Storm FM
Storm FM
7 November 2023, 6:30 pm
Ajali za barabarani zaliibua Jeshi la Polisi juu ya mikopo holela ya pikipiki kwa vijana isiyozingatia usalama wao. Na Mrisho Sadick – Geita Jeshi la Polisi mkoani Geita limezitaka kampuni na watu binafsi wanaotoa mikopo ya pikipiki kwa vijana kuingia…
2 November 2023, 6:17 pm
Bonyeza hapa kusikiliza
2 November 2023, 5:42 pm
Ukosefu wa huduma ya maji safi na salama, tishio la fisi vijijini katika wilaya ya Nyang’hwale umeendelea kuwapa changamoto wananchi wanaoishi maeneo hayo ambao huchangia maji na mifugo huku wakitembea umbali wa kilomita 20 kufuata maji. Na Mrisho Sadick –…
31 October 2023, 7:49 pm
Serikali imedhamilia kuboresha huduma za afya kwa kujenga nakupeleka vifaa vya kisasa vya matibu katika Zahanati , Vituo vya afya na Hospitali. Na Mrisho Sadick – Geita Serikali imetoa zaidi ya milioni 400 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa tiba…
29 October 2023, 8:21 pm
Baraza la madiwani wa Halmashauri ya mji wa Geita limeonesha kutoridhishwa na utendaji kazi wa mkurugenzi wa halmashauri ya mji wa Geita. Na Mrisho Sadick – Geita Mkuu wa wilaya ya Geita Cornel Magembe ameiagiza taasisi ya Kuzuia na Kupambana…
29 October 2023, 2:03 pm
Imani potofu kwa wanawake wajawazito katika maeneo mengi ya vijijini wilayani Geita imetajwa kuwa sababu ya vifo vya mama na mtoto. Na Mrisho Sadick: Baadhi ya wanawake wajawazito katika Kata ya Nzera wilayani Geita wametakiwa kuachana na Imani potofu za…
26 October 2023, 4:18 pm
Baada ya wananchi wa baadhi ya maeneo ya Halmashauri ya Mji wa Geita kulia na changamoto ya miundombinu ya barabara sasa serikali imesikia kilio chao. Na Kale Chongela: Halmashauri ya mji wa Geita kupitia mradi wa uboreshaji miji TACTIC imeanza…
26 October 2023, 3:50 pm
Ramli chonganishi zimeendelea kusababisha mauaji maeneo mbalimbali hapa nchini huku serikali ikitakiwa kupambana na suala hilo kuokoa maisha ya watu hususani maeneo ya vijijini. Na Mrisho Sadick: Mwanamke Joyce Luhedeka mwenye umri wa miaka (51) Mkazi wa kijiji cha Ikobe…
25 October 2023, 12:39 pm
Kuchelewa kurekebishwa kwa miundombinu ya barabara imekuwa kikwazo nakuzorotesha uchumi wa wa wananchi. Na Kale Chongela: Madereva pikipiki na Bajaji wanaotumia barabara ya soko kuu la mji mdogo wa katoro wilayani Geita wamelalamikia uwepo wa vifusi katikati ya barabara hilo hali…
25 October 2023, 11:23 am
Mkakati wa wilaya ya Chato kutangaza fursa za uwekezaji katika sekta ya utalii umeanza kupitia matamasha mbalimbali. Na Mrisho Sadick: Wilaya ya Chato imepanga kutumia tamasha la Chato Utalii Festival kuvutia wawekezaji katika sekta ya Utalii kwakuwa wilaya hiyo ina…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.