Storm FM

Recent posts

12 August 2024, 4:42 pm

GGML yafadhili mafunzo kukabiliana na majanga ya moto

Jumla ya watumishi 78 kutoka halmashauri ya mji wa Geita wamepewa mafunzo ya namna ya kukabiliana na majanga ya moto. Na: Ester Mabula – Geita Kampuni ya uchimbaji madini ya dhahabu ya GGML iliyopo mkoani Geita, kwa kushirikiana na Jeshi…

9 August 2024, 9:48 am

Vumbi lawa kikwazo kwa watumiaji wa stendi Geita mjini

Miundombinu mibovu kwenye stendi ya magari ya abiria mkoani Geita imetajwa kuwa kikwazo kwenye utoaji wa huduma. Na: Kale Chongela – Geita Watumiaji wa kituo kikubwa cha magari ya abiria mkoani Geita wamedai kukabiliwa na uwepo wa vumbi linalosababishwa na ubovu…

8 August 2024, 1:36 pm

RUWASA yaanza kutatua changamoto ya maji Nyarugusu

Wakazi wa kata ya Nyarugusu halmashauri ya wilaya ya Geita wameiomba serikali kutatua changamoto ya muda mrefu ya ukosefu wa maji safi na salama katika kijiji hicho kwani maji wanayotumia kwa sasa yanahatarisha afya zao. Na: Edga Rwenduru – Geita…

8 August 2024, 12:24 pm

Zaidi ya wananchi 24,000 wamejiandikisha mjini Geita

Zoezi la kujiandikisha na kuboresha taarifa katika daftari la kudumu la mpiga kura linaendelea katika mkoa wa Geita tangu kuanza Agosti 05, 2024 Ikiwa leo ni siku ya tatu ya tangu kuanza kwa zoezi la kujiandikisha na kuboresha taarifa za…

8 August 2024, 11:58 am

Watumiaji vyombo vya moto Geita watoa maoni bei mpya za mafuta

Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji nchini (EWURA) Agosti 0, 2024 imetoa bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa hapa nchini zitakazotumika kwa mwezi Agosti. Na: Ester Mabula – Geita Bei ya…

7 August 2024, 1:45 pm

Geita kuanza mikakati ukarabati barabara zilizoharibiwa na mvua

Kufuatia mvua za masika zilizonyesha kwa mwaka 2024 kuacha uharibifu kwa baadhi ya miundombinu ya barabara, serikali mkoa wa Geita yaanza mikakati ya matengenezo. Na: Edga Rwenduru – Geita Serikali kupitia wakala wa barabara mijini na vijijini TARURA mkoa wa…

6 August 2024, 3:33 pm

Binti ajifungua na kutupa kichanga chooni Geita

Kituo cha redio cha Storm FM kilichopo mkoani Geita kinaendesha kampeni ya kupinga vitendo vya ukatili iitwayo INATOSHA PINGA UKATILI yenye lengo la kupaza sauti kwa jamii kuachana na vitendo vya ukatili. Na: Evance Mlyakado – Geita Katika hali isiyokuwa…

6 August 2024, 12:13 pm

Mwitikio wa uchangiaji damu bado mdogo mjini Geita

Uhitaji wa damu salama katika hospitali ya halmashauri ya mji wa Geita bado ni mkubwa ukiliganisha na wahitaji kwani kwa siku hutumika unit 20 hadi 25. Na: Kale Chongela – Geita Mratibu wa kitengo cha damu salama katika hospitali hiyo…

6 August 2024, 11:58 am

Geita yaanza zoezi la uandikishaji wapiga kura

Kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, mkoa wa Geita umeanza zoezi la uandikishaji na uboreshaji wa daftari la kudumu la mpiga kura. Na: Kale Chongela – Geita  Zoezi la uandikishaji na uboreshaji wa taarifa katika daftari la kudumu la mpiga…

2 August 2024, 2:20 am

Wadau wa kilimo wahimizwa kufanya tafiti zenye tija Geita

Dhana potofu kwa wakulima juu ya mbolea za viwandani imeendelea kukosesha wakulima fursa mbalimbali ikiwemo kupata mavuno mengi. Na: Evance Mlyakado – Geita Wadau wa kilimo mkoani Geita wametakiwa kufanya tafiti zenye kuleta tija ili kuwasaidia wakulima kukabiliana na changamoto…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.