Storm FM

Recent posts

8 December 2023, 1:37 pm

TEMESA kujiendesha kisasa kuondoa malalamiko

TEMESA kujivua gamba ili kwendana na kasi ya teknolojia kwa kufanya mabadiliko kwenye mfumo wa utendaji kazi ili kuondoa malalamiko kwa wadau wake. Na Mrisho Sadick – Geita Wakala wa ufundi na umeme Tanzania (TEMESA) umekusudia kujiendesha kisasa kwa kufanya…

8 December 2023, 8:53 am

Wananchi walia na waya uliopita chini kwenye makazi yao

Changamoto ya nyaya zilizopitishwa chini ya nyumba za watu kinyemela zimezua taharuki kwa wakazi wa Tambukareli mjini Geita. Na Kale Chongela- Geita Baadhi ya wakazi wa mtaa wa Tambukareli kata ya kalangalala mjini Geita wanaoishi pembezoni mwa Barabara ya Q…

6 December 2023, 8:22 am

Vyoo, visima na nyumba vyazingirwa na maji Ibolelo, Geita

Ni moja ya eneo lililopo mtaa wa Ibolelo, kata ya Nyankumbu mjini Geita ambalo limeathirika na mvua, Je wananchi wanaishi vipi katika mazingira haya?. Na Evance Mlyakado- Geita Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Geita zimeendelea kuleta…

4 December 2023, 1:50 pm

Utalii wa ndani umeongezeka kwa 159%

Elimu ya utalii imeendelea kuwaingia wananchi hali ambayo imekuwa ikichochea ukuaji wa utalii wa ndani kwa kasi. Na Mrisho Sadick – Geita Idadi ya utalii wa ndani imeongezeka kwa asilimia 159 mwaka 2023 huku wananchi wakihimizwa kuendelea kutembelea nakuwekeza kwenye…

3 December 2023, 9:28 pm

Wafutwa kazi kwa kusheherekea siku ya kuzaliwa kwa kumwagiana dripu

Wafanyakazi wawili wa Hospitali ya Sakamu wamezua taharuki kwa kusheherekea kwa furaha siku ya kuzaliwa ya mwenzao kwa kutumia majitiba maarufu ‘dripu’. Na Said Sindo- Geita Wafanyakazi watatu wa hospitali binafsi ya Sakamu iliyopo eneo la Magereza, mtaa wa Katoma,…

27 November 2023, 11:36 pm

Kivuko cha meli Mharamba chasombwa na maji, wananchi wakwama

Mvua zinazoendelea kunyesha bado ni changamoto kwa wakazi katika maeneo tofauti mkoani hapa. Na Said Sindo- Geita Wakazi wa kijiji cha Mharamba, wilaya ya Geita mkoani Geita wamesema maisha yao yako hatarini kutokana na kivuko (Gati) walichokuwa wakitumia kusombwa na…

26 November 2023, 12:54 am

Wafanyabiashara kupatiwa mikopo ya bei nafuu

Kilio cha wafanyabiashara kupata mikopo kutoka benki na kutambulika kibiashara, sasa imepata ufumbuzi baada ya wao wenyewe kusimama kidete kutetea hilo. Na Daniel Magwina- Geita Viongozi Chemba ya wafanyabiashara mkoa wa Geita wameanza ziara ya kutembelea Taasisi za fedha mkoa…

25 November 2023, 11:26 am

Mwanamke aliyejeruhiwa na mume wake anaendelea vizuri

Bwana Colini mtendaji wa mtaa wa 14 kambarage ndiye aliyetolea taarifa tukio hilo la ugomvi wa mke na mume baada ya kutokea mtaani hapo. Na Kale Chongela- Geita Mwanamke Justina Paul ambaye alijeruhiwa kwa panga sehemu mbalimbali za mwili wake na…

22 November 2023, 6:25 am

Msako kuanza madereva pikipiki wanaokunja namba za usajili

Changamoto ya baadhi ya madereva pikipiki kukunja namba za usajili za vyombo vyao imekuwa kubwa kiasi cha Jeshi la Polisi mkoa wa Geita kuingilia kati kwa sababu za kiusalama. Na Kale Chongela- Geita Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limeanza…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.