Storm FM
Storm FM
05/05/2025, 13:55
Kampeni ya HYAGULAGA GEITA ikimaanisha SAFISHA/FAGIA GEITA imeendelea kutekelezwa katika maeneo mbalimbali ikiwa sambamba na uhamasishaji wa usafi wa maeneo ya Geita. Na: Kale Chongela – Geita Watu sita wamefikishwa katika ofisi ya polisi jamii katika mtaa wa Mwatulole kata…
03/05/2025, 15:30
Mapenzi hayana mwenyewe, lakini wakati mwingine huibua taharuki kwenye Jamii pale wawili wasipofikia makubaliano. Na: Kale Chongela: Taharuki yaibuka baada ya msichana ambaye alitambulika kwa jina moja la Eunice, mkazi wa mtaa wa Shilabela na mjasiriamali ambaye anauza mahindi katika…
03/05/2025, 14:28
Licha ya Jeshi la polisi kupitia kitengo cha usalama barabarani kuelimisha watumiaji wa vyombo vya moto kuepuka mwendo kasi, bado ni changamoto kwa baadhi ya watumiaji wa vyombo vya moto. Na: Kale Chongela: Madereva pikipiki waliopo Njia panda ya Mgusu…
26/04/2025, 14:05
“Na tukikupa bendera hii maana yake wewe ndio unaturudisha nyuma kwenye suala la usafi na unatakiwa kubadilika” – Mkuu wa wilaya ya Geita Na: Kale Chongela: Serikali wilaya ya Geita imeadhimisha siku ya kumbukizi ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar…
23/04/2025, 17:44
‘Kwa sababu tumejitolea kushiriki basi tunaomba serikali itusaidia kuwa na uhakika wa maji na sio kusubiri kipindi cha uchaguzi tu’ – Mwananchi Na: Kale Chongela: Wananchi wa mtaa wa Mbabani kata ya Mtakuja, halmashauri ya manispaa ya Geita wamejitolea kufanya…
22/04/2025, 09:45
Licha ya serikali kutoa wito kwa wananchi kutunza miundombinu mbalimbali katika maeneo yote, bado baadhi ya wananchi wanahujumu miundombinu hiyo. Na: Kale Chongela: Kijana mmoja aliyetambulika kwa jina la Daniel Robert mkazi wa mtaa wa Nyantorotoro A, kata ya Nyankumbu katika halmashauri…
18/04/2025, 16:43
“Mama mzazi wa marehemu amepoteza maisha baada ya kupata mshtuko kutokana na taarifa ya kifo cha binti yake” – Mwenyekiti Na: Edga Rwenduru: Mwanamke mmoja anayejulikana kwa jina la Lesine Chongela, mkazi wa kijiji cha Bugogo kilichopo Kata ya Bukoli,…
17/04/2025, 11:42
‘Baada ya kuona afya yake inazorota ikabidi nimchinje na ndipo nikaona hayo maajabu sasa’ – Mmiliki wa kuku aina ya jogoo Na: Paul William: Katika hali isiyo ya kawaida Bi. Nusra Said mkazi wa kata ya Nyakabale katika halmashauri ya…
17/04/2025, 10:49
April 16, 2025 mkoa wa Geita kupitia Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na GGML umehitimisha program iliyokuwa na lengo la kutoa elimu kwa Jamii juu ya kukabiliana na vitendo vya uhalifu. Na: Ester Mabula: Programu ya kutoa elimu kwa jamii…
16/04/2025, 15:00
Jeshi la polisi katika mkakati wa kukabiliana na changamoto ya vitedo vya ukatili kwa watoto Mkoani Geita Na Mrisho Sadick: Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limeanza oparesheni ya kuwakamata watoto wanaozurura mitaani nyakati za usiku na kuwawajibisha wazazi wao…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.