Storm FM

Kipindi: Ukatili wa kiuchumi ndani ya familia

3 April 2026, 18:20

Wanawake kutoka kijiji cha Nyandago wilayani na mkoani Geita. Picha maktaba na Storm FM

Na: Ester Mabula

Karibu kusikiliza kipindi maalumu kinachoabgazia masuala ya usawa wa kijinsia ambapo leo mada inaangazia usawa wa kiuchumi ndani ya familia.

Swali kuu: Nini sababu ya baadhi ya wanaume kuuza mazao ya familia na kukimbia majukumu yao?

Kipindi hiki kinapewa nguvu na chama cha waandishi wa habari wanawake Tanzania (TAMWA) kwa kushirikiana na Storm FM.

Sauti ya kipindi