Storm FM
Storm FM
8 August 2024, 12:24 pm
Zoezi la kujiandikisha na kuboresha taarifa katika daftari la kudumu la mpiga kura linaendelea katika mkoa wa Geita tangu kuanza Agosti 05, 2024 Ikiwa leo ni siku ya tatu ya tangu kuanza kwa zoezi la kujiandikisha na kuboresha taarifa za…
8 August 2024, 11:58 am
Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji nchini (EWURA) Agosti 0, 2024 imetoa bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa hapa nchini zitakazotumika kwa mwezi Agosti. Na: Ester Mabula – Geita Bei ya…
7 August 2024, 1:45 pm
Kufuatia mvua za masika zilizonyesha kwa mwaka 2024 kuacha uharibifu kwa baadhi ya miundombinu ya barabara, serikali mkoa wa Geita yaanza mikakati ya matengenezo. Na: Edga Rwenduru – Geita Serikali kupitia wakala wa barabara mijini na vijijini TARURA mkoa wa…
6 August 2024, 3:33 pm
Kituo cha redio cha Storm FM kilichopo mkoani Geita kinaendesha kampeni ya kupinga vitendo vya ukatili iitwayo INATOSHA PINGA UKATILI yenye lengo la kupaza sauti kwa jamii kuachana na vitendo vya ukatili. Na: Evance Mlyakado – Geita Katika hali isiyokuwa…
6 August 2024, 12:13 pm
Uhitaji wa damu salama katika hospitali ya halmashauri ya mji wa Geita bado ni mkubwa ukiliganisha na wahitaji kwani kwa siku hutumika unit 20 hadi 25. Na: Kale Chongela – Geita Mratibu wa kitengo cha damu salama katika hospitali hiyo…
6 August 2024, 11:58 am
Kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, mkoa wa Geita umeanza zoezi la uandikishaji na uboreshaji wa daftari la kudumu la mpiga kura. Na: Kale Chongela – Geita Zoezi la uandikishaji na uboreshaji wa taarifa katika daftari la kudumu la mpiga…
2 August 2024, 2:20 am
Dhana potofu kwa wakulima juu ya mbolea za viwandani imeendelea kukosesha wakulima fursa mbalimbali ikiwemo kupata mavuno mengi. Na: Evance Mlyakado – Geita Wadau wa kilimo mkoani Geita wametakiwa kufanya tafiti zenye kuleta tija ili kuwasaidia wakulima kukabiliana na changamoto…
1 August 2024, 3:08 am
Kampuni ya GGML imeendelea kuiishi dhana ya kuwa usalama ni tunu namba moja inayoendesha shughuli zote za ndani na nje ya mgodi na hivyo kusaidia jamii kuwa na tabia chanya za kuzingatia usalama. Na: Evance Mlyakado – Geita Geita Gold…
1 August 2024, 2:42 am
Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU) mkoa wa Geita imeendelea kufanya uchunguzi wa miradi mbalimbali ili kubaini iwapo kuna ubadhirifu au ukamilifu wa miradi hiyo. Na: Kale Chongela – Geita Jumla ya kesi 19 za vitendo vya…
1 August 2024, 2:17 am
Wakazi wa kata ya Nyarugusu Wilaya ya Geita wamelalamikia hali ya kusimama kwa ujenzi wa barabara yenye urefu wa kilomita moja. Na: Kale Chongela – Geita Malalamiko ya wanachi hao yamekuja kufuatia usumbufu ambao wananchi hao wanaeleza kuupata hususani watumiaji…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.