Storm FM

Recent posts

21 February 2024, 12:20 am

Wanawake kujifungulia njiani kumewasukuma kuanzisha Zahanati

Changamoto ya vifo vya kina mama wajawazito na watoto kufariki njiani bado ni tatizo ambapo baadhi ya watu wameendelea kutafuta ufumbuzi kwa kusogeza huduma za afya karibu na makazi yao. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa Kitongoji cha Bwenda Kata ya…

20 February 2024, 12:10 am

TANESCO yaagizwa kuweka umeme shuleni

Kutokana na kasi ya ukuaji wa teknolojia hasa katika elimu umeme umekuwa lulu kwakuwa vifaa vingi vya kufundishia vinahitaji nishati hiyo. Na Mrisho Sadick: Shirika la umeme Tanzania TANESCO Mkoa wa Geita limeagizwa kufikisha umeme katika Shule ya Sekondari Bugegere…

19 February 2024, 12:11 am

Wahujumu miradi Geita kukiona cha moto

Kushindwa kukamilika kwa wakati miradi ya maendeleo Mkoani Geita imebainika kuwa kuna baadhi ya watu ambao wanafanya hujuma. Na Mrisho Sadick: Serikali Mkoani Geita imeagizwa kuwachukulia hatua kali watu wanaohujumu na kuchelewesha miradi ya maendeleo kwasababu zao binafsi licha ya…

16 February 2024, 2:44 pm

Kinababa pelekeni watoto kwenye chanjo

Jamii imetakiwa kuona umuhimu wa kuwapeleka watoto wao kupatiwa chanjo ili kuwakinga na maradhi mbalimbali. Na Mrisho Shabani: Kina baba Mkoani Geita wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuwapeleka watoto wao wenye umri wa kuanzia miezi tisa hadi miaka mitano kupatiwa chanjo…

6 February 2024, 4:48 pm

Mwanafunzi afariki wakati akiogelea bwawani Geita

Mvua zinazoendelea kunyesha zimesababisha mashimo makubwa kujaa maji nakuleta madhara kwa watu na wanyama waliyopembezoni mwa mashimo hayo. Na Kale Chongela: Mwanafunzi wa darasa la saba katika shule ya msingi Mbabani Kata ya Mtakuja Halmashauri ya mji wa Geita  wilayani Geita amefariki…

3 February 2024, 7:23 pm

UWT Ludete yawapa tabasamu wanafunzi walioripoti bila sare

Jamii yashauriwa kuendelea kuwasaidia wanafunzi wanaoishi kwenye mazingira magumu ili waweze kutimiza ndoto zao. Na Mrisho Sadick: Wananchi kwa kushirikiana na Jumuiya ya umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Kata ya Ludete wilayani Geita wamejitokeza kuwasaidia wanafunzi wanaoishi kwenye mazingira magumu…

2 February 2024, 4:12 pm

Taharuki mlipuko na maporomoko ya tope Chato

Siku chache baada ya kutokea kwa maporomoko makubwa ya tope mkoani Manyara hali hiyo imejitokeza Chato mkoani Geita japo siyo kwa ukubwa. Na Mrisho Shabani Wakazi wa kitongoji cha Iloganzara kijiji cha Songambele wilayani Chato Mkoani Geita wamekumbwa na taharuki…

30 January 2024, 12:46 pm

Polisi: Hakuna malipo kupata dhamana

Kutokana na uwepo wa malalamiko kutoka kwa wananchi kuwa huwezi kupata mdhamana kutoka polisi bila kutoa rushwa jeshi la polisi limekanusha taarifa hizo. Na Mrisho Shabani: Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani Geita kamishna msaidizi wa polisi ACP Safia Jongo…

28 January 2024, 12:55 pm

Wachimbaji na wavuvi hawatumii vyoo kisa imani potofu

Makundi ya wachimbaji na wavuvi yako hatarini kupata magonjwa ya mlipuko hususani kipindupindu kwasababu hawatumii vyoo kwenye maeneo yao. Na Mrisho Shabani: Wachimbaji wa madini ya dhahabu pamoja na wavuvi mkoani Geita wametajwa kuwa ni miongoni mwa makundi ambayo hayana…

25 January 2024, 5:52 pm

Walimu wanyang’anywa madawati, wakaa chini Geita

Kitendo cha walimu kunyang’anywa madawati waliyokuwa wakiyatumia kwenye ofisi yao kimezua mjadala. Na Mrisho Shabani – Geita Chama cha walimu Tanzania (CWT) wilayani Geita kimelaani kitendo cha serikali ya kijiji cha Nyansalala Kata ya Bukondo wilayani Geita cha kuwanyang’anya walimu…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.