Storm FM
Storm FM
20 November 2023, 12:24 pm
Geita kuondoa vikwazo kwa wakulima ikiwemo kutatua changamoto ya upatikanaji wa mbolea ili kufikia malengo ya uzalishaji wa mazao ya chakula kwa wingi. Na Mrisho Sadick – Geita Mkoa wa Geita umekusudia kuzalisha Hekta zaidi ya laki tano za chakula…
18 November 2023, 3:38 pm
Magonjwa yasiyo ya kuambukiza yameendelea kuwa tatizo miongoni mwa wakazi wa Mkoa wa Geita huku mtindo wa maisha ukitajwa kuwa sababu. Na Mrisho Sadick – Geita Idadi ya wagonjwa wanaosumbuliwa na Magonjwa yasiyo ya kuambukiza ikiwemo kisukari katika kituo cha…
16 November 2023, 2:17 pm
Chato imedhamiria kukuza uchumi wake kupitia utalii kwa kutangaza vivutio vilivyopo katika eneo hilo kupitia matamasha mbalimbali ikiwemo la Chato Utalii Festival. Kuelekea katika tamasha la Chato Utalii Festival Novemba 26 mwaka huu , Mkuu wa wilaya ya Chato Deusdedit…
16 November 2023, 12:56 pm
Baadhi ya watendaji wa vijiji katika Halmashauri ya wilaya ya Geita kuhama na michango ya wananchi kumezua maswali huku wananchi wakiomba kurudishiwa fedha zao. Na Mrisho Sadick – Geita Mkuu wa wilaya ya Geita Cornel Magembe ameiagiza Halmashauri ya wilaya…
16 November 2023, 12:34 pm
Kutelekezwa kwa Zahanati zaidi ya tatu katika Halmashauri ya mji wa Geita Mkoani Geita kumemuibua Mkuu wa Mkoa nakutoa maagizo kwa watendaji wa serikali katika eneo hilo. Na Mrisho Sadick – Geita Mkuu wa Mkoa wa Geita Martine Shigela ametoa…
13 November 2023, 11:41 am
Kuanza kwa mtihani wa kidato cha nne kumeisukuma taasisi ya mtetezi wa mama wilayani Geita kuandaa kongamano la kuwaombea nakuwapatia vifaa watahiniwa katika shule za Katoro na Ludete. Na Mrisho Sadick: Wazazi na walezi Mkoani Geita wametakiwa kuwatimizia mahitaji ya…
10 November 2023, 4:07 pm
Ikiwa ni muendelezo wa ziara ya Makonda amezulu kaburi la Maguli leo hii. Na Mrisho Sadick- Geita Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa, Paul Makonda akiwa kwenye mwendelezo wa ziara yake Kanda ya Ziwa, leo November 10, 2023…
10 November 2023, 3:59 pm
Akiwa kwenye mwendelezo wa ziara yake Kanda ya Ziwa Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo Paul Makonda , leo November 10, 2023 amefika wilayani Chato na kuzungumza na wananchi. Na Mrisho Sadick- Geita Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na…
9 November 2023, 3:34 pm
Matukio ya ujangili yamekithiri kiasi cha Jeshi la Polisi mkoa wa Geita kuamua kuchukua hatua za makusudi kukabiliana na hilo. Na Kale Chongela- Geita Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limewakamata watu 25 kwa tuhuma za ujangili wa misitu ikiwemo…
7 November 2023, 6:49 pm
Kipigo cha Simba kimeendelea kupeleka neema Jangwani baada ya wadau kuanza kujitokeza kutoa zawadi za pongezi. Na Mrisho Sadick – Geita Baada ya Yanga kuifunga Simba goli 5 – 1 shabiki wa Yanga mkoani Geita Hussein Mwananyanzara ameahidi kutoa ng’ombe…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.