Storm FM
Storm FM
11 April 2024, 5:49 pm
Katika kukuza fursa za kibiashara , kilimo na viwanda Mkoa wa Geita huandaa kila mwaka maonesho yanayogusa sekta hizo ili wahusika waweze kuyatumia kujijenga zaidi. Na Mrisho Sadick – Geita Zaidi ya wajasiriamali 200 na makampuni makubwa kutoka ndani na nje ya…
10 April 2024, 6:21 pm
Viongozi mbalimbali wa serikali na dini wametoa Jumbe mbalimbali katika sikukuu ya Eid huku suala la kudumisha amani ya nchi likipewa uzito wa aina yake. Na Kale Chongela – Geita Waumini wa dini ya kiislamu mkoani Geita wametakiwa kuendelea kuishi…
9 April 2024, 6:01 pm
Matukio ya watu kudaiwa kukamatwa hovyo na wananchi katika kijiji cha Iparamasa Chato yamemuibua Kamanda wa Jeshi la Polisi. Na Mrisho Sadick – Geita Jeshi la polisi Mkoani Geita linaendelea kuwasaka nakuwakamata waganga wa tiba asili ambao wanafanya ramli chonganishi…
8 April 2024, 9:59 pm
14 Kambarage ni miongoni mwa maeneo ambayo yanaendelea kushuhudia athari za mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo tofautitofauti ya mkoa wa Geita na nchi nzima kwa ujumla. Na kale Chongela Wakazi wa Songambele mtaa wa 14 Kambarage kata ya Buhalahala mjini…
8 April 2024, 9:13 pm
Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Geita na nchi nzima kwa ujumla, athari mbalimbali zimeendelea kujitokeza kwa wananchi ikiwemo kuharibika kwa miundombinu ya barabara na athari nyinginezo katika mazingira. Na Evance Mlyakado – Geita Mvua…
7 April 2024, 5:50 pm
Tukio la kusikitisha katika jamii baada ya tabibu kudaiwa kujiua akiwa chumbani kwa rafiki yake nyakati za usiku. Na Mrisho Sadick – Geita Afisa tabibu wa Hospitali ya Halmashauri ya Mji wa Geita Fimbo Ncheye anadaiwa kujiua akiwa kwenye chumba…
6 April 2024, 4:22 pm
Mwezi mtukufu wa ramadhani umekuwa na manufaa makubwa kwa waumini wa dini ya kiislamu Mkoa wa Geita baada ya kiongozi wao mkuu kuwatembelea nakubariki ujenzi wa msikiti. Na Mrisho Sadick – Geita Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir ametembelea nakuweka jiwe…
5 April 2024, 5:04 pm
Mwezi mtukufu wa ramadhani umekuwa chachu ya kujenga jamii katika nyanja mbalimbali ikiwemo amani ,umoja na mshikamano. Na Mrisho Sadick – Geita Wanawake Mkoani Geita wametakiwa kutumia kipindi cha mwezi mtukufu wa ramadhani kuwajenga watoto wao katika misingi ya kiimani ili…
3 April 2024, 2:42 pm
Matukio ya watu kujichukulia sheria mkononi yanaendelea kujitokeza katika maeneo mbalimbali kwasasa imefikia hatua ya baadhi ya watu kutaka kujitoa uhai kwasababu ambazo zinaweza kupata majibu. Na Kale Chongela – Geita Mwanamke Rejina Jumanne Mkazi wa mtaa wa Mpomvu kata…
2 April 2024, 5:24 pm
Katika hali isiyo ya kawaida moto ambao haukufahamika chanzo chake umelipuka na kuteketeza vitu vyote vya ndani katika nyumba ya bwana Mathius Jeremiah mkazi wa mtaa wa 14 Kambarage mjini Geita. Na Kale Chongela – Geita Vitu vya ndani katika…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.