12 December 2025, 12:26 pm

Nzoya na nyoka wa ajabu Geita

Idadi ya nyoka alionao inalingana kabisa na idadi ya watoto wake tisa , Hata hivyo licha ya utaalamu alionao Shidiku anakiri kwamba kuishi na viumbe hao kunahitaji moyo wa ziada. Na Mrisho Sadick: Shidiku Nzoya mwenye umri wa miaka (35)…

On air
Play internet radio

Recent posts

9 January 2026, 4:37 pm

Mpango wa chakula kila shule Nyang’hwale umetiki

Zaidi ya wanafunzi 5,700 kutoka shule saba za msingi na shule moja ya sekondari ndio wanufaika wa moja kwa moja wa mpango huo. Na Mrisho Sadick: Kata ya Shabaka wilayani Nyang’hwale mkoani Geita imelima jumla ya ekari 41 za mahindi…

9 January 2026, 4:09 pm

Wakazi wa Ilungwe Geita waanzisha ujenzi wa shule ya msingi

Mtaa wa Ilungwe unakadiriwa kuwa na idadi ya wakazi zaidi ya 1,500 wanaotegemea huduma za elimu katika mtaa wa Nyamakale ambao upo zaidi ya kilometa tatu. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa Mtaa wa Ilungwe Kata ya Nyankumbu Manispaa ya Geita…

9 January 2026, 12:11 pm

Nyang’hwale yaendelea kuwa kinara uandikishaji wanafunzi

“Kimsingi zoezi la kuandikisha wanafunzi linaendelea hadi Marchi 31, 2026 kwa mujibu wa mwongozo wa serikali kupitia wizara ya elimu” – Mwalimu Mtweve Na: Ester Mabula Afisa elimu mkoa wa Geita Mwalimu Antony Mtweve amewahimiza wazazi na walezi kuendelea kujitokeza…

8 January 2026, 7:01 pm

Wananchi wamshukuru Diwani utatuzi kero ya mashimo stendi ya Geita

“Lengo ni kuhakikisha abiria na watumiaji wa barabara wanakuwa katika hali ya usalama pindi wanapotumia stendi hii hususani kipindi cha mvua” – Reuben Sagayika Na: Ester Mabula Wananchi na watumiaji wa kituo kikuu cha mabasi mkoa wa Geita wameishukuru serikali…

8 January 2026, 12:40 pm

Atia ngumu pikipiki kufungwa cheni kisa kitambulisho

Hatua ya kufunga cheni inalenga kudhibiti waendesha pikipiki wanaojihusisha na shughuli za usafirishaji bila kuwa na vitambulisho. Na Kale Chongela: Uongozi wa egesho la pikipiki la Lukilini lililopo Mtaa wa Mkoani Kata ya Kalangalala Manispaa ya Geita umeanza kutekeleza agizo…

8 January 2026, 11:36 am

Nyang’hwale yasisitiza matumizi ya teknolojia kukuza biashara

Ucheleweshaji wa marejesho una punguza juhudi za serikali kuendelea kutoa fedha za mikopo kwa vikundi vingine. Na Mrisho Sadick: Halmashauri ya Wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita imewataka wanufaika wa mikopo ya asilimia 10 kutumia teknolojia ya mawasiliano ikiwemo mitandao ya…

5 January 2026, 3:42 pm

Sagayika agusa wahitaji kata ya Kalangalala

“Ibada njema ni yenye kukumbuka watu wenye uhitaji na kuweza kuwasaidia ili waweze kujisikia vizuri kama watu wengine” – Diwani Sagayika Na: Ester Mabula Diwani wa kata ya Kalangalala Mhe. Ruben Emmanuel Sagayika ameuanza vyema mwaka 2026 kwa kuwakumbuka wagonjwa,…

5 January 2026, 12:58 pm

Wakazi Nyantimba wamshukuru mbunge kukamilisha jengo la shule

“Kunipigia kura na kunichagua ni kunikopesha maendeleo ndani ya miaka mitano na nitahakikisha changamoto zilizo ndani ya uwezo wangu zinakwisha” – Mbunge Lutandula Na: Ester Mabula Wananchi wa kijiji cha Nyantimba kata ya  Nyarutembo halmashauri ya wilaya ya Chato mkoani…

27 December 2025, 4:57 am

Afisa elimu Geita ahimiza wazazi kuendelea kuandikisha wanafunzi

“Kila mwaka zoezi la uandikishaji huanza mwezi Septemba na kukamilika tarehe 31, marchi ili kutoa nafasi kwa wazazi na walezi kuandikisha watoto wao” – Afisa elimu mkoa wa Geita Na: Ester Mabula Afisa elimu mkoa wa Geita Mwalimu Antony Mtweve…

26 December 2025, 2:07 am

Mbunge Chato Kusini awakumbuka wagonjwa sikukuu ya krismasi

“Ofisi ya mbunge jimbo la Chato Kusini itaendelea kushirikiana na wananchi katika mambo mbalimbali kwaajili ya maendeleo ya jimbo letu” – Joseph James, Katibu wa Mbunge Na: Ester Mabula Mbunge wa Jimbo la Chato kusini Paschal Lutandula amewakumbuka wagonjwa wanaopatiwa…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.