Storm FM
Storm FM
4 May 2024, 1:13 pm
Kutokana na kundi la bodaboda kutajwa kutokuzingatia suala la usalama na afya mahala pa kazi wadau wameombwa kuendelea kujitokeza kutoa elimu kwa kundi hilo ili kuepuakana na vifo au ulemavu wa kudumu. Na Mwandishi Wetu: ZAIDI ya madereva bodaboda 200…
3 May 2024, 8:20 pm
Karibu katika makala inayoangazia mvua athari zilizosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mkoani Geita ambapo mbali nakusababisha uharibifu mkubwa wa miundombinu ya barabara pia zimesababisha vifo hususani kwa watoto wadogo wanaoishindwa kujisaidia wenyewe. Makala hii imeandaliwa na Mrisho Sadick nakuwasilishwa…
3 May 2024, 7:43 pm
Kukosekana kwa mbadala wa kemikali yenye gharama nafuu ya uchenjuaji wa madini ya dhahabu, imeendelea kuziweka rehani afya za wachimbaji wa madini mkoani Geita kwa kutumia kemikali ya zebaki yenye madhara kiafya. Na Mrsiho Sadick – Geita: Serikali imeanza kutoa…
3 May 2024, 6:07 pm
Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Geita imeendelea kupiga hatua katika utoaji wa huduma mbalimbali za kiafya ikiwemo huduma ya mama na mtoto, huduma za uchuguzi na tiba za awali za saratani ya mlango wa kizazi pamoja na huduma ya…
3 May 2024, 11:29 am
Baada ya kupita muda mrefu licha ya zahanati iliyojengwa kwa nguvu za wananchi kushindwa kutoa huduma, hatimaye kilio cha wananchi wa kijiji cha Lubanda kata ya Busanda kimesikika. Na: Ester Mabula – Geita Diwani wa kata ya Busanda Selemani Gwamala…
2 May 2024, 4:13 pm
Licha ya jitihada za serikali kuwekeza katika elimu kwa kujenga shule mpya na za kisasa kwa baadhi ya maeneo nchini, bado ni kitendawili kwa wakazi wa mtaa wa Uwanja kutokana na kukosa shule ya upili (sekondari). Na: Edga Rwenduru –…
2 May 2024, 3:52 pm
Siku ya wafanyakazi duniani ambayo huadhimishwa kila mei mosi ya kila mwaka huangazia mafanikio na haki za wafanyakazi kwa kufanya maandamano, mikutano na matukio mengine yakiambatana na mashinikizo ya kutambua haki za wafanyakazi. Na: Edga Rwenduru – Geita Baadhi ya…
2 May 2024, 10:47 am
Kwakuwa serikali ndie msimamizi mkuu wa shughuli zote hapa nchini imetakiwa kufanya tathimini ya utendaji kazi wa sekta binafsi kwani zinadaiwa kukabiliwa na changamoto nyingi. Na Mrisho Sadick – Geita Wafanyakazi wa sekta binafsi na sekta zisizo rasmi Mkoani Geita…
2 May 2024, 10:23 am
Mgodi wa GGML umeendelea kushirikiana na serikali kuwaletea maendeleo wananchi kwa kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo katika sekta za afya , elimu na uchumi. Na Mwandishi wetu: Mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Makonda ametoa wito kwa Kampuni ya Geita…
1 May 2024, 7:04 pm
GGML ni kampuni inayoendeshwa kwa kufuata sheria na taratibu walizojiwekea jambo ambalo linaifanya kuendelea kusifika nakuwa mfano wa kuigwa hapa nchini. Na Mwandishi wetu: SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) pamoja na Wakala wa Usalama na Afya mahalipa kazi…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.