Storm FM
Storm FM
21 June 2024, 10:29 am
Wananchi wa mtaa wa Mbugani mjini Geita wamekumbwa na taharuki baada ya transifoma iliyopo katika mtaa huo kupata hitilafu na kushika moto hali iliyopelekea kukatika kwa umeme katika eneo hilo. Na: Evance Mlyakado – Geita Tukio hilo limetokea usiku wa…
21 June 2024, 10:26 am
Kukosekana kwa kituo kidogo cha polisi katika kata ya Ikunguigazi wilayani Mbogwe mkoani Geita kumetajwa kuwa ni chanzo cha vitendo vya uhalifu katika vijiji vya kata hiyo. Na: Nicolaus Lyankando – Geita Samwely Nestory ni mhanga wa tukio la hivi…
19 June 2024, 4:23 pm
Chemba ya wanawake wafanyabiashara mkoa wa Geita (TWCC) imetoa elimu katika mafunzo ya siku mbili kwa wajasiriamali halmashauri ya mji wa Geita juu ya uboreshaji wa bidhaa. Na: Kale Chongela – Geita Serikali mkoani Geita imewataka wajasirimali kuendelea kujenga desturi…
18 June 2024, 8:40 pm
Kuanza kushika kasi kwa matukio ya watu wenye ualbino kuuawa nakukatwa viungo vyao imewaibua wananchi mkoani Geita Na Mrisho Sadick: Wananchi na mashirika ya kiraia mkoani Geita wamelaani vikali tukio la mtoto mwenye ualbino kuuawa na kukatwa viungo vyake vya…
18 June 2024, 7:41 pm
Katika kupunguza changamoto kwa watoto wenye ulemavu mashirika mbalimbali mkoani Geita yameombwa kuendelea kujitokeza kulisaidia kundi hilo. Na Mrisho Sadick – Geita Shirika la NELICO Mkoani Geita limeadhimisha siku ya mtoto wa afrika kwa kutoa viti mwendo 50 na bima…
18 June 2024, 5:50 pm
Kijana Laiza mkazi wa mtaa wa Kivukoni, kata ya Kalangalala Halmashauri ya Mji wa Geita amekutwa na chupa nyingi zilizotumika zikiwa zimejaa mkojo chumbani kwake. Na: Edga Rwenduru – Geita Akizungumzia tukio hilo Juni 17, 2024 mama mwenye nyumba aishiyo…
18 June 2024, 8:27 am
Na Adelina Ukugani: Karibu katika makala ya Tafakari Pevu, kipindi kinachokukutanisha wewe msikilizaji na kiongozi wako kujadili masuala mbalimbali yanayotatiza utekelezaji wa dhana ya utawala bora Mkoani Geita. Tafakari Pevu inatoa nafasi kwako kuibua changamoto katika eneo lako zinazokwamisha mikakati ya wananchi na viongozi kujiletea…
14 June 2024, 5:09 pm
Serikali mjini Geita imeendelea na ukarabati wa barabara ambazo zimekuwa na changamoto hususani ambazo pia ziliharibiwa katika kipindi cha mvua. Na: Kale Chongela – Geita Bi. Tumaini Ndayumbayumba mkazi wa mtaa wa Mwatulole kata ya Buhalahala mjini Geita ameuomba uongozi…
14 June 2024, 10:30 am
Suala la umakini hutajwa kuwa jambo muhimu zaidi katika eneo la kazi/biashara nk ambapo baadhi ya watu wameendelea kutapeli mali za watu kwa kutumia njia mbalimbali ikiwemo udanganyifu na kuwaacha watapeliwa njia panda. Na: Amon Mwakalobo – Geita Mwendesha pikipiki…
13 June 2024, 11:14 am
Mkuu wa wilaya ya Geita Hashim Komba ameendelea kufanya ziara kwa kutembelea maeneo mbalimbali ya wilaya ya Geita na kukagua miradi ya maendeleo ambayo inaendelea kutekelezwa katika wilaya hiyo. Na: Kale Chongela – Geita Serikali wilaya ya Geita imewataka wasimamizi…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.