Storm FM

Recent posts

06/09/2024, 07:53

Maulid kitaifa kufanyika mkoani Geita

Sherehe za Maulid ni maadhimisho ya kuzaliwa kwa Mtume uhammad (SAW) ambayo huadhimishwa kila mwaka katika mwezi wa Rabiul Awwal kwenye kalenda ya kiislamu ambapo siku hii ilianza rasmi kusheherekewa katika karne ya 12. Na: Kale Chongela – Geita Baraza…

06/09/2024, 07:32

Mkandarasi atelekeza mradi wa maji Katoro

Serikali kupitia wakala wa usambazaji maji vijijini (RUWASA) imeendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya maji ili kuondoa changamoto kwa wananchi katika wilaya ya Geita. Na: Evance Mlyakado – Geita Mkuu wa wilaya ya Geita Hashim Komba amefanya ziara ya kukagua miradi…

05/09/2024, 15:42

Wananchi wakerwa kusuasua ujenzi wa barabara

Kusuasua kwa ujenzi wa barabara yenye urefu wa mita 600 mkabala na kituo kikubwa cha magari ya abiria mjini Geita hadi soko la Mbagala kunatajwa kuongeza changamoto. Na: Kale Chongela – Geita Akizungumza kwa niaba ya madereva wenzake ambao hutumia barabara…

02/09/2024, 13:58

Wakulima wa Alizeti Geita mjini wapigwa msasa

Safina ya idara ya vijana imeendelea kutoa mafunzo na elimu kwa makundi mbalimbali ya watu ili kuwasaidia kujikwamua katika shughuli zao za kiuchumi. Na: Kale Chongela – Geita Ofisi ya mkurugenzi wa halmashauri ya mji wa Geita kwa kushirikiana na…

02/09/2024, 13:31

Rashi eneo la Mabunduki yanufaisha kijiji cha Nyakagwe

Geita ni mkoa ulioko kaskazini-magharibi mwa Tanzania ambao ni maarufu kwa uchimbaji wa madini ya dhahabu ambapo vijana wengi wamejiajiri hasa kupitia uchimbaji mdogo wa madini ili kuendesha maisha yao. Na: Ester Mabula – Geita Kijiji cha Nyakagwe kilichopo kata…

02/09/2024, 11:36

Mtoto (6) afariki bwawani akivua samaki Lulembela

Uhai wa mtoto Rashid Paul wakatishwa baada ya kuzama kwenye bwawa la maji ya umwagiliaji na kunyweshea mifugo Na Evance Mlyakado- Geita Mtoto wa kiume Rashid Paul John mwenye umri wa miaka 6 katika kitongoji cha Ilyamchele, kijiji cha Kabanga…

01/09/2024, 21:11

TAMISEMI yatoa maagizo kwa mkandarasi Geita

Kusuasua kwa mkandarasi anaetekeleza ujenzi wa mradi wa TACTIC wa barabara zenye urefu wa kilometa 17 TAMISEMI yatoa tamko. Na Evance Mlyakado – Geita. Licha ya serikali kutenga bajeti ya zaidi ya bilioni 22 kwaajili ya ujenzi wa barabara zenye…

01/09/2024, 20:45

Akiba atelekeza mke na watoto watatu

Licha ya serikali kuendelea kupambana kukomesha vitendo vya ukatili katika jamii lakini vitendo hivi vinaonekana kuendelea kujitokeza katika maeneo mengi hasa ya vijijini Mkoani Geita Na Evance Mlyakado -Geita. Mwanaume mmoja mkazi wa Nyantorotoro A anadaiwa kutekeleza Familia ya Mama…

28/08/2024, 01:50

Watatu wahukumiwa kifo mauaji ya Milembe Geita

Washtakiwa watatu kati ya wanne (wa kwanza kulia, wa kati na dada wa nyuma) waliokuwa wakishtakiwa kwa kosa la mauaji ya Milembe Suleiman (43) wametiwa hatiani kwa kutenda kosa hilo na kuhukumiwa kunyongwa hadi kufa. Na: Daniel Magwina – Geita…

26/08/2024, 15:02

Wadau Geita wapongeza mfumo mpya wa NECTA

Wanafunzi wa darasa la 7 kote nchini wanatarajia kuanza kufanya mtihani wa taifa wa kuhitimu elimu hiyo septemba 11 na 12 mwaka huu. Na: Ester Mabula – Geita Mkurugenzi wa shule ya awali na msingi Kadama Bi. Leticia Pastory amesema…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.