

3 August 2021, 2:26 pm
Na Zubeda Handrish: Shamba la migomba lenye ukubwa wa ekari mbili limeharibiwa na watu wasiojulikana ikisemekana kuwa chanzo cha uharibifu huo ni mgogoro wa Ukoo dhidi ya Shamba hilo. Mmiliki wa Migomba hiyo Bw. Faida Lunsalia amesikitishwa na kitendo hicho…
3 August 2021, 2:19 pm
Na Zubeda Handrish: Mtoto wa darasa la nne ambaye ni mkazi wa kata ya Ikulwa mkoani Geita anadaiwa kulishwa kinyesi na mama yake mlezi (wa kambo) ikisemekana chanzo ni ugomvi wa wazazi. Afisa maendeleo katika kata hiyo Bi. Tabisa James Yawanga amesikitishwa…
3 August 2021, 1:54 pm
Na Zubeda Handrish: Duka la vyombo la vyumba viwili limeungua moto katika mtaa wa Mission uliopo katika halmashauri ya mji wa Geita huku chanzo cha moto huo kikiwa bado hakijafahamika. Mmiliki wa duka hilo Bw. Venas John Mpalamawe amesikitishwa na tukio…
3 August 2021, 1:33 pm
Na Zubeda Handrish: Wakazi wa mtaa wa Nyerere Road katika halmashauri ya mji wa Geita, wameuomba uongozi wa serikali ya mtaa huo kusimamia suala la uchukuaji wa taka katika makazi yao kwakua magari yanayobeba taka hizo hupita barabara kuu pekee…
8 July 2021, 8:43 pm
Wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu katika Kata ya Nyarugusu wilayani Geita wameiomba serikali kuendelea kutatua changamoto mbalimbali zinazo wakabili ikiwemo nishati ya umeme pamoja na kusogeza huduma ya ofisi ya madini katika eneo hilo. Wakizungumza mbele ya Mkuu wa…
7 July 2021, 8:26 pm
Mgodi wa uchimbaji wa madini ya dhahabu wa Busolwa Mining uliyopo kata ya Nyarugusu wilayani Geita umeahidi kuendelea kushirikiana na serikali katika Nyanja mbalimbali za kimaendeleo ikiwemo kutatua changamoto zinazowakabili wakazi wa kata hiyo. Akizungumza mara baada ya kutembelewa na…
8 June 2021, 4:06 pm
Na Ester Mabula: Mtu Mmoja ambae hakujulikana kwa jina Wala Makazi amejeruhiwa baada ya kugongwa na gari aina ya Hiace lenye namba za usajiri T- 115 – DGV wakati alipokuwa akijaribu kuvuka Barabara na baiskeli. Baadhi ya abiria waliyokuwa ndani…
8 June 2021, 3:37 pm
Na Zubeda Handrish: Jamii imetakiwa kuwa na uelewa juu ya hali anayopitia mwanamke katika kipindi cha ujauzito ambacho mara nyingi hupelekea mwanamke kuchagua baadhi ya vyakula pamoja na hasira. Hayo yamezungumzwa na Daktari Victor Kajoba kutoka hospitali binafsi ya SAKAMU…
7 June 2021, 6:57 pm
Na Zubeda Handrish: Katika kuendelea kuwainua wafanyabiashara wadogo wanawake kwa upande wa Uchimbaji,Mkurugenzi Mtendaji Wa Chama Cha Wafanyabiashara Wanawake Tanzania (TWCC) Bi Mwajuma Hamza ametembelea machimbo madogo ya Dhahabu ya Mgusu, Msasa na Nyarugusu Mkoani Geita Akizungumza na Strom FM…
4 June 2021, 9:58 pm
Wafanyakazi na viongozi wa kituo cha Storm fm kwa kushirikiana na Idara ya mazingira na wakazi wa mtaa wa Mpovu kata ya Mtakuja wamefanya usafi katika soko la mtaa huo lengo likiwa ni kuhimiza jamii kujenga desturi ya kuishi kwenye…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.