Storm FM

Recent posts

04/07/2025, 13:50

Vijana 80 kulinda shamba la miti Silayo Chato

Kutokana na matukio ya uharibifu wa misitu nyakati za kiangazi TFS imeamua kuongeza nguvu ya ulinzi wa shamba la miti Silayo Na Mrisho Sadick: Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) kupitia Shamba la Miti Silayo Wilayani Chato Mkoani Geita imetoa fursa…

03/07/2025, 17:39

102 wajitokeza kuwania ubunge mkoa wa Geita

Baada ya zoezi la uchukuaji na urejeshaji wa fomu za kuwania nafasi za ubunge na udiwani kumalizika sasa joto limehamia kwenye hatua ya uchujaji wagombea. Na Mrisho Sadick: Wanachama wa CCM 102 Kutoka Majimbo tisa ya uchaguzi Mkoani Geita wamejitokeza…

02/07/2025, 20:04

Sikiliza taarifa ya habari ya jioni ripoti

Karibu kusikiliza taarifa ya Habari ya Jioni Ripoti leo Julai 02,2025 miongoni mwa taarifa zilizogonga vichwa vya habari zaidi ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa atangaza kutogombea Ubunge. Msomaji ni Mrisho Sadick

02/07/2025, 12:00

Wamiliki wa bar wanaoajiri watoto Sengerema waonywa

Kushamiri kwa vitendo vya watoto wadogo kutumikishwa kwenye shughuli za bar imewaibua wananchi Sengerema Na Emmanuel Twimanye: Wamiliki wa bar katika kata ya misheni Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza wamepigwa marufuku kuajiri watoto chini ya umri wa miaka 18 kwa kuwa…

02/07/2025, 11:38

Wakulima Geita watembelea daraja la JP Magufuli

Tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan afungue rasmi Daraja la JP Magufuli ili lianze kutumika kuanzia Juni 19, 2025 wananchi wameendelea kupongeza hatua hiyo. Na Mrisho Sadick: Wananchi na wakulima wa Mkoa wa Geita wameendelea kuipongeza…

27/06/2025, 10:08

Je wanawake wanaojitokeza kugombea mkoani Geita wanaungwa mkono?

Karibu kusikiliza kipindi maalumu cha Mwanamke na Uongozi kinachopewa nguvu na Chama cha umoja wa waandishi wa habari wanawake (TAMWA). Leo kinaangazia juu ya mada isemayo JE WANAWAKE WANAOJITOSA KUGOMBEA NAFASI MBALIMBALI WANAUNGWA MKONO?? Kipindi hiki kimeandaliwa na Ester Mabula…

21/06/2025, 14:24

Upandishaji nauli holela bado changamoto Geita

Suala la upandishaji nauli holela bado ni kizungumkuti katika kituo kikuu cha mabasi ya abiria mjini Geita Na Edga Rwenduru: Jeshi la Polisi kikosi cha usalama barabarani wilaya ya Geita kwa kushirikiana na mabalozi wa usalama barabarani mkoa wa Geita…

20/06/2025, 14:55

Wanafunzi kukatiza masomo imebaki historia Lwamgasa

Wanafunzi kukatiza masomo kwasababu ya kupatiwa ujauzito sasa imekuwa historia kwa wakazi wa kijiji cha Lwamgasa Na Edga Rwenduru: Kutokana na changamoto ya wanafunzi kutembea umbali mrefu kutoka kijiji cha Lwangasa kwenda shule ya sekondari Kilombelo Wakazi wa kata ya…

18/06/2025, 14:26

Mawakala watoa mabasi saba Geita kwenda Busisi

Kukamilika kwa ujenzi wa daraja la Kigongo Busisi limewakosha watu wengi kwakuwa litaondoa adha ya wananchi kuchelewa kutokana na kusubili vivuko Na Mrisho Sadick: Mawakala wa Mabasi yaendayo mikoani na maeneo mbalimbali ndani ya Mkoa wa Geita wametoa mabasi saba…

14/06/2025, 14:35

Mkakati wa kubadili mtazamo wa jamii juu ya watu wenye ulemavu

Waandishi wa habari wa redio za kijamii kanda ya ziwa wameahidi kwenda kuibua na kusimulia mafanikio ya watu wenye ulemavu kama njia ya kuondoa unyanyapaa Na Mrisho Sadick: Watu wenye ulemavu nchini bado wanaendelea kukabiliwa na changamoto nyingi ikiwemo unyanyapaa …

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.