Recent posts
9 January 2026, 4:37 pm
Mpango wa chakula kila shule Nyang’hwale umetiki
Zaidi ya wanafunzi 5,700 kutoka shule saba za msingi na shule moja ya sekondari ndio wanufaika wa moja kwa moja wa mpango huo. Na Mrisho Sadick: Kata ya Shabaka wilayani Nyang’hwale mkoani Geita imelima jumla ya ekari 41 za mahindi…
9 January 2026, 4:09 pm
Wakazi wa Ilungwe Geita waanzisha ujenzi wa shule ya msingi
Mtaa wa Ilungwe unakadiriwa kuwa na idadi ya wakazi zaidi ya 1,500 wanaotegemea huduma za elimu katika mtaa wa Nyamakale ambao upo zaidi ya kilometa tatu. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa Mtaa wa Ilungwe Kata ya Nyankumbu Manispaa ya Geita…
9 January 2026, 12:11 pm
Nyang’hwale yaendelea kuwa kinara uandikishaji wanafunzi
“Kimsingi zoezi la kuandikisha wanafunzi linaendelea hadi Marchi 31, 2026 kwa mujibu wa mwongozo wa serikali kupitia wizara ya elimu” – Mwalimu Mtweve Na: Ester Mabula Afisa elimu mkoa wa Geita Mwalimu Antony Mtweve amewahimiza wazazi na walezi kuendelea kujitokeza…
8 January 2026, 7:01 pm
Wananchi wamshukuru Diwani utatuzi kero ya mashimo stendi ya Geita
“Lengo ni kuhakikisha abiria na watumiaji wa barabara wanakuwa katika hali ya usalama pindi wanapotumia stendi hii hususani kipindi cha mvua” – Reuben Sagayika Na: Ester Mabula Wananchi na watumiaji wa kituo kikuu cha mabasi mkoa wa Geita wameishukuru serikali…
8 January 2026, 12:40 pm
Atia ngumu pikipiki kufungwa cheni kisa kitambulisho
Hatua ya kufunga cheni inalenga kudhibiti waendesha pikipiki wanaojihusisha na shughuli za usafirishaji bila kuwa na vitambulisho. Na Kale Chongela: Uongozi wa egesho la pikipiki la Lukilini lililopo Mtaa wa Mkoani Kata ya Kalangalala Manispaa ya Geita umeanza kutekeleza agizo…
8 January 2026, 11:36 am
Nyang’hwale yasisitiza matumizi ya teknolojia kukuza biashara
Ucheleweshaji wa marejesho una punguza juhudi za serikali kuendelea kutoa fedha za mikopo kwa vikundi vingine. Na Mrisho Sadick: Halmashauri ya Wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita imewataka wanufaika wa mikopo ya asilimia 10 kutumia teknolojia ya mawasiliano ikiwemo mitandao ya…
5 January 2026, 3:42 pm
Sagayika agusa wahitaji kata ya Kalangalala
“Ibada njema ni yenye kukumbuka watu wenye uhitaji na kuweza kuwasaidia ili waweze kujisikia vizuri kama watu wengine” – Diwani Sagayika Na: Ester Mabula Diwani wa kata ya Kalangalala Mhe. Ruben Emmanuel Sagayika ameuanza vyema mwaka 2026 kwa kuwakumbuka wagonjwa,…
5 January 2026, 12:58 pm
Wakazi Nyantimba wamshukuru mbunge kukamilisha jengo la shule
“Kunipigia kura na kunichagua ni kunikopesha maendeleo ndani ya miaka mitano na nitahakikisha changamoto zilizo ndani ya uwezo wangu zinakwisha” – Mbunge Lutandula Na: Ester Mabula Wananchi wa kijiji cha Nyantimba kata ya Nyarutembo halmashauri ya wilaya ya Chato mkoani…
27 December 2025, 4:57 am
Afisa elimu Geita ahimiza wazazi kuendelea kuandikisha wanafunzi
“Kila mwaka zoezi la uandikishaji huanza mwezi Septemba na kukamilika tarehe 31, marchi ili kutoa nafasi kwa wazazi na walezi kuandikisha watoto wao” – Afisa elimu mkoa wa Geita Na: Ester Mabula Afisa elimu mkoa wa Geita Mwalimu Antony Mtweve…
26 December 2025, 2:07 am
Mbunge Chato Kusini awakumbuka wagonjwa sikukuu ya krismasi
“Ofisi ya mbunge jimbo la Chato Kusini itaendelea kushirikiana na wananchi katika mambo mbalimbali kwaajili ya maendeleo ya jimbo letu” – Joseph James, Katibu wa Mbunge Na: Ester Mabula Mbunge wa Jimbo la Chato kusini Paschal Lutandula amewakumbuka wagonjwa wanaopatiwa…