa serikali kupanga mikakati ya maendeleo kwa wananchi wake. Na Mrisho Sadick: Mkuu wa Mkoa wa Geita Martine Shigela amewataka…

18 October 2023, 6:30 pm

Madereva waonywa kupakia dizeli, petroli kwenye usafiri wa umma

Changamoto ya baadhi ya wasafirishaji kuruhusu kupakia chupa zenye mafuta ya dizeli na petroli kwenye vyombo vyaio imekuwa kero kwa abiria mkoani Geita. Na Zubeda Handrish- Geita Baadhi ya abiria wanaotumia magari madogo ya abiria aina ya hiace yanayofanya safari…

17 October 2023, 10:25 am

Serikali ya wilaya Geita yaagizwa kuongeza kasi usambazaji wa mbolea

Serikali imetakiwa kuharakisha mchakato wa usambazaji wa Mbole kwa wakulima kwakuwa wakulima wengi hususani katika wilaya ya Geita hawajafikiwa na mbolea hizo. Na Mrisho Sadick Chama Cha Mpinduzi CCM wilaya ya Geita kimeiagiza serikali ya wilaya ya Geita kusambaza kwa…

15 October 2023, 6:59 am

Popo wavamia mtaa, wananchi wakumbwa na taharuki Geita

Changamoto ya popo katika baadhi ya maeneo Tanzania imeonekana kuwa ni sugu, hilo pia limetokea katika mtaa wa katikati ya mji wa Geita. Na Zubeda Handrish- Geita Wananchi wa mtaa wa Nyerere Road uliopo kata ya Kalangalala, halmshauri ya Mji…

14 October 2023, 12:05 pm

GGML yatimiza ahadi ya basi jipya kwa klabu ya Geita Gold FC

Changamoto ya usafiri baada ya klabu ya Geita Gold FC kupanda Ligi kuu ya NBC msimu wa 2021/22, umepelekea mdhamini mkuu wa klabu hiyo GGML kuahidi basi litakalowarahisishia kusafiri. Na Zubeda Handrish- Geita Mgodi wa dhahabu wa Geita Gold Mine…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.