Storm FM
Storm FM
26 August 2024, 3:02 pm
Wanafunzi wa darasa la 7 kote nchini wanatarajia kuanza kufanya mtihani wa taifa wa kuhitimu elimu hiyo septemba 11 na 12 mwaka huu. Na: Ester Mabula – Geita Mkurugenzi wa shule ya awali na msingi Kadama Bi. Leticia Pastory amesema…
22 August 2024, 4:45 pm
CCM wilaya ya Geita kuwachukulia hatua baadhi ya wajumbe ambao wamekuwa wakitumia pikipiki za chama hicho kusafirisha abiria jambo ambalo ni kinyume na malengo. Na: Kale Chongela – Geita Katibu wa CCM wilaya ya Geita ndugu Marko Msuya leo Agosti 22,…
22 August 2024, 3:56 pm
Annastazia Jacob (22) mkazi wa kijiji cha Mabamba, kata ya Nyamigota ndani ya mamlaka ya mji mdogo wa Katoro wilayani na mkoani Geita anapitia maumivu makali na mateso baada ya kuanguka kutoka juu ya mti. Na: Evance Mlyakado – Geita…
21 August 2024, 4:24 pm
Wananchi mkoani Geita wameitikia wito kwa kujitokeza kwa wingi katika zoezi la uandikishaji a uboreshaji wa taarifa za mpiga kura mkoani Geita. Na: Kale Chongela – Geita Mkoa wa Geita umevuka lengo katika zoezi la uandikishaji wa daftari la kudumu…
17 August 2024, 1:19 pm
Kufuatia kukua na kuimarika kwa maendeleo ya teknolojia nchini kumewezesha wananchi wengi kupata huduma za kibenki kwa njia salama na kuwa na uhakika wa usalama wa fedha zao. Na: Kale Chongela – Geita Afisa mtendaji mkuu wa Benki ya mwalimu…
16 August 2024, 1:49 pm
Matukio ya madereva pikipiki maarufu bodaboda kuvamiwa na kujeruhiwa huku baadhi yao wakiporwa pikipiki yanaacha hofu kwa madereva huku wakiomba mamlaka za serikali kuwasaidia. Na: Amon Mwakalobo – Geita Kijana ambaye amefahamika kwa jina la Issa Lameck mkazi wa kata…
15 August 2024, 2:30 pm
Madini ujenzi ikiwemo mawe , kokoto , mchanga na moramu chanzo cha mapato kilichokuwa hakitazamwi sana katika halmashauri ya mji wa Geita. Na Mrisho Sadick: Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Geita mkoani Geita limempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa…
14 August 2024, 11:28 am
Soko la CCM ni soko mama lililopo katika mamlaka ya mji mdogo wa Katoro ambalo limekuwa likitumiwa na watu kutoka katika vijiji vya Magenge, Nyamalulu, Kaseme, Kasesa, Mabamba nk Na: Nicolaus Lyankando – Geita Kijana mmoja ambaye hakufahamika jina lake…
13 August 2024, 4:35 pm
Wafanyabiashara wa madini mkoani Geita wameiomba serikali kupunguza utitiri wa kodi katika biashara ya madini kwani imekuwa chanzo cha baadhi ya wafanyabiashara kutorosha madini kwa lengo la kukwepa kodi. Na: Edga Rwenduru – Geita Baadhi ya wafanyabiashara wa madini mkoani Geita…
13 August 2024, 9:59 am
Serikali yahimiza taasisi za kifedha nchini kutokuwabagua wakulima kwani kwa kuwawezesha itasaidia kukuza sekta ya kilimo nchini kwa ujumla. Na: Kale Chongela – Geita Taasisi za kifedha zimetakiwa kuwapa kipaumbele wakulima katika suala la mikopo ili kukuza uchumi wa kila…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.