Storm FM
Storm FM
18 August 2025, 8:14 pm
Malengo mahususi ya mradi huo ni kuwawezesha vijana kiuchumi kupitia fursa mbalimbali zitokanazo na Bomba la mafuta ghafi. Na Mrisho Sadick: Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt Doto Biteko amezindua rasmi mradi wa kuwawezesha vijana kujikwamua kiuchumi kwenye…
17 August 2025, 8:02 pm
Wamekabidhiwa ofisi hiyo na Mkurugenzi wa Manispaa ya Geita Yefred Myenzi kwa ajili ya kuanza kuitumia rasmi katika shughuli zao. Na Kale Chongela: Umoja wa Madereva Bodaboda Mkoa wa Geita (UMABOGE) wameipongeza serikali kwa kuwajengea ofisi mpya iliyopo katika viwanja…
16 August 2025, 8:15 pm
Watahiniwa 6,331 kati yao wavulana wakiwa 3,248 na wasichana 3,083 sawa na asilimia 4,17 hawakufanya mtihani huo kutokana na sababu mbalimbali. Na Mrisho Sadick: Kamati ya Maafisa Elimu kutoka mikoa sita ya kanda ya ziwa imetangaza matokeo ya mtihani wa…
15 August 2025, 5:34 pm
Upungufu wa maeneo ya shughuli za kibinadamu kama kilimo imekuwa sababu ya kuongezeka kwa matukio ya wananchi kujichukulia sheria mkononi na kuvamia maeneo ya hifadhi. Na Mrisho Sadick: Wananchi wa kitongoji cha CCM kijiji cha Lwamgasa wilaya ya Geita mkoani…
14 August 2025, 4:17 pm
Wakati joto la uchaguzi Mkuu likiendelea kupanda TAKUKURU nayo imekaa mguu sawa kuhakikisha inakabiliana na vitendo vya Rushwa. Na Mrisho Sadick – Geita Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoa wa Geita imewakamata nakuwahoji baadhi ya wajumbe wa…
12 August 2025, 2:15 pm
Katika oparesheni hiyo wamekamatwa watanzania wawili mmoja alikuwa amepangisha baadhi ya raia hao wa kigeni. Na Mrisho Sadick: Raia wa Burundi 39 wakiwemo waliovamia pori la akiba la Mshinde nakuanzisha shughuli za kilimo wilayani Geita mkoani Geita wamekamatwa na idara…
11 August 2025, 1:49 pm
Mwanamke huyo amekiri kuwa amekuwa akiishi maisha ya mateso kwa kuota ndoto za kutisha akiwa kwenye shughuli hizo za kishirikina. Na Kale Chongela: Wakati mikutano ya injili ikiendelea kuwagusa watu katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Geita, Mwanamke mmoja kutoka…
11 August 2025, 1:09 pm
Mashindano hayo ni zaidi ya burudani kwani yanatoa nafasi kwa vijana kuonesha vipaji ambavyo havijaonekana kitaifa. Na Mwandishi Wetu: Mwamuzi maarufu wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Ally Simba ameonesha kuridhishwa na kiwango cha ushindani na nidhamu ya wachezaji katika michuano…
11 August 2025, 12:00 pm
Tanzania Peace Familiy (TPF) ni taasisi ya Kiraia inayofanya kazi kwa ushirikiano mkubwa na vyombo vya dola katika kulinda amani ya nchi. Na Mrisho Sadick: Wananchi Mkoani Geita wametakiwa kuilinda amani ya nchi kuelekea uchaguzi mkuu kwa kushirikiana na vyombo…
8 August 2025, 10:35 am
Mteja kachepusha umeme kwenye njia namba moja na njia namba tatu kwa kuunga waya moja kwa moja kwenye suplaya ya TANESCO Mpaka kwenye kiwanda. Na Edga Rwenduru: Shirika la umeme Tanzania TANESCO mkoa wa Geita limemkamata Joseph Bhukelebe mkazi wa…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.