

12 December 2022, 2:26 pm
Serikali imeahidi kuendelea kushirikiana na viongozi wa Dini hapa nchini kwakuwa wamekuwa msaada katika kuchochea shughuli mbalimbali za maendeleo pamoja na kupambana na vitendo vya Ukatili wa kijinsia katika jamii. Kauli…
12 December 2022, 11:00 am
Na: Mrisho Sadick: Katika hali ya kushangaza Mtu anaedaiwa kuwa Mchungaji alietambulika kwa jina la Abdiel Raphael mwenye umri wa miaka (42) Mkazi wa Mtaa wa Uwanja kata ya Nyankumbu halmashauri ya mji wa Geita amefariki dunia kwa kile kilichoelezwa…
11 March 2022, 5:43 pm
Na Zubeda Handrish: Katika hali ya kusikitisha familia moja katika mtaa wa Majengo uliopo kijiji cha Kasamwa mkoani Geita wamevamiwa na kuibiwa mali na wanafamilia wawili wanawake kubakwa na watu sita. Baada ya tukio hilo kutokea wamezungumza wahusika.
11 March 2022, 5:38 pm
Na Zubeda Handrish: Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Rosemary Senyamule leo March 10, 2022 amefanya ziara ya kutembelea Miradi ya Maendeleo ikiwamo ya Mradi wa Ujenzi wa Shule ya Sekondari Nzera-Nyanza Kupitia Fedha za Mradi wa Kuboresha Elimu SEQUIP iliyopo katika…
11 March 2022, 5:34 pm
Na Joel Maduka: Imeelezwa kuwa, Kampuni ya Peak Resources Ngualla (PRNG) itakayo jihusisha na uchimbaji wa madini ya teknolojia ya Rare Earth Elements ipo katika hatua za mwisho za makubaliano na serikali ili ianze uchimbaji wa madini hayo. Hayo yamebainishwa…
3 January 2022, 10:50 am
Na Mrisho Sadick: Washindi wa kujibu maswali juu ya aina za kondom pamoja na matumizi yake sahihi wakikabidhiwa zawadi zao katika Bonanza la michezo mbalimbali la kuukaribisha Mwaka Mpya wa 2022 lililodhaminiwa na Storm FM, SML na Mcharo Entertainment katika…
3 January 2022, 10:42 am
Na Zubeda Handrish: Kituo cha redio cha Storm FM kimeanza mwaka mpya wa 2022 kwa Bonanza la Michezo mbalimbali ikiwemo kukimbiza kuku, Mpira wa miguu, Kukimbia na yai kwenye kijiko ambalo na mingineyo, lililofanyika katika viwanja vya shule ya msingi…
23 September 2021, 6:19 pm
Na Zubeda Handrish: Shirika lisilo la kiserikali la Internews Tanzania limetoa mafunzo maalumu ya siku mbili ili kuwajengea uwezo wanahabari wa Tanzania kuandika kwa usahihi habari za watu wenye ulemavu zenye mchango katika maendeleo ya watu wenye ulemavu. Mafunzo hayo…
22 September 2021, 4:29 pm
Na Mrisho Sadick: Serikali imeahidi kusimama na wachimbaji pamoja na wafanyabiashara wa madini ya dhahabu hapa nchini kutokana na Sekta hiyo kuendelea kuongeza Pato la taifa. Hayo yamebainishwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Kassim Majaliwa…
22 September 2021, 11:04 am
Na Kale Chongela: Kikundi Cha Ngoma kutoka Mkoa wa Mwanza kikiendelea kutumbuiza katika Uwanja wa EPZ Bombambili mjini Geita, kwenye Maonesho ya Nne ya Teknolojia na Uwekezaji katika Sekta ya Madini ambayo leo tarehe 22 Septemba yatazinduliwa rasimi na Waziri…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.