Storm FM

Recent posts

21 April 2021, 10:46 am

GGML yapewa ruhusa uchimbaji wa wazi

Na Joel Maduka: Kampuni ya uchimbaji wa madini ya Anglo Gold Ashanti Kupitia mgodi wake wa Geita Gold Mining Limited (GGML) imepokea ruhusa ya mpango wa uchimbaji madini wa mwaka 2021 unaohusisha uchimbaji wa wazi na wa chini kwa chini…

19 April 2021, 6:34 pm

Wanafunzi wasifu ujenzi wa shule Mpya Geita

Wanafunzi Wa Shule Ya Sekondari Ya Evarist Iliyopo Kata Ya Nyarugusu Wilayani Geita Wameipongeza Serikali Kwa Kushirikiana Na Wadau Wa Maendeleo Katika Eneo Hilo Kwa Kufanikisha Ujenzi Wa Shule Hiyo. Wakizungumza Katika Shule Hiyo Ambayo Imeanza Kutoa Elimu Ya  Kidato…

19 April 2021, 6:23 pm

Wafanyabiashara waomba mpangilio Mzuri wa soko

Na Elizabeth Obadia: Wafanyabiashara wa wa soko la asubuhi la Nyankumbu halmashauri ya mji wa Geita wameuomba uongozi wa mtaa huo kuweka mpangilio mzuri wa soko ili kuwasaidia wao kupata wateja kwa wepesi. Wakizungumza kwa nyakati tofauti baadhi ya wafanyabiashara…

16 April 2021, 11:13 pm

Mashabiki wote watakuwa salama katika Mchezo wetu na Pamba FC

Mjumbe wa kamati kuu tendaji wa chama cha mpira wa miguu Geita (GEREFA) Simon Shija amesema kila kitu kwa maana ya maandalizi kuelekea mchezo wa kesho ligi daraja la kwanza Tanzaniabara baina ya Geita Gold FC dhidi ya Pamba SC…

16 April 2021, 6:23 pm

Shule mpya ya sekondari kuondoa changamoto Geita

Na Mrisho Sadick: Kukamilika kwa ujenzi wa shule ya sekondari Evarist iliyopo kata ya nyarugusu wilayani Geita umesaidia kupunguza mrundikano wa wanafunzi  katika shule ya sekondari ya nyarugusu iliyopo katani humo. Akizungumza na Storm FM shuleni hapo afisa elimu wa…

16 April 2021, 6:06 pm

Geita Gold FC yaapa kupanda ligi kuu 2021/22

Na William Petro: Klabu ya soka ya Geita Gold FC ya mkoani Geita inayoshiriki ligi daraja la kwanza Tanzania bara imesema kuwa mchezo wake wa kesho 17/04/2021 dhidi ya Pamba FC ya Mwanza ndio otakatoa hatima ya klabu hiyo kupanda…

16 April 2021, 5:56 pm

Takukuru Mkoani Geita yaokoa zaidi ya Million 300

Na Joel Maduka: Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoani Geita kwa Kipindi cha kuanzia Januari hadi Machi 2021 imefanikiwa kuokoa kiasi cha zaidi ya Tanzania shilingi milioni miatatu ambazo zilikuwa zimefanyiwa ubadhirifu kwa njia mbalimbali za rushwa…

15 April 2021, 6:23 pm

Tukuze Utalii wa ndani sisi wenyewe

Na Mrisho Sadick: Katika kukuza utalii wa ndani baadhi ya walimu wa shule za msingi na sekondari Mkoani Geita wameungana kwa pamoja  kuchangia ziara ya  mafunzo katika Hifadhi za Taifa  kwa lengo la kujijengea uwezo wa kitaaluma kuhusu rasilimali hizo.…

15 April 2021, 6:15 pm

Wanufaika wa Tasaf Geita wapewa ushauri

Na Elizabeth Obadia Wakazi wa mtaa wa nyamalembo wanaonufaika na mpango wa kunusuru kaya masikini tanzania tasaf wameshauriwa kuzitumia vizuri pesa wanazozipata kwa kufanya uwekezaji ili kujiongezea kipato zaidi. Hayo yamebainishwa na mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa nyamalembo Bw.…