Storm FM

Recent posts

7 October 2024, 9:52 am

Wananchi wahofia kupita daraja la Katundu nyakati za usiku

Uwepo wa daraja la Katundu ambalo linatumiwa na wananchi mbalimbali umepelekea hofu kwa baadhi ya wananchi kutokana na baadhi ya vijana kukaa hasa nyakati za usiku. Na: Amon Mwakalobo – Geita Baadhi ya wananchi halmashauri ya mji wa Geita wanaoutumia…

3 October 2024, 9:43 am

Kiongozi mbio za mwenge aridhishwa na mradi wa maji Mbogwe

Mwenge wa uhuru umeendelea kutembelea, kukagua na kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo mkoani Geita tangu ulipokabidhiwa rasmi Septemba 30, 2024. Na: Kale Chongela – Geita Mbio za Mwenge wa uhuru zimeridhishwa na mradi wa maji wenye thamani ya 2,050,923,546.11 uliopo…

2 October 2024, 10:55 am

Katibu mkuu ACT Wazalendo ahitimisha ziara mkoani Geita

Ziara ya katibu mkuu wa ACT Wazalendo Ado Shaibu katika maeneo mbalimbali mkoani Geita imetamatika kwa kutembelea halmashauri ya wilaya ya Bukombe. Na: Ester Mabula – Geita Katibu mkuu wa ACT Wazalendo Ado Shaibu Ado Septemba 30, 2024 amehitimisha ziara…

2 October 2024, 10:24 am

Mwenge waweka jiwe la msingi barabara yenye KM 1.24 Bukombe

Mwenge wa uhuru unaendelea kutembelea, kukagua na kuweka mawe ya msingi katika miradi mbalimbali ya maendeleo mkoani Geita tangu ulipopokelewa Septemba 30, 2024. Na: Kale Chongela – Geita Mwenge wa uhuru umeweka jiwe la msingi katika barabara inayojegwa kwa kiwango…

30 September 2024, 5:59 pm

Mwenge wa uhuru kukagua miradi ya Tsh. bilioni 32.2 Geita

Mwenge wa uhuru umepokelewa katika mkoa wa Geita na kuanza mbio zake wilayani Chato kwa shughuli ya kukagua, kuzindua, kutembelea na kuweka mawe ya msingi katika miradi mbalimbali ya maendeleo. Na: Kale Chongela – Geita Mkuu wa mkoa wa Geita…

30 September 2024, 5:31 pm

Katibu ACT Wazalendo ziarani wilayani Mbogwe

Chama cha ACT Wazalendo kimeendelea na ziara ya kutembelea maeneo mbalimbali nchini ambapo awamu hii wanaendelea na ziara katika mikoa ya kanda ya ziwa. Na: Ester Mabula – Geita Katibu wa ACT Wazalendo Ado Shaibu Ado Septemba 29, 2024 akiwa…

28 September 2024, 10:27 am

Wakazi Buhalahala wapongeza uwekwaji taa za barabarani

Mkoa wa Geita umeendelea kukua na kuimarika kupitia nyanja mbalimbali, hivyo uboreshaji wa miundombinu ni muhimu katika ukuaji wa uchumi. Na: Kale Chongela – Geita Wakazi wa kata ya Buhalahala halmashuri ya mji wa Geita  wameipongeza serikali kwa kuendelea kuboresha…

28 September 2024, 9:46 am

Ujenzi wa ofisi ya CCM kata ya Buhalahala waanza

Wana-CCM kata ya Buhalahala wameanza mchakato wa ujenzi wa ofisi ya chama hicho katika kata hiyo ili kuondoa changamoto ya muda mrefu ya kukosa ofisi. Na: Edga Rwenduru – Geita Wanachama wa chama cha mapinduzi CCM kata ya Buhalahala iliyopo…

26 September 2024, 10:17 pm

Mtoto (3) afariki dunia kwa kutumbukia kisimani Geita

Mtoto mwenye umri wa miaka mitatu amefariki dunia kwa kutumbukia katika kisima baada ya kudaiwa kutoweka nyumbani na kisha kukutwa ndani ya kisimani. Na: Ediga Rwenduru – Geita Mtoto mwenye umri wa miaka mitatu aliyetambulika kwa jina la Junior Mussa…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.