Storm FM

Recent posts

4 April 2025, 2:39 pm

Mzee alalamika kunyimwa huduma za afya Kasota

Serikali inatakiwa kuweka mkazo kwenye utatuzi wa changamoto ya matibabu bila malipo kwa wazee kwani wengi wao wamekuwa wakikosa fursa hiyo. Na Mrisho Sadick: Mzee Ernest Gabriel Mkazi wa Kijiji cha Kasota Kata ya Bugulula wilayani Geita  anaesumbuliwa na maradhi…

3 April 2025, 6:49 pm

Bulldozer lajeruhi watano na kubomoa nyumba 3 Geita

“Mazao, miundombinu ya umeme, vimeharibiwa na huu mtambo licha ya kujeruhi watu” – Mwananchi Na: Edga Rwenduru: Watu watano kutoka katika kaya tatu zilizopo kitongoji cha Isingilo, kata ya Lwamgasa mkoani Geita wamejeruhiwa vibaya baada ya mtambo unaotumika katika uchimbaji…

3 April 2025, 5:56 pm

Asteria Lunyilija (60) auawa kwa kukatwa panga Bulela

Jeshi la Polisi mkoani Geita limeandaa mpango maalum wa kuendelea kutoa elimu kwa Jamii ili kuweza kukabiliana na vitendo vya uhalifu ikiwemo ukatili. Na: Paul William: Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Asteria Lunyilija (60) mkazi wa kijiji cha Bulela, kata…

3 April 2025, 4:40 pm

GGML washirikiana na Polisi Geita kutoa elimu ya uhalifu

Kamishna wa Polisi (CP) Faustine Shilogile, Kamishna wa Polisi Jamii leo April 03, 2025 amefika ofisi ya mkuu wa mkoa wa Geita kwa ziara ya kikazi na baada ya kupokelewa April 02 na Kamanda wa Polisi mkoani Geita (SACP) Safia…

3 April 2025, 2:11 pm

Wafugaji wadai kukamatwa, kutozwa pesa Lwamgsa

Kutokana na ukosefu wa maeneo ya malisho Lwamgasa hali hiyo imegeuka mwiba mchungu kwa wafugaji wanaopitisha mifugo yao pori la hifadhi. Na Mrisho Sadick: Wafugaji wa Ng’ombe katika Kijiji Cha Lwamgasa wilayani Geita wamelalamikia vitendo vya kukamatwa nakutozwa pesa nyingi…

2 April 2025, 9:42 am

CCM Geita yawakalia kooni walioanza kampeni

Kuelekea uchaguzi mkuu mwaka huu baadhi ya makada wa CCM wameanza kutafuta nafasi za uongozi kwa nguvu zote huku wakingine wakianza kuvunja utaratibu wa chama. Na Mrisho Sadick: Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Geita kimetoa onyo kali kwa wanachama…

31 March 2025, 4:18 pm

Watumishi Geita watakiwa kutumia michezo kuondoa tofauti zao

Michezo ni nguzo muhimu katika kuimarisha mahusiano na kuongeza uwajibikaji kazini kwa watumishi wa umma. Na Mrisho Sadick: Mkuu wa wilaya ya Nyang’hwale Mkoani Geita Grace Kingalame amewataka watumishi wa serikali Mkoani Geita kutumia michezo kuondoa tofauti zao nakuweka mbele…

31 March 2025, 3:48 pm

Rais Samia atoa zawadi kwa watoto yatima Geita

Katika sikukuu hii ya Eid na Pasaka Rais Dkt Samia ameebdelea kuwakumbuka watoto wenye uhitaji ikiwemo yatima. Na Mrisho Sadick: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa zawadi zenye thamani ya zaidi ya milioni 13…

31 March 2025, 3:34 pm

Waliofariki waombewa dua swala ya Eid Geita

Waumini wa dini ya Kiislamu Nchini leo Jumatatu wanasherekea sikukuu ya Eid Al Fitr huku siku hii ikiwa imetaliwa na ujumbe tofautitofauti. Na Mrisho Sadick: Waumini wa dini ya kiislamu Mkoani Geita wametumia swala ya Eid Al Fitr kuwaombe watu…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.