Storm FM

Recent posts

1 July 2024, 10:32 am

Wananchi Sungusira waomba zahanati ianze kazi

Ujenzi wa zahanati katika kijiji cha Sungusira kata ya Nzera halmashauri ya wilaya ya Geita unatarajiwa kuondoa adha ya kutembea umbali mrefu kwa wananchi wa eneo hilo kufuata huduma za afya katika vijiji jirani. Na:Evance Mlyakado -Geita Wananchi wa kijiji…

27 June 2024, 4:14 pm

Makampuni ya ulinzi Geita yatakiwa kuhakikiwa

Jeshi la polisi mkoani Geita limeagiza madiwani wote katika halmashauri zote za mkoa wa Geita kuhakikisha wanahakiki makampuni ya ulinzi yaliyopo katika maeneo yao ili kuepukana na vitendo vya uhalifu. Na: Edga Rwenduru – Geita Hayo yamebainishwa na Kamanda wa…

27 June 2024, 2:21 pm

Sakata la mgomo wafanyabiashara lafika Katoro Geita

Sakata la mgomo kwa wafanyabiasha lililoanzia soko la kariakoo jijini Dar es salaam limeendelea kuchukua sura mpya katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania. Na: Evance Mlyakado – Geita Wafanyabiashara wa Mamlaka ya mji mdogo wa Katoro mkoani Geita jana Juni 26,…

25 June 2024, 1:12 pm

Watu wanne wakamatwa na mali za wizi Geita

Licha ya jitihada za Jeshi la polisi mkoani Geita kuendelea kuimarisha ulinzi, bado vitendo vya wizi na uporaji vinaendelea kujitokeza katika baadhi ya maeneo mkoani Geita. Na: Evance Mlyakado – Geita Watu wanne akiwemo Ezekieli Misalaba maarufu kama ‘Mr. Masamaki”…

25 June 2024, 11:45 am

TUWALEE KWA PAMOJA yasaidia wahitaji mjini Geita

Kikundi cha TUWALEE kilichopo mjini Geita kimetoa msaada wa mahitaji mbalimbali kwa makundi ya watu wenye uhitaji mkoani Geita. Na: Edga Rwenduru – Geita Kikundi hicho chenye zaidi ya wanawake 30 ambao ni wafanyabiashara na wajasiriamali kimetoa msaada huo Juni…

24 June 2024, 4:33 pm

Mwenyekiti mtaa wa Mwatulole auwawa na watu wasiojulikana

Matukio ya ukatili ikiwemo vitendo vya mauaji bado ni changamoto kwa baadhi ya mkoani Geita hali inayozua hofu kwa wananchi. Na: Kale Chongela – Geita Mwenyekiti wa mtaa wa Mwatulole uliopo kata ya Buhalahala mjini Geita, Noel Ndasa ameuawa kwa…

24 June 2024, 7:34 am

CCM yaagiza viongozi wazembe washughulikiwe Geita

Viongozi wazembe wanaokwamisha miradi na wenye dharau wamekalia kuti kavu mkoani Geita baada ya katibu wa NEC kuagiza wasakwe na wachukuliwe hatua. Na Mrisho Sadick: Katibu wa NEC Organization na mlezi wa CCM Mkoa wa Geita Issa Haji Ussi GAVU…

22 June 2024, 3:33 pm

DC Geita akemea migogoro ya wakulima na wafugaji

Migogoro ya wakulima na wafugaji hutajwa kuwa chanzo cha kurudisha nyuma maendeleo katika jamii za wafugaji na wakulima, jambo ambalo viongozi hukemea vikali. Na: Kale Chongela – Geita Wakazi wa mtaa wa Mpomvu kata ya Mtakuja mjini Geita wameiomba serikali…

21 June 2024, 2:01 pm

Ahukumiwa kunyongwa kwa kumuua mtoto wake Geita

Matukio ya ukatili yanaendelea kuacha maswali mengi kutokana na ndugu wa karibu pamoja na wazazi kutajwa kuhusika kwenye baadhi ya matukio hayo dhidi ya watoto wao. Na: Kale Chongela – Geita Mahakama kuu kanda ya Geita imemhukumu kunyongwa hadi kufa…

21 June 2024, 10:51 am

Viongozi, wananchi kijiji cha Ikunguigazi wajivunia mafanikio

Mwenyekiti wa kijiji cha Ikunguigazi ameandaa hafla fupi ya kujipongeza pamoja na wananchi wake kufuatia mafanikio ya kijiji yaliyopatikana kwa muda wa miaka mitano iliyopita. Na: Nicolaus Lyankando – Geita Mwenyekiti wa kijiji cha Ikunguigazi ameandaa hafla fupi ya kujipongeza…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.