Storm FM

Recent posts

5 July 2023, 3:47 pm

Wamiliki nyumba za wageni waja juu tozo ya kitanda

Kufuatia uchukuaji tozo ya asilimia moja kwa kila kitanda kwenye nyumba za kulala wageni mkoani Geita, wafanyabiashara wa nyumba hizo wameamua kusimama kidete ili serikali ipitia upya na kutoa muongozo wa tozo hizo. Na Mrisho Sadick -Geita Umoja wa Wafanyabiashara…

5 July 2023, 11:25 am

Kupokea rushwa ni kosa, toa taarifa

Suala la kutoa na kupokea rushwa kwa viongozi na wafanyakazi wa sekta binafsi na za serikali mkoani Geita bado limeonekana kuwa ni changamoto na kupelekea Kaimu Kamanda Mkuu wa Taasisi ya kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoa wa Geita…

5 July 2023, 8:28 am

Wananchi wapewa rai kufunika visima

Matukio ya watoto na watu wazima pamoja na wanyama kutumbukia kisimani au kwenye mashimo yameonekana bado ni changamoto mkoani Geita, kiasi cha Jeshi la Polisi kuwakumbusha wananchi kufunika visima na mashimo hayo ili kuepusha ajali zinazoweza kuepukika. Na Kale Chongela…

4 July 2023, 3:02 pm

Redio jamii sasa kidijitali zaidi

Kutokana na ukuaji wa teknolojia ya mawasiliano hapa nchini, Mtandao wa Redio za Jamii Tanzania (TADIO) umeendelea kuzijengea uwezo redio hizo ili kujiimarisha kimtandao zaidi. Na Mrisho Sadick – Geita Redio za kijamii 11 wanachama wa mtandao wa TADIO kutoka…

4 July 2023, 2:49 pm

Makala: Unafahamu taratibu za kufuata kisheria unapomdai mtu?

Sikiliza Makala ya Tafakari Pevu iliyoandaliwa na Storm FM kuhusu taratibu za kufuata kisheria pindi unapomdai mtu. Sambamba na hilo Makala hii huruka kila siku ya Jumanne saa moja kamili hadi saa moja na dakika thelathini asubuhi na kurudiwa Jumamosi…

4 July 2023, 11:02 am

Wakuu wa idara wazembe Chato kuchukuliwa hatua

Wakuu wa Idara wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato wamekuwa na kasumba ya kutohudhuria vikao vya baraza la madiwani jambo ambalo limemsukuma Mkuu wa Mkoa kutoa maagizo. Na Zubeda Handrish -Geita Mkuu wa Mkoa wa Geita Martine Shigela ameagiza kuchukuliwa…

3 July 2023, 12:23 pm

Huduma usafiri wa dharura kwa wajawazito yazinduliwa Geita

Tatizo la vifo vya wanawake wajawazito na watoto mkoani Geita bado ni kubwa na kutokana na changamoto hiyo serikali imekuja na njia mbadala ya kupunguza tatizo hilo. Na Mrisho Sadick – Geita Serikali imetenga kiasi cha shilingi milioni 218 kwa…

3 July 2023, 11:43 am

TRA kuendeleza ushirikiano kwa wanahabari

Na Mrisho Sadick Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeahidi kuendelea kushirikiana na vyombo vya habari kufikisha elimu ya mlipa kodi kwa kuwa idadi kubwa ya wafanyabiashara hususani maeneo ya vijijini hawafikiwi na elimu hiyo mara kwa mara. Kauli hiyo imetolewa…

28 June 2023, 12:42 pm

Idadi ya watalii wa ndani yaongezeka

Na: Kale Chongela: Idadi ya watalii wazawa katika Hifadhi ya Taifa ya Burigi Chato imeendelea kuongezeka kutokana na hamasa inayoendelea kutolewa kwa wananchi  ikiwemo filamu ya Royal Tour ambayo imekuwa na msukumo mkubwa kwa wakazi wanaozunguka hifadhi hiyo kutembelea kujionea…

22 June 2023, 12:53 pm

Wafanyakizi Storm FM wafika bungeni Dodoma

Na Mrisho Sadick: Baadhi ya Wafanyakazi wa Storm FM Redio (Sauti ya Geita) leo Juni 22,2023 wametembelea Bungeni Jijini Dodoma kushuhudia uendeshaji wa shughuli mbalimbali za kibunge kwa mwaliko wa Mbubge wa Jimbo la Geita mjini Mhe Constantine Kanyasu. Wafanyakazi…