Storm FM
Storm FM
21 July 2025, 7:39 pm
Madereva watakiwa kufuata sheria za usalama barabarani ikiwa ni pamoja na kupumzika ili kuepusha ajali. Na Mrisho Sadick: Wafanyakazi wawili wa mamlaka ya mapato Tanzania TRA mkoa wa Mwanza wamefariki Dunia katika ajali mkoani Geita wakati wakitokea Mutukula Mkoani Kagera…
18 July 2025, 7:36 pm
Maandalizi ya uchaguzi mkuu yameendelea kwa wasimamizi wa uchaguzi ngazi ya mikoa kuendelea kupatiwa mafunzo. Na Mrisho Sadick: Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imewataka waratibu, wasimamizi na maafisa wa uchaguzi nchini kuhakikisha wanazingatia kiapo walichoapa kwa kujiepusha na vitendo…
18 July 2025, 7:20 pm
Wanawake mkoani Geita wameendelea kuchangamkia fursa ya elimu ya ufundi katika vyuo mbalimbali vilivyopo mkoani humo ili kujikwamua kiuchumi. Na Kale Chongela: Zaidi ya wanawake 200 wakazi wa wilaya ya Chato mkoani Geita wanaonufaika na mafunzo ya ufundi stadi katika…
18 July 2025, 5:06 pm
Tangu kuanzishwa kwa Kili Challenge mwaka 2002 imelenga kukusanya Dola za Kimarekani Milioni Moja kila mwaka. Na Mwandishi Wetu: Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu Mhandisi Jackson Masaka leo Julai 18,2025 ameongoza zoezi la uzinduzi wa GGM…
16 July 2025, 6:14 pm
Msikilizaji na mdau wa Storm FM Sauti ya Geita karibu kusikiliza Makala ya Tafakari Pevu inayoangazia madhara ya vijana kutumika vibaya kwenye siasa kuelekea katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu. Makala hii imeandaliwa na timu nzima ya Storm FM
16 July 2025, 5:52 pm
Oparesheni ya kusaka raia wa kigeni wanaoishi nchini kinyume na utaratibu mkoani Geita imezaa matunda Na Kale Chongela: Idara ya Uhamiaji Mkoani Geita katika oparesheni zake imefanikiwa kuwakamata nakuwarudisha makwao raia wa kigeni 126 waliongia nchini kinyume Cha Sheria Kutoka…
15 July 2025, 2:01 pm
Jumla ya washiriki 98 kutoka mikoa ya Geita na Kagera wameshiriki katika mafunzo ya siku tatu yaliyoanza leo kuelekea uchaguzi mkuu unatarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu. Na: Ester Mabula – Geita Mafunzo hayo ya siku tatu yameanza leo Julai…
14 July 2025, 7:35 pm
Benki ya NMB imeendelea kuwa karibu na walimu ili kuwapunguzia baadhi ya changamoto ambazo ziko ndani ya uwezo wa benki hiyo kama mikopo yenye mashariti nafuu. Na Mrisho Sadick: Serikali imeahidi kuendeleza ushirikiano na Benki ya NMB kutokana na mchango…
12 July 2025, 5:01 pm
Kutimuliwa kwa madereva wa mizigo eneo lao la kupaki Shilabela Manispaa ya Geita lachukua sura mpya Na Kale Chongela: Madereva wa magari ya mzigo yanayopaki pembezoni mwa barabara katika Mtaa wa Shilabela Kata ya Buhalahala Manispaa ya Geita Mkoani Geita wamepinga kauli…
12 July 2025, 4:43 pm
kutembea umbali mrefu , ajali za barabarani zimewasukuma wakazi wa Mji Mwema kuanzisha ujenzi wa soko la mtaa Na Edga Rwenduru: Wakazi wa Kitongoji cha Mji Mwema Kata ya Lulembela wilayani Mbogwe Mkoani Geita wameamua kuanzisha Ujenzi wa soko la…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.