Storm FM

Recent posts

22 June 2023, 8:29 am

Ugonjwa wa ajabu wamtesa Fikiri anaomba msaada wa Matibabu

Na Zubeda Handrish: Fikiri Manyilizu mwenye umri wa miaka (31) Mkazi wa Muleba Mkoani Kagera amemuomba Waziri wa Afya Mhe Ummy Mwalimu msaada wa matibabu baada ya kuugua ugonjwa wa ajabu ambao umemsumbua kwa muda mrefu. Fikiri anasema katika familia…

27 May 2023, 12:20 pm

Na Mrisho Sadick: Kufuatia Kampeni ya “TUMUWEZESHE” Iliyoratibiwa na Storm FM kwa kushirikiana na wadau mbalimbali kuchangia taulo za kike hatimaye zoezi hilo limefanikiwa kwa kutembelea nakutoa taulo hizo kwa wanafunzi wa kike katika baadhi ya shule zilizopo katika Halmashauri…

4 May 2023, 8:42 am

Wajasiriamali zaidi ya 100 wapata hasara.

Na Kale Chongela: Zaidi ya Wajasiriamali 100 waliopo njia panda mamlaka ya mji mdogo wa Katoro wilaya ya Geita  na mkoani Geita wameacha biashara hiyo kutokana na mzunguko kuwa mdogo. Hayo yamebainishwa na mwenyekiti wa umoja wa wajasiriamali waliopo katika…

6 January 2023, 10:03 am

Kichanga cha siku 2 chakutwa kimefariki katika dampo la uchafu.

Na Kale Chongela: Katika hali ya kusikitisha  kichanga kilichokadiliwa kuwa na siku mbili  kimekutwa kimefariki dunia katika  dampo la uchafu lililopo katika uwanja wa CCM kalangalala mjini Geita. Kaimu kamanda wa Jeshi la zimamoto na uokaji  mkoani Geita Inspekta Edward…

6 January 2023, 9:11 am

Wahanga wa shambulio la paka wa ajabu wapata ahueni.

Na Nicolaus Lyankando: Wananchi walioshambuliwa na Paka wa ajabu akiwemo Mtoto mwenye umri wa miaka (5) katika kitongoji cha Kilimahewa Kata ya Lulembela wilayani Mbogwe Mkoani Geita wanaendelea vizuri baada ya kupata matibabu. Tukio hilo limetokea hivi karibuni katika Kitongoji…

6 January 2023, 9:08 am

Wananchi wa Ilangasika watengua kauli ya kutoshiriki uchaguzi.

Na Said Sindo: Baada ya kilio cha muda mrefu cha Wananchi wa Kijiji cha Ilangasika kilichopo kata ya Lwamgasa katika Jimbo la Busanda baada ya kulalamika kwa muda mrefu juu ya hai mbaya ya barabara na daraja katika kijiji hicho…

6 January 2023, 9:03 am

Watoto wawili wafariki dunia kwa kuzama bwawani.

Na Kale Chongela: Watoto wawili,  Jebra Michael mwenye umri wa miaka (3) na  Mariam Ndarahwa mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu wakazi wa Mtaa wa Nyantorotoro B, Halmashauri ya mji wa Geita wamefariki Dunia kwa kuzama Bwawani wakati wakiwafuata…

6 January 2023, 8:57 am

Ujuzi wa mama yake wamtoa kimaisha.

Na Zubeda Handrish: Kijana Benjamin Samweli mzaliwa wa Mwanza mkazi wa Geita amezungumzia namna ambavyo mama yake mzazi amesaidia kwa kiasi kikubwa yeye kuingia kwenye biashara ya kutengeneza Culture. Kuanza kwa kumsaidia mama yeke kutengeneza hadi kufungua ofisi yake binafsi…

4 January 2023, 8:30 am

Wanachama wa CCM Nyarugusu wachangia ujenzi wa ofisi ya chama.

Na Kale Chongela: Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM ) Kata ya Nyarugusu wilayani Geita kwa kauli moja wameamua kuchangishana fedha kwa ajili ya ujenzi wa Ofisi ya chama ya Kata itakayogharimu kiasi cha Shilingi Milioni ( 50 ) ili…

4 January 2023, 8:25 am

Wizi wa ajabu wafanyika duka la dawa.

Na Adelina Ukugani: Jeshi la Polisi mkoani Geita limewataka wafanyabiashara kuchukua tahadhari ya watu ambao wanaenda kama wateja kununua bidhaa kwao ili wasiwaingize katika hasara ya kuibiwa ikiwa ni baada ya muuzaji wa duka la dawa kuibiwa  na watu walioingia…