Recent posts
22 August 2026, 12:14 am
Mbunge Chacha atatua changamoto ya umeme na maji zahanati ya Mwatulole
Mbunge wa Jimbo la Geita mjini Mhandisi Chacha Wambura ameendelea kutatua changamoto za waananchi katika jimbo lake kwa kufanya ziara katika maeneo mbalimbali sambamba na kusikiliza kero za wananchi. Na: Ester Mabula Mbunge wa Jimbo la Geita mjini Mhandisi Chacha…
21 August 2026, 7:59 pm
Bodi ya GEUWASA yaridhishwa na mradi wa maji wa miji 28 Geita
Mradi unahusisha ujenzi wa mtambo wa kutibu maji wenye uwezo wa lita milioni 44 hadi 45 kwa siku, ujenzi wa mabomba ya kusafirisha maji kwa zaidi ya kilomita 50, pamoja na mtandao wa usambazaji maji wa takribani kilomita 30 ndani…
21 August 2026, 2:59 pm
Wananchi walalamikia kuondolewa kwenye makazi yao Geita
Baadhi ya Wakazi wanaolalamikia kuondolewa katika makazi yao.Picha na Edgar Rwenduru Wameishi katika eneo hilo kwa muda mrefu na wamewekeza katika makazi na shughuli mbalimbali za kiuchumi hivyo kuondolewa bila fidia wala kuelekezwa eneo la kwenda kutawaathiri wao na familia…
19 August 2026, 2:12 pm
Wamiliki wa karasha na mwalo wabanwa kujenga vyoo
Picha ya muonekano wa mwalo katika eneo la Kumbayaga. Picha na Kale Chongela Uwepo wa vyoo ni muhimu katika kulinda usafi wa mazingira na afya za watu wanaojihusisha na shughuli za uchimbaji na uchenjuaji wa madini. Na: Kale Chongela Mkurugenzi…
18 August 2026, 6:56 pm
Waendesha ‘daladala’ Geita wanufaika na kupaa kwa bei ya mafuta
Awali walikuwa wakitoza kati ya shilingi 300 hadi 500 kwa abiria kwa safari za umbali mrefu, lakini kwa sasa wanatoza kati ya shilingi 500 hadi 1,000 kwa umbali wa wastani, jambo ambalo wanasema limeongeza kipato chao. Na Mrisho Sadick: Waendesha…
18 August 2026, 5:05 pm
Wavunjifu wa sheria za usalama barabarani kukiona cha moto Geita
Wananchi wametakiwa kuwa sehemu ya suluhisho kwa kutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi pale wanapobaini vitendo vinavyohatarisha usalama barabarani. Na Mrisho Sadick: Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Geita limewataka wananchi kutowafumbia macho watu wanaokiuka sheria za…
16 August 2026, 5:50 pm
Nyang’hwale yaanza kuchukua tahadhari ya mvua za El Nino
Tahadhari hii ya mapema kukabiliana na El nino inachukuliwa mapema kutokana na mkoa wa Geita kuwa miongoni mwa mikoa ambayo inapata mvua nyingi Tanzania. Na Mrisho Sadick Serikali wilayani Nyang’hwale mkoani Geita imeanza kuchukua tahadhari dhidi ya mvua kubwa za…
16 August 2026, 5:09 pm
Manara ashangazwa ligi ya Misungwi Cup Ludete Katoro
Manara ashangazwa na umati mkubwa wa mashabiki katika fainali ya misungwi Cup Kata ya Ludete mamlaka ya mji wa Katoro wilayani Geita. Na Mrisho Sadick: Msemaji wa Timu za Taifa Tanzania Haji Manara amezitaka mamlaka za Serikali mkoani Geita kujenga…
14 August 2026, 3:50 pm
GGML, JKCI mguu sawa kunusuru watoto wenye magonjwa ya moyo
Jumla ya watoto 300 wanatarajiwa kunufaika kupitia mpango huo wa matibabu ambapo Geita Gold Mining Limited (GGML) itafadhili jumla ya shilingi Bilioni 1.2 kwa muda wa miaka mitatu. Na: Ester Mabula Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) na Taasisi…
13 August 2026, 5:02 pm
Kichanga chaokotwa kikiwa hai mtaa wa 14 Kambarage
Licha ya Jitihada za serikali kwa kushiriana na wadau na mashirika mbalimbali kupinga vitendo vya ukatili, bado baadhi ya watu wameendelea kufanya vitendo vya ukatili. Na: Kale Chongela Mtoto mchanga ameokotwa akiwa hai ambapo imedhaniwa kuwa ametupwa muda mfupi baada…