Storm FM

Recent posts

5 September 2025, 10:54 am

Idadi ya wanawake waliopenya kugombea nafasi ya ubunge Geita

Ni siku chache tangu kutajwa majina ya wanachama wa CCM waliojitokeza kuchukua fomu za kuwania ubunge katika majimbo mbalimbali nchini. Idadi ya wanawake waliochaguliwa na chama hicho imeonekana kuwa chini tofauti na ilivyo kwa wanaume, JE NINI SABABU YA IDADI…

5 September 2025, 10:50 am

Mradi wa mabanda ya kudumu viwanja vya maonesho Geita waendelea

Ikumbukwe mkoa wa Geita umekuwa ukifanya maonesho ya teknolojia ya madini kila mwaka ambapo kwa mwaka huu 2025 yatafanyika kwa mara ya 8. Na: Edga Rwenduru Serikali mkoani Geita imeanza ujenzi wa mabanda ya kudumu katika viwanja vya maonesho ya…

5 September 2025, 10:21 am

Wakazi wa Nyakafuru wafurahia kituo cha afya

Jumla ya miradi 9 ya maendeleo kwenye sekta ya afya, maji, elimu na miundombinu ya barabara wilayani Mbogwe mkoani Geita imepitiwa na Mwenge wa uhuru mwaka 2025. Na: Kale Chongela Wakazi wa kata ya Nyakafuru, halmashauri ya wilaya ya Mbogwe…

5 September 2025, 1:11 am

Kituo cha afya Gakala tumaini jipya Bukandwe

Kituo hicho kitapunguza kwa kiasi kikubwa changamoto ya wananchi kutembea umbali mrefu kutafuta huduma. Na Kale Chongela: Wakazi wa Kata ya Bukandwe wilayani Mbogwe mkoa wa Geita wanatarajia kuanza kunufaika na huduma za afya mara baada ya kukamilika kwa ujenzi…

4 September 2025, 10:38 am

Mwenge waridhishwa na mradi wa visima Nyangh’wale

Mwenge wa uhuru ukiwa wilaya ya Nyangh’wale  umetembelea, kukagua na kuweka mawe ya msingi kwenye jumla ya miradi 11 yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 1. Na: Kale Chongela Mwenge wa uhuru umeridhishwa na ujenzi wa mradi wa visima vitano vya maji katika kata ya Shabaka, halmashauri…

4 September 2025, 10:19 am

Majimbo 7 kati ya 9 Geita hayana wagombea upinzani

Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Geita kimezindua rasmi kampeni za kunadi ilani ya chama hicho kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, mwaka huu. Na: Edga Rwenduru Uzinduzi wa kampeni hizo umefanyika Septemba 02, mwaka huu Katika kata ya…

3 September 2025, 9:56 am

Picha: Mwenge wa uhuru wakabidhiwa Nyangh’wale

Ikumbukwe Mwenge wa uhuru ulipokelewa mkoani Geita Septemba mosi, 2025 ukitokea mkoani Mwanza ambapo umeendelea kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo. Na: Kale Chongela Mkuu wa wilaya ya Nyang’hwale  Mhe. Grace  Kigalame  ameupokea Mwenge wa Uhuru  kutoka kwa Mkuu wa wilaya…

3 September 2025, 9:53 am

Hizi hapa bei mpya za mafuta Geita kwa mwezi Septemba

Kila Jumatano ya kwanza ya kila mwezi mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji nchini (EWURA) hutangaza bei kikomo za mafuta ya Petroli, Dizeli na mafuta ya taa. Na: Ester Mabula Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati…

1 September 2025, 5:53 pm

Kichanga cha siku moja chachomwa moto Geita

“Kwakweli tunaomba polisi wafuatilie tukio hili ili kukomesha watu wenye roho za kikatili na kinyama kiasi hiki, huyu mtoto huwezi jua angekuwa nani baadaye” – Mwananchi Na: Edga Rwenduru: Mtoto mchanga anayekadiriwa kuwa na siku moja amekutwa amechomwa moto na…

30 August 2025, 6:22 pm

Geita kuupokea Mwenge wa Uhuru Jumatatu

Mwenge wa Uhuru ukiwa mkoani Geita utatembelea , kukagua , kuzindua kuweka mawe ya msingi jumla ya miradi 61ya maendeleo. Na Kale Chongela: Mkoa wa Geita unatarajia kuupokea Mwenge wa Uhuru  kwa mwaka 2025 katika kijiji cha Lwezera Halmashauri ya…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.