Storm FM
Storm FM
26 December 2025, 2:07 am
“Ofisi ya mbunge jimbo la Chato Kusini itaendelea kushirikiana na wananchi katika mambo mbalimbali kwaajili ya maendeleo ya jimbo letu” – Joseph James, Katibu wa Mbunge Na: Ester Mabula Mbunge wa Jimbo la Chato kusini Paschal Lutandula amewakumbuka wagonjwa wanaopatiwa…
24 December 2025, 7:16 pm
Kuelekea sikukuu za mwisho wa mwaka, Kamanda wa Polisi mkoa wa Geita atoa wito kwa wananchi kuendelea kudumisha amani na utulivu wakati wa kusheherekea. Na: Ester Mabula Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Geita SACP Safia Jongo ametoa rai…
19 December 2025, 12:16 pm
Serikali imeshatoa maelekezo kwa mamlaka zote za afya nchini kuhakikisha maagizo hayo yanatekelezwa ipasavyo bila kuwepo vikwazo Na Mrisho Sadick: Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI anayeshughulikia masuala ya Afya Dkt. Jafari Rajabu Seif amemuagiza Mganga Mkuu…
17 December 2025, 9:30 pm
Katika mwaka wa fedha 2025/2026 walitengewa jumla ya kiasi cha Shilingi Bilioni 12.3 kwa ajili ya utekelezaji wa kazi za matengenezo ya aina mbalimbali ya barabara na madaraja Na Mrisho Sadick: Serikali mkoani Geita imetangaza rasmi kuanza kumkata fedha mkandarasi…
17 December 2025, 9:18 pm
Kikundi hicho kabla ya kufanya mkutano mkuu wa mwaka , kimefanya matembezi kuelekea katika kituo cha afya Nyarugusu kwa ajili kutoa zawadi kwa wagonjwa , vifaa tiba pamoja na kuchangia damu. Na Mrisho Sadick: Viongozi wa dini katika Kata ya…
12 December 2025, 1:55 pm
RUWASA imetakiwa kuhakikisha inapunguza upotevu wa maji na malalamiko ya bili kwa kufunga mita za wateja majumbani badala ya sehemu zilizo mbali na makazi yao. Na Mrisho Sadick: Hali ya upatikanaji wa maji safi na salama wilayani Nyang’hwale mkoani Geita…
12 December 2025, 12:26 pm
Idadi ya nyoka alionao inalingana kabisa na idadi ya watoto wake tisa , Hata hivyo licha ya utaalamu alionao Shidiku anakiri kwamba kuishi na viumbe hao kunahitaji moyo wa ziada. Na Mrisho Sadick: Shidiku Nzoya mwenye umri wa miaka (35)…
12 December 2025, 12:12 pm
Vipaumbele vikubwa vya fedha hizo za CSR ni huduma za Afya kwakuwa kata hizo zina ongezeko kubwa la watu kutokana na shughuli za uchimbaji wa madini. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa Kata nne za Halmashauri ya wilaya ya Geita Mkoani…
5 December 2025, 2:25 pm
Changamoto zilizokuwa kikwazo mwaka Jana ikiwemo wazazi kuwalazimisha watoto kufeli, ukosefu wa chakula shuleni pamoja na baadhi ya wadau kutowajibika ipasavyo. Na Mrisho Sadick: Ufaulu wa mtihani wa darasa la saba katika Wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita umeongezeka kutoka asilimia…
5 December 2025, 2:03 pm
Hakuna madhara ya kibinadamu kwakuwa jitihada kubwa zilifanyika kuuzima moto huo kwa kushirikiana na majirani. Kale Chongela: Moto ambao chanzo chake hakijajulikana umeteketeza vitu vya ndani katika chumba cha Bw. David Pankras, mkazi wa Mtaa wa Nyantorotoro A Kata ya…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.