Storm FM

Recent posts

20 May 2025, 4:36 pm

Mtandao wakwamisha zoezi la utoaji vyeti Geita

Baadhi ya wananchi katika manispaa ya Geita wameshindwa kupata vyeti vya kuzaliwa kwa wakati kutokana na changamoto ya kusuasua kwa mtandao iliyopelekea kusubiri vyeti kwa zaidi ya saa nne ili viweze kuchapishwa. Hayo yamebainishwa na baadhi ya wananchi waliokuwa katika…

20 May 2025, 4:17 pm

Waliokosa mkopo wa 10% waandamana Geita

Mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na halmashauri imezua kizaa zaa baada ya baadhi ya watu kukosa katika halmashauri ya manispaa ya Geita. Na: Kale Chongela: Baadhi ya wananchi kata ya kalangalala, halmashauri ya manispaa ya Geita wamelalamikia kitendo cha kukosa…

15 May 2025, 5:22 pm

Maduka manne yavunjwa, mali zaibiwa mtaa wa Mbugani

‘Tunaendelea kumshikilia meneja wa kampuni inayolinda hapa ili aweze kutoa ushirikiano wa kubaini waliokuwa zamu ya usiku’ – Mwenyekiti wa mtaa Na: Kale Chongela: Maduka manne ya wafanyabiashara katika mtaa wa Mbugani kata ya Kalangalala, halmashauri ya manispaa ya Geita…

15 May 2025, 5:12 pm

Vikundi 100 vyapatiwa mkopo halmashauri ya manispaa ya Geita

Jumla ya kiasi cha shilingi Bilioni 1.228 kimetolewa kwa vikundi 100 vinavyojumuisha makundi ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu ili kuweza kujikwamua kiuchumi kupitia miradi mbalimbali. Na: Ester Mabula: Hafla ya utoaji wa mikopo hiyo imefanyika leo Mei 15,…

14 May 2025, 9:31 am

Wizara ya Maendeleo ya Jamii kuwainua wafanyabiashara

‘Mikopo hii ina riba nafuu kabisa na ni maono ya serikali ya awamu ya sita chini ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuwainua wafanyabishara kufikia malengo yao’ – Afisa maendeleo ya Jamii Carlos Gwamgobe Na: Ester Mabula: Serikali kupitia wizara…

14 May 2025, 8:58 am

GGML, TAKUKURU waikumbusha jamii kupinga rushwa

Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Geita ikishirikiana na GGML wafungua warsha ya siku 2 kwa lengo la kutoa elimu juu ya kukabiliana na Rushwa. Na: Ester Mabula: Warsha hiyo, iliyoanza jana Mei 13, itaendelea leo…

12 May 2025, 2:42 pm

Wachimbaji wa madini Geita hawana deni na Rais Samia

Mwenyekiti wa Chama cha wachimba madini mkoa wa Geita (GEREMA) Ndg. Titus Kabuo amesema dhumuni kubwa la kongamano hilo ni kumpongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuiboresha sekta ya madini na kuweka mazingira rafiki ya uchimbaji na ufanyaji biashara.…

10 May 2025, 9:17 pm

CHADEMA kuvunja makundi, kuendeleza mapambano

CHADEMA yaendelea na kampeni yake ya No reforms, no election katika mikoa ya kanda ya ziwa na leo mei 10,2025 ni zamu ya mkoa wa Geita. Na Mrisho Sadick: Katibu mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Mnyika…

10 May 2025, 1:54 pm

CCM yaombwa kuingilia sakata la wananchi kukamatwa Chato

Suala la michango kwa ajili ya shughuli za maendeleo katika kijiji limewatibua baadhi ya wananchi nakukimbilia CCM kuomba utatuzi. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa Kijiji Cha Kalebezo Kata ya Nyamirembe wilayani Chato Mkoani Geita wamekiomba Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa…

10 May 2025, 1:29 pm

DC Geita aipongeza Storm FM kuhamasisha kampeni ya usafi

Wilaya ya Geita imeendelea na kampeni ya usafi wa mazingira yenye lengo la kuweka manispaa kuwa safi sambamba na kuepuka magonjwa yatokanayo na uchafu. Na: Kale Chongela: Mkuu wa wilaya ya Geita Mhe. Hashim Komba ameipongeza redio ya Storm FM…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.