Storm FM
Storm FM
19 January 2024, 12:54 pm
Baadhi ya vijana wilayani Chato wameonesha hisia zao kwa kuungana na Rais Dkt Samia kwa kile walichokieleza kuwa wana imani na serikali yake. Na Daniel Magwina: Kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu na uchaguzi Mkuu mwaka 2025 vijana…
17 January 2024, 11:18 am
Kutokana na matokeo mabaya ya darasa la nne na kidato cha pili mwaka jana wilaya ya Nyang’hwale imeanza mikakati ya mapema ili kuepukana na changamoto hiyo mwaka huu. Na Mrisho Sadick : Kufuatia anguko la kufeli wanafunzi wa darasa la…
15 January 2024, 5:01 pm
Mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu unaendelea kuenea mikoa ya Kanda ya Ziwa baada ya mikoa ya Mwanza na Kagera kukumbwa na ugonjwa huo sasa Geita nayo yatangaza. Na Mrisho Sadick – Geita Watu 12 wamethibitika kuwa na ugonjwa wa kipindupindu…
10 January 2024, 7:16 pm
Wawekezaji wazawa waliyopo wilayani Geita wametakiwa kushirikiana na serikali kuondoa changamoto mbalimbali zilizopo kwenye sekta ya elimu kwenye maeneo waliyowekeza. Na Mrisho Sadick – Geita Wakazi wa Mtaa wa Nyamalembo Kata ya Mtakuja Halmashauri ya Mji wa Geita wameishukuru kampuni…
10 January 2024, 6:57 pm
Serikali ya awamu ya sita imejidhatiti katika kuimarisha mawasiliano nchini kwa kuongeza kasi ya ujenzi wa minara na vituo vya kuongeza nguvu ya mawasiliano. Na Mrisho Sadick – Chato Naibu Waziri wa Habari ,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhandis Kundo…
4 January 2024, 11:12 am
Mwanamke Mugumba Misalaba aliyepatikana akiwa hai Fitina baada ya kufariki miaka 3 iliyopita. Picha na Amon Bebe Matukio ya baadhi ya watu kufariki dunia na kuonekana tena yameendelea kutokea katika maeneo tofauti, jambo ambalo linazua mizozo na kuhusishwa na imani…
3 January 2024, 10:27 am
Vijiji vitano vya kata ya Bukondo mkoani Geita havina huduma za maji huku zahanati ya Bukondo inayohudumia vijiji vitano katika kata hiyo ikiwa na watumishi wawili tu. Na Zubeda Handrish- Geita Wananchi wa kata ya Bukondo mkoani Geita wamemweleza changamoto…
2 January 2024, 8:41 am
Kilio kimeendelea kwa wafanyabiashara wa samaki kutozwa tozo kubwa wanawapokuwa njiani wakati wanataka kuzifikisha samaki hizo sokoni na kuamua kutoa ya moyoni. Na Zubeda Handrish- Geita Wafanyabiashara wa samaki katika soko la jioni (Joshoni) Nyankumbu mjini Geita, wamezungumzia changamoto ya…
13 December 2023, 4:00 pm
Wilaya ya Bukombe imetekeleza Ilani ya chama cha mapinduzi CCM kwa kujenga ofisi za kisasa. Na Zubeda Handrish- Geita Makamu mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Abrahman Kinana, amezindua ofisi ya kisasa ya chama hicho wilayani Bukombe mkoani…
8 December 2023, 1:50 pm
Jamii imeombwa kuendelea kuwakumbuka watu wenye mahitaji maalumu kwakuwa bila kuungana kwa pamoja kuwasaidia wataendelea kuisha katika mazingira magumu. Na Mrisho Sadick – Geita Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Geita imetoa msaada wa Chakula na vitu mbalimbali kwa…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.