Storm FM

Recent posts

10 July 2023, 8:11 pm

Uislam wazungumzia lishe na virutubisho

Suala la kufuata utaratibu wa mlo kamili ni la muhimu ili kuimarisha afya, ili kutimiza azma ya serikali kuandaa wataalam wabunifu wa kizazi kinachokuja, viongozi mbalimbali wa kiserikali na kiimani wameendelea kusisitiza kuwa lishe si suala la hiari, wanaowaza hivyo…

10 July 2023, 7:20 pm

Vibaka wabomoa ghala la chakula Mbogwe

Wezi katika maeneo mbalimbali mkoani Geita bado ni changamoto huku uongozi katika ngazi mbalimbali ukiendelea kushirikiana na wananchi kwa ukaribu ili kutokomeza vitendo hivyo. Nicolaus Lyankando- Geita Kundi la watu ambao hawakufahamika wamebomoa ghala la chakula na kuiba magunia ya…

10 July 2023, 3:35 pm

Wahitimu vyuo vya Biblia watakiwa kuisaidia jamii

Wahitimu wa vyuo mbalimbali vya Biblia wa Muungano wa makanisa ya Kipentekoste Tanzania wametakiwa kutumia ujuzi na elimu ambayo wanaipata kwenye vyuo hivyo kuisaidia jamii. Na Kale Chongela: Askofu Mkuu wa makanisa ya kipentekoste Tanzania Eliaza Issack  amewataka wahitimu wa…

9 July 2023, 5:48 pm

Wakamatwa kwa kumfanyia ukatili mtoto

Matukio ya ukatili yamekuwa yakiendelea katika maeneo mbalimbali nchini, licha ya juhudi binafsi ya jamii kwa kushirikiana na serikali kuendelea kukemea na kuwachukulia hatua kali wanaofanya vitendo hivyo. Na Said Sindo- Geita Baadhi ya akina mama mtaa wa Ibolelo maarufu…

8 July 2023, 3:57 pm

Watu 8 hufariki kila mwezi kwa TB Geita

Ugonjwa wa kifua kikuu (TB) umeendelea kuwa tishio mkoani Geita kutokana na idadi ya watu wanaobainika kuwa na ugonjwa huo kwa mwaka pamoja na idadi ya watu wanaofariki dunia. Na Mrisho Sadick- Geita Watu wanane (8) wanafariki dunia kila mwezi…

7 July 2023, 7:33 pm

ACT wazalendo walalamikia bendera zao kushushwa

Katibu wa ACT- Wazalendo amekuja juu na kutoa shutuma baada ya bendera kadhaa za chama chao kushushwa katika mitaa na barabara za mjini Geita, jambo lililopelekea Katibu wa chama hicho kuzungumzia hilo. Na Said Sindo- Geita Bendera za chama cha…

7 July 2023, 12:12 pm

Kumzuia mtu kufanya majukumu yake ni kosa kisheria

Kupitia Pekuzi za Mtaa kwa Mtaa (Storm Asubuhi) iliruka taarifa ya mkakanganyiko wa mabadiliko ya uongozi uliotokea kati ya Diwani wa kata ya Tabaruka Sospeter Busumabu na Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Sengerema Binuru Shekhidele kutaka kubadili uongozi nafasi…

6 July 2023, 6:21 pm

Wananchi wazima jaribio la wizi wa nyaya za umeme

Kundi la watu zaidi ya 20 limefurushwa kwa madai ya kutaka kuiba nyaya za umeme zilizokuwa zimehifadhiwa katika shule ya sekondari. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa kijiji cha Kaduda Kata ya Katoro wilayani Geita wamezima jaribio la wizi wa nyaya…

6 July 2023, 11:42 am

Kata yenye wakazi zaidi ya elfu 60 haina kituo cha afya

Ukosefu wa huduma za afya za uhakika umewasukuma wananchi kuchangishana na kununua kiwanja chenye ukubwa wa zaidi ya hekari 10 nakuishinikiza serikali kuwajengea kituo cha afya. Na Mrisho Sadick: Zaidi ya wakazi elfu 60 wa kata ya Nyakafuru wilayani Mbogwe…

6 July 2023, 8:47 am

Migogoro ya ardhi suluhisho lake ni lipi?

Moja ya changamoto inayojitokeza mara kwa mara katika maeneo tofauti ya mkoa wa Geita ni migogoro ya ardhi, wananchi wamefunguka ili kupata ufumbuzi. Baadhi ya wakazi wa kata ya Nyankumbu wameiomba serikali ya wilaya ya Geita kutatua Migogoro ya ardhi…