Storm FM

Recent posts

13 February 2025, 10:03 am

Ajinyonga baada ya kufeli kidato cha 4 Geita

Katika hali ya kushangaza, binti ajinyonga na kufariki dunia baada kufeli katika mtihani wa Taifa wa kidato cha nne kwa kupata daraja 0. Na: Edga Rwenduru – Geita Binti  Rabia Paul (19) muhitimu wa kidato cha nne katika shule ya…

10 February 2025, 4:41 pm

GGML yajivunia huduma za afya meli ya MV Jubilee Hope

Meli ya MV Jubilee hope imekuwa ikitoa huduma za afya kwa jamii inayozunguka visiwa mbalimbali vya Ziwa Viktoria. Na: Ester Mabula – Geita Kampuni ya Geita Gold Minning Limited (GGML) imeendelea kujivunia jukumu lao la kudhamini huduma za afya zinazotolewa…

10 February 2025, 3:26 pm

Nyumba 5 zabomoka baada ya mvua kunyesha Geita

Mvua iliyonyesha usiku wa kuamkia Februari 08, 2025 mkoani Geita imepelekea changamoto ya kuathiri baadhi ya makazi ya watu. Na: Kale Chongela – Geita Nyumba tano za wakazi wa mtaa wa Ibolelo maarufu kwa jina la Mwabasabi kata ya Nyankumbu…

10 February 2025, 2:36 pm

Madiwani wampongeza Rais Samia, Geita mji kuwa Manispaa

Mkutano wa baraza la madiwani umefanyika kwaajili ya uwasilishaji wa changamoto mbalimbali pamoja na mapitio ya utekelezaji miradi kwa kipindi cha kuanzia Oktoba hadi Disemba 2024. Na: Ester Mabula – Geita Baraza la madiwani la Geita mjini limepongeza Rais wa…

10 February 2025, 11:53 am

Auawa kwa madai ya wizi wa ng’ombe Geita

Vitendo vya wizi wa mifugo aina ya ng’ombe vinaendelea kuchukua sura mpya mkoani Geita ambapo matukio hayo yameendelea kujitokeza hali inayochochea hasira za wananchi. Na: Amon Mwakalobo – Geita Mwanaume mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 45 ameuawa na…

6 February 2025, 4:00 pm

Achapwa viboko kwa tuhuma za kuiba kuni Msalala road

“Wezi wametuchosha tutaendelea kuwatandika viboko ili waache kutuibia mali zetu” – Mwananchi Na: Amon Mwakalobo – Geita Mwananume mmoja mwenye umri wa miaka 36 aliyejitambulisha kwa jina moja la  Omary mkazi wa mtaa wa Mission halmashuri ya manispaa ya Geita…

4 February 2025, 12:42 pm

Waandaa sare wakati mtoto hajafaulu Geita

Wazazi waambulia patupu baada ya kufanya maandalizi ya shule kwa watoto wao ili hali hawajachaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza. Na Mrisho Sadick: Serikali ya mtaa wa Nyamakale Kata ya Nyankumbu Manispaa ya Geita Mkoani Geita imeahidi kushirikiana na wazazi…

4 February 2025, 12:32 pm

Migogoro ya ndoa ni kikwazo kwa wakazi wa Kaseme

Februari 03, 2025 imehitimishwa wiki ya sheria nchini ambapo sambamba na hilo pia msaada wa kisheria wa Mama Samia Legal Aid umekamilika katika mkoa wa Geita. Na: Kale Chongela – Geita Migogoro  ya ndoa katika kijiji cha kaseme, halmashauri ya…

4 February 2025, 11:44 am

Kifua kikuu tishio kwa wachimbaji Geita

Licha ya serikali kutoa huduma ya uchunguzi na matibabu ya kifua kikuu bure lakini bado kuna mwitikio mdogo wa wananchi kujitokeza kupatiwa huduma hiyo. Na Mrisho Sadick: Serikali Mkoani Geita imewataka wamiliki wa migodi midogo ya uchimbaji wa madini ya…

4 February 2025, 9:47 am

Wezi waiba na kuchinja ng’ombe wawili Nyankumbu

Matukio ya mifugo aina ya ng’ombe kuibiwa na kuchinjwa nyakati za usiku yameendelea kuacha maswali kwa wananchi katika mitaa mbalimbali ya manispaa ya Geita. Na: Edga Rwenduru – Geita Wakazi wa mtaa wa Elimu kata ya Nyankumbu halmashauri ya manispaa…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.