Storm FM
Storm FM
9 April 2025, 12:05 pm
Baada ya mafunzo kwa watendaji wa serikali za mitaa, kata, vijiji, wenyeviti na maofisa tarafa, Kamanda wa polisi mkoa wa Geita ameeleza waandishi wa habari juu ya mikakati ya kuondoa watoto wanaoishi mitaani mkoani Geita. Na: Ester Mabula: Jeshi la…
9 April 2025, 11:44 am
Program maalumu ya utoaji elimu ya kukabiliana na uhalifu kwa makundi mbalimbali ya watu katika Jamii mkoani Geita bado inaendelea tangu ilipozinduliwa Aprili 04, 2025. Na: Ester Mabula: Jeshi la polisi mkoani Geita limewataka wananchi kutokubali kukamatwa na mtu yeyote…
8 April 2025, 12:49 pm
Kufuatia mvua zinzoendelea kunyesha katika baadhi ya maeneo nchini, zimepelekea changamoto ya miundombinu ya barabara katika baadhi ya maeneo mkoani Geita. Na: Ester Mabula: Wananchi wa kitongoji cha Mhama, Kijiji cha Nampangwe, kata ya Runzewe-mashariki wilayani Bukombe mkoani Geita wameiomba…
7 April 2025, 11:49 am
“Serikali inayo dhamira ya dhati ya kuhakikisha huduma za Afya zinakuwa bora kwa kila mwananchi” – Barnabas Mapande Na: Kale Chongela: Serikali imenunua vifaa tiba vya kisasa na kuongeza madaktari kwenye Kituo cha Afya Nyarugusu wilayani Geita kinachohudumia zaidi ya…
4 April 2025, 7:12 pm
Leo April 04, 2025 mkoa wa Geita kupitia Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na GGML umezindua program yenye lengo la kutoa elimu kwa Jamii juu ya kukabiliana na vitendo vya uhalifu. Na: Ester Mabula: Program hiyo inafadhiliwa na Kampuni ya…
4 April 2025, 2:39 pm
Serikali inatakiwa kuweka mkazo kwenye utatuzi wa changamoto ya matibabu bila malipo kwa wazee kwani wengi wao wamekuwa wakikosa fursa hiyo. Na Mrisho Sadick: Mzee Ernest Gabriel Mkazi wa Kijiji cha Kasota Kata ya Bugulula wilayani Geita anaesumbuliwa na maradhi…
3 April 2025, 6:49 pm
“Mazao, miundombinu ya umeme, vimeharibiwa na huu mtambo licha ya kujeruhi watu” – Mwananchi Na: Edga Rwenduru: Watu watano kutoka katika kaya tatu zilizopo kitongoji cha Isingilo, kata ya Lwamgasa mkoani Geita wamejeruhiwa vibaya baada ya mtambo unaotumika katika uchimbaji…
3 April 2025, 5:56 pm
Jeshi la Polisi mkoani Geita limeandaa mpango maalum wa kuendelea kutoa elimu kwa Jamii ili kuweza kukabiliana na vitendo vya uhalifu ikiwemo ukatili. Na: Paul William: Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Asteria Lunyilija (60) mkazi wa kijiji cha Bulela, kata…
3 April 2025, 4:40 pm
Kamishna wa Polisi (CP) Faustine Shilogile, Kamishna wa Polisi Jamii leo April 03, 2025 amefika ofisi ya mkuu wa mkoa wa Geita kwa ziara ya kikazi na baada ya kupokelewa April 02 na Kamanda wa Polisi mkoani Geita (SACP) Safia…
3 April 2025, 2:11 pm
Kutokana na ukosefu wa maeneo ya malisho Lwamgasa hali hiyo imegeuka mwiba mchungu kwa wafugaji wanaopitisha mifugo yao pori la hifadhi. Na Mrisho Sadick: Wafugaji wa Ng’ombe katika Kijiji Cha Lwamgasa wilayani Geita wamelalamikia vitendo vya kukamatwa nakutozwa pesa nyingi…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.