Storm FM
Storm FM
27 December 2024, 9:50 pm
Wakati ligi ya Championship ikielekea katika mzunguko wa pili timu ya Biashara United inakabiliwa na changamoto ya kiuchumi. Na Mrisho Sadick: Wachezaji zaidi ya 20 na benchi la ufundi la timu ya Biashara United ya mkoani Mara wameikimbia timu hiyo…
23 December 2024, 4:20 pm
Jeshi la polisi kitengo cha usalama barabarani mkoani Geita limetoa rai kwa wananchi kutotumia vilevi kupitiliza katika msimu huu wa mwisho wa mwaka. Na: Edga Rwenduru – Geita Kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Geita kimewataka wananchi wanaolewa kupita kiasi…
23 December 2024, 4:06 pm
Baadhi ya miundombinu ya barabara katika mitaa na maeneo mbalimbali mkoani Geita imeendelea kuharibika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha. Na: Kale Chongela – Geita Wakazi wa mtaa wa Nshinde kata ya Nyankumbu mjini Geita wamelalamikia ubovu wa miundombinu ya barabara hali…
20 December 2024, 6:56 pm
Kutokana na umuhimu wa tasnia ya habari kuwa nyeti , waandishi wameendelea kusisitizwa kufanya kazi zao kwa weledi kwakuwa jamii inawategemea. Na Mrisho Sadick: Mwenyekiti wa klabu ya waandishi wa Habari Mkoa wa Geita Renatus Masuguliko amewataka waandishi wa habari…
20 December 2024, 4:12 pm
Watumiaji wa vyombo vya moto mkoani Geita wameaswa kuzingatia sheria za usalama barabarani katika kipindi cha sikukuu za mwisho wa mwaka ili kupunguza ajali za barabarani. Na: Kale Chongela – Geita Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Geita…
19 December 2024, 8:43 pm
Elimu yahitajika zaidi kwa wananchi ili kuendelea kupambana na vitendo vya ukatili katika jamii kwakuwa hali bado si shwari. Na Kale Chongela: Wakazi wa Geita mjini wameiomba serikali kuendelea kutoa elimu ya namna ya kukabiliana na vitendo vya ukatili na…
19 December 2024, 9:49 am
Mkuu wa kitengo cha usalama barabarani mkoa wa Geita ametoa rai kwa watumiaji wa vyombo vya moto kuzingatia sheria za usalama barabarani ili kupunguza ajali zinazotokana na ukiukwaji wa sheria hizo. Na: Evance Mlyakado – Geita Gari kubwa la mizigo…
18 December 2024, 2:28 am
Katika hali ya kushangaza watu wasiojulikana wamevamia na kufanya uharibifu wa mazao katika shamba lenye ukubwa wa ekari mbili. Na: Kale Chongela – Geita Tukio hilo limetokea katika mtaa wa Mkangala kata ya Kanyala halmashauri ya mji wa Geita ambapo kwa mujibu…
14 December 2024, 10:57 am
Uwepo wa vitendo vya wizi wa mali umeendelea kuwa mwiba kwa wakazi wa mtaa wa Shilabela kata ya Buhalahala mjini Geita ambapo wananchi wameeleza adha wanayopitia. Na: Edga Rwenduru – Geita Wananchi wa mtaa wa shilabela kata ya Buhalahala halmashauri…
13 December 2024, 1:57 pm
Kufuatia tukio la mtoto Disemba 02, 2024 la mtoto kushambuliwa na kuchomwa moto na mama yake mzazi likatika kijiji cha Kasota wilayani na mkoani Geita, CCM mkoa wa Geita yalaani tukio hilo. Na: Evance Mlyakado – Geita Jumuiya ya wazazi…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.