Storm FM
Storm FM
30 May 2025, 10:40 am
Karibu kusikiliza kipindi maalumu kinachohusu masuala mbalimbali ya wanawake na mada kuu leo inaanganzia juu ya NAFASI YA MWANAMKE KATIKA UONGOZI, JE ANAPEWA NAFASI IPASAVYO. Kipindi hiki kinapewa nguvu na Chama cha waandishi wa habari wanawake TAMWA kwa kushirikiana na…
29 May 2025, 12:48 pm
Mgogoro wa nyumba wapelekea mama mwenye nyumba (mke wa mwenye nyumba) pamoja na wapangaji wapatao 12 kuamriwa kuondoka katika nyumba hiyo. Na: Kale Chongela: Wapangaji 12 akiwemo mama mwenye nyumba aliyetambulika kwa jina la Chausiku Kileo kutoka mtaa wa 14…
29 May 2025, 12:03 pm
Katika kipindi cha kuanzia Januari hadi Marchi mwaka huu, TAKUKURU mkoa wa Geita imefanikiwa kuokoa jumla ya shilingi 14,221,567 katika miradi minne ya elimu ambayo ilibainika kuwa na mapungufu. Na: Ester Mabula: Akitoa taarifa mbele ya waandishi wa habari leo…
27 May 2025, 2:43 pm
Uvumilivu wa migogoro ya madaraka umewashindwa wananchi nakuamua kumuangukia mkuu wa mkoa kutafuta ufumbuzi wa changamoto hiyo kwenye kijiji chao. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa Kijiji Cha Saragulwa wilaya ya Geita Mkoani Geita wameiomba serikali kuingilia kati Sakata la wenyeviti…
27 May 2025, 2:41 pm
Jumla ya mifuko 538 ya saruji imetolewa katika ya mifuko 1,071 iliyoahidiwa ili kuweza kukamilisha ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika Afya, elimu na miundombinu. Na: Ester Mabula: Mkuu wa wilaya ya Geita Mhe. Hashim Abdallah Komba leo Mei…
27 May 2025, 12:58 pm
Waganga matapeli wadaiwa kuongezeka kwa kasi Geita jeshi la polisi lakaa mkao wa kula kuwasaka nakuwachukulia hatua. Na Mrisho Sadick: Jeshi la Polisi Mkoani Geita limeanza msako wa kuwatafuta baadhi ya waganga wa jadi katika Kata ya Nyakagomba wilayani Geita…
20 May 2025, 4:36 pm
Baadhi ya wananchi katika manispaa ya Geita wameshindwa kupata vyeti vya kuzaliwa kwa wakati kutokana na changamoto ya kusuasua kwa mtandao iliyopelekea kusubiri vyeti kwa zaidi ya saa nne ili viweze kuchapishwa. Hayo yamebainishwa na baadhi ya wananchi waliokuwa katika…
20 May 2025, 4:17 pm
Mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na halmashauri imezua kizaa zaa baada ya baadhi ya watu kukosa katika halmashauri ya manispaa ya Geita. Na: Kale Chongela: Baadhi ya wananchi kata ya kalangalala, halmashauri ya manispaa ya Geita wamelalamikia kitendo cha kukosa…
15 May 2025, 5:22 pm
‘Tunaendelea kumshikilia meneja wa kampuni inayolinda hapa ili aweze kutoa ushirikiano wa kubaini waliokuwa zamu ya usiku’ – Mwenyekiti wa mtaa Na: Kale Chongela: Maduka manne ya wafanyabiashara katika mtaa wa Mbugani kata ya Kalangalala, halmashauri ya manispaa ya Geita…
15 May 2025, 5:12 pm
Jumla ya kiasi cha shilingi Bilioni 1.228 kimetolewa kwa vikundi 100 vinavyojumuisha makundi ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu ili kuweza kujikwamua kiuchumi kupitia miradi mbalimbali. Na: Ester Mabula: Hafla ya utoaji wa mikopo hiyo imefanyika leo Mei 15,…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.