Storm FM

Recent posts

21/09/2025, 08:13

Equity Bank yazindua tawi Geita , RC asisitiza utofauti wa huduma

Equity Benki imejipanga kuhakikisha wananchi wa Geita hususani wachimbaji wadogo na wakati wa madini ya dhahabu wananufaika na huduma rafiki . Na Mrisho Sadick: Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela, ameutaka uongozi wa Equity Bank kuhakikisha unaleta ubunifu mpya…

20/09/2025, 20:37

Wanawake sasa wanachimba madini kitaalam Geita

Serikali imenunua mitambo 15 kwa ajili ya wachimbaji wadogo na itaendelea kuwaunga mkono kila hatua Na Mrisho Sadick: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa leseni 17 na vifaa vya kisasa vya uchimbaji wa madini…

19/09/2025, 14:08

TRA Geita yazindua dawati la uwezeshaji biashara

Mamlaka hiyo itaendelea kuwa karibu na wafanyabiashara wadogo kupitia ufuatiliaji wa karibu ili kuhakikisha changamoto zao zinapatiwa ufumbuzi. Na Mrisho Sadick: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Geita imezindua rasmi dawati maalumu la uwezeshaji biashara kwa lengo la kuwasaidia…

19/09/2025, 13:49

Jeshi la zimamoto na uokoaji Geita laipongeza Storm FM

Dhamira ya Storm FM ni kuendelea kuwa chombo madhubuti cha mawasiliano kwa jamii kwa kuhakikisha kuwa wananchi wanapata taarifa sahihi elimu ya kujikinga na majanga. Na Mrisho Sadick: Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Geita leo Septemba 18, 2025,…

18/09/2025, 19:38

Wananchi Geita waipongeza Storm FM kutimiza miaka 11

Storm FM imekuwa daraja la kuunganisha jamii ya Geita kupitia vipindi vyake vya elimu, michezo, habari na burudani, jambo ambalo limewasaidia kuongeza mshikamano. Na Boaz Azalia: Wananchi mkoani Geita wameipongeza Storm FM kwa kutimiza miaka 11 leo  tangu ianze kurusha…

18/09/2025, 19:22

UWT kusaka kura milioni 16 za Dkt. Samia

Zaidi ya wanawake 700,000 wamejiandikisha katika daftari la kudumu la mpiga kura Mkoani Geita hali ambayo inawapa matumaini UWT Na Mrisho Sadick: Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) imeweka mkakati wa kutafuta kura milioni 16 kwa ajili ya mgombea…

17/09/2025, 14:09

Miaka 25 ya GGML, kushiriki maonesho ya 8 ya madini Geita

Kila mwaka mkoa wa Geita umekuwa ukifanya maonesho ya teknolojia na uwekezaji katika sekta ya madini, ikiwa ni fursa adhimu ya kukutanisha wafanyabiashara na wachimbaji wa madini kutoka maeneo mbalimbali. Na: Ester Mabula Geita Gold Mining Limited (GGML), kampuni tanzu…

16/09/2025, 20:34

CHAUMMA yaahidi kujenga viwanda Geita

Mpango huo ni nyenzo ya maendeleo endelevu na njia ya kuinua maisha ya wananchi wa Geita na maeneo jirani. Na Mrisho Sadick: Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ukombozi wa umma CHAUMMA Salum Mwalimu ameahidi…

16/09/2025, 11:10

UDP yaahidi kusimamia rasilimali za nchi

Vyama mbalimbali vya siasa nchini vimeendelea na kampeni ikiwa ni njia ya kunadi sera na mipango yao kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Na: Edga Rwenduru Chama cha United Democratic Party (UDP) kimewaahidi watanzania kusimamia rasilimali za nchi  kwa…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.