Storm FM

Recent posts

24 October 2024, 1:27 am

Ujenzi zahanati ya Lubanda waokoa maisha ya wanawake wajawazito

Baada ya zahanati iliyojengwa kwa nguvu za wananchi kukamilika na kuanza kutoa huduma, wakazi wa kijiji cha Lubanda kata ya Busanda halmashauri ya wilaya ya Geita waeleza namna walivyonufaika na uwepo wa zahanati hiyo. Na: Ester Mabula – Geita Karibu…

23 October 2024, 3:57 pm

REA kusambaza umeme vitongoji 105 Geita

Umeme vijijini umekuwa chachu na mabadiliko ya haraka kwa uchumi wa wananchi huku serikali ikiahidi kufikisha huduma hiyo kila kitongoji. Na Mrisho Sadick: Wakala wa nishati vijijini (REA) umeanza Kusambaza Umeme kwenye vitongoji 105 vya majimbo saba (7) ya mkoa…

23 October 2024, 9:57 am

Makala: Wanawake na uchimbaji madini Geita

Karibu katika makala fupi inayoangazia namna wanawake mkoani Geita walivyochangamkia fursa ya uchimbaji wa madini ya dhahabu. Makala hii imeandaliwa na mwandishi wetu Daniel Magwina. Bonyeza hapa kusikiliza

23 October 2024, 2:14 am

Wahofia ndoa zao kuvunjika chanzo ukosefu wa maji Nyankumbu

Wakazi wa mtaa wa Uwanja kata ya Nyankumbu, halmashauri ya mji wa Geita, wameeleza kukumbwa na ukosefu wa maji kwa muda wa zaidi ya wiki mbili sasa Na: Amon Mwakalobo – Geita Kufuatia changamoto ya ukosefu wa maji kwa wakazi…

23 October 2024, 1:54 am

Bei ya nyanya mjini Geita yapanda, wauzaji wafunguka

Zao la nyanya ni miongoni mwa mazao muhimu ya kilimo nchini Tanzania, likiwa na umuhimu mkubwa katika chakula na biashara. Na: Kale Chongela – Geita Baadhi ya wauzaji wa nyanya katika soko la asubuhi Nyankumbu katika halmashauri ya mji wa…

22 October 2024, 9:59 pm

Rais Samia atoa milioni 50 kwa wanawake Geita

Serikali imeendelea kuweka nguvu kwa wanawake wanaofanya shughuli katika migodi ya uchimbaji wa madini ya dhahabu ili kuwainua kiuchumi. Na Mrisho Sadick: Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassani ametoa kiasi cha shilingi milioni 50 kwa…

22 October 2024, 5:38 pm

GGML yakabidhi pikipiki 50 kwa Jeshi la polisi Geita

GGML imeendelea kushirikiana na serikali katika kufadhili shughuli mbalimbali za maendeleo mkoani Geita ikiwa ni ajenda yao ya kunufaisha Jamii inayozunguka mgodi huo. Na: Ester Mabula – Geita Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imekabidhi pikipiki 50 kwa Jeshi…

20 October 2024, 8:20 pm

UVCCM Geita yaonya madai ya vijana kutishwa

Joto la uchaguzi wa serikali za mitaa limeendelea kupanda kila kukicha huku vijana wakianza kuona dalili za kukatishwa tamaa kuwania nafasi za uongozi. Na Mrisho Sadick: Umoja wa vijana wa Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Geita umekemea vikali madai…

20 October 2024, 8:09 pm

Watoto bado wanakabiliwa na changamoto Geita

Watoto hususani wa kike mkoani Geita bado wanakabiliwa na changamoto nyingi katika jamii ikiwemo kutoaminiwa,nakupewa nafasi ya kufanya maamuzi. Na Mrisho Sadick: Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kushirikiana na mashirika yasiyo ya kiserikali imedhamiria kuboresha na kulinda…

16 October 2024, 9:58 am

Dereva agonga taa ya barabarani na kutokomea kusikojulikana

Kufuatia maboresho ya miundombinu ya barabarani katika mji wa Geita, wananchi wameaswa kuwa makini wakati wa utumiaji wa miundombinu hiyo. Na: Kale Chongela – Geita Wakala wa barabara nchini TANROADS mkoa wa Geita umetoa angalizo kwa madereva wanaoharibu miuondombinu ya…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.