Storm FM
Storm FM
1 December 2025, 2:14 pm
Changamoto mbalimbali zinazokabili chuo hicho ikiwemo ukosefu wa uzio unaohatarisha mali za chuo, upungufu wa zana za kisasa za mafunzo. Na Mrisho Sadick: Taasisi za serikali na zile za binafsi wilayani Geita zimetakiwa kuwapa kipaumbele vijana waliohitimu mafunzo ya Ufundi…
1 December 2025, 1:40 pm
Mtandao huo umefanikisha ujenzi wa vyoo katika shule ya sekondari Kasamwa ikiwemo chumba maalumu kwa ajili ya wasichana watakapokuwa wakati wa hedhi. Na Mrisho Sadick: Mtandao wa marafiki wa elimu Kanda ya Ziwa umetoa msaada wa chakula kwenye kituo cha…
30 November 2025, 2:35 pm
Iwapo wananchi hawatachukua hatua za haraka za kujitokeza kufanya uchunguzi wa magonjwa yasioambukiza yanaweza kuleta madhara makubwa ikiwemo figo kufeli. Na Mrisho Sadick: Chama cha ugonjwa wa kisukari Tanzania kwa kushirikiana na ofisi ya mganga mkuu wa mkoa wa Geita…
30 November 2025, 5:33 am
“Hata mimi nilikuwa kama nyie miaka 31 iliyopita, ni muhimu kuwa na nidhamu na kuishi katika ndoto zenu huku mkiwaheshimu watu wote kwenye Jamii” – RC Shigela Na: Ester Mabula Mkuu wa mkoa wa Geita Mhe. Martine Reuben Shigela amewataka…
27 November 2025, 4:28 pm
Msako wa vijana ambao wanakaa kwenye vijiwe vya Bodaboda bila kazi kuanza Manispaa ya Geita Mkoani Geita Na Kale Chongela: Umoja wa waendesha Bodaboda Mkoa wa Geita umepiga marufuku baadhi ya waendesha pikipiki ambao kwasasa hawana vyombo hivyo kukaa kwenye…
26 November 2025, 6:08 pm
Tafiti zinaonesha kuwa Kwenye watu 100 watu 9 hadi 10 wanaugonjwa wa kisukari nchini huku jamii ikisisitizwa kuendelea kupima afya zao mara kwa mara. Na Mrisho Sadick: Zaidi ya watu 500 kutoka maeneo mbalimbali ya mji mdogo wa Katoro wilayani…
25 November 2025, 2:56 pm
Ni zaidi ya miezi miwili sasa tangu agizo la serikali kupitia wizara ya madini kuelekeza malipo ya fidia kwa wananchi wanaozunguka mgodi wa GGML. Na: Edga Rwenduru Hekari 2790 kati ya Hekari 3900 za ardhi tayari zimefanyiwa uthamini kwa ajili ya…
24 November 2025, 3:41 pm
Walimu na maafisa kilimo kushirikiana kuongeza uzalishaji wa chakula shuleni kupitia mashamba ya shule Na Mrisho Sadick: Wilaya ya Bukombe Mkoani Geita imetenga kiasi cha zaidi ya shilingi milioni 86 kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli za lishe kwa mwaka…
20 November 2025, 6:07 pm
Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita linawasihi wananchi kutatua migogoro mapema ili kuepusha madhara yanayoweza kuzuilika. Na Mrisho Sadick: Mwanamke aliyefahamika kwa jina la Maria Salvatory mkazi wa Kitongoji cha Bugoma Kijiji cha Kilombero Kata ya Lwamgasa Wilaya ya Geita…
20 November 2025, 5:16 pm
Mamlaka za usalama majini zimeahidi kuendelea na ukaguzi wa mara kwa mara, kutoa mafunzo na kusisitiza matumizi ya vifaa vya usalama majini. Na Mrisho Sadick: Vifo vitokanavyo na ajali za majini wilayani Chato Mkoani Geita vimepungua kwa asilimia kubwa baada…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.