Recent posts
12 December 2025, 1:55 pm
Upatikanaji wa maji Nyang’hwale ni asilimia 77.4
RUWASA imetakiwa kuhakikisha inapunguza upotevu wa maji na malalamiko ya bili kwa kufunga mita za wateja majumbani badala ya sehemu zilizo mbali na makazi yao. Na Mrisho Sadick: Hali ya upatikanaji wa maji safi na salama wilayani Nyang’hwale mkoani Geita…
12 December 2025, 12:26 pm
Nzoya na nyoka wa ajabu Geita
Idadi ya nyoka alionao inalingana kabisa na idadi ya watoto wake tisa , Hata hivyo licha ya utaalamu alionao Shidiku anakiri kwamba kuishi na viumbe hao kunahitaji moyo wa ziada. Na Mrisho Sadick: Shidiku Nzoya mwenye umri wa miaka (35)…
12 December 2025, 12:12 pm
Kata nne kunufaika na milioni 600 kutoka mgodi wa Bucreef Geita
Vipaumbele vikubwa vya fedha hizo za CSR ni huduma za Afya kwakuwa kata hizo zina ongezeko kubwa la watu kutokana na shughuli za uchimbaji wa madini. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa Kata nne za Halmashauri ya wilaya ya Geita Mkoani…
5 December 2025, 2:25 pm
Ufaulu darasa la saba Nyang’hwale wapaa
Changamoto zilizokuwa kikwazo mwaka Jana ikiwemo wazazi kuwalazimisha watoto kufeli, ukosefu wa chakula shuleni pamoja na baadhi ya wadau kutowajibika ipasavyo. Na Mrisho Sadick: Ufaulu wa mtihani wa darasa la saba katika Wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita umeongezeka kutoka asilimia…
5 December 2025, 2:03 pm
Moto wa ajabu wateketeza samani za ndani Geita
Hakuna madhara ya kibinadamu kwakuwa jitihada kubwa zilifanyika kuuzima moto huo kwa kushirikiana na majirani. Kale Chongela: Moto ambao chanzo chake hakijajulikana umeteketeza vitu vya ndani katika chumba cha Bw. David Pankras, mkazi wa Mtaa wa Nyantorotoro A Kata ya…
4 December 2025, 6:28 pm
Picha: Reuben Sagayika akabidhiwa rasmi ofisi kata ya Kalangalala
Ikiwa ni siku chache tangu kuapishwa rasmi kwa madiwani wateule watakaoongoza kuanzia 2025 hadi 2030, sasa wameanza rasmi majukumu. Na: Ester Mabula Diwani mpya wa Kata ya Kalangalala, Reuben Emmanuel Sagayika, amekabidhiwa rasmi ofisi leo Disemba 04, 2025 kutoka kwa…
4 December 2025, 5:19 am
Hizi hapa bei elekezi za mafuta Geita kwa mwezi Disemba
Kila Jumatano ya kwanza ya mwezi, mamlaka ya huduma za nishati na maji nchini (EWURA) hutangaza bei kikomo za mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa. Na: Ester Mabula Taarifa iliyotolewa Jumatano ya Disemba 03, 2025 nz Mamlaka ya…
3 December 2025, 7:18 pm
Mapambano ya ugonjwa wa sikoseli yaanza Geita
Mradi huo utatekelezwa kwa miaka miwili, utatoa huduma ya upimaji, utoaji wa bima za Afya kwa watoto zaidi ya 300 ambao hawana uwezo wa kumudu matibabu. Na Mrisho Sadick: Serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali imeendelea kuimarisha mapambano dhidi ya…
2 December 2025, 7:32 pm
Vipaumbele vya Reuben Sagayika baada ya kula kiapo
Baraza la madiwani la halmashauri ya manispaa ya Geita limeketi leo Disemba 02, 2025 katika kikao cha kwanza ambapo lilianza kwa zoezi la madiwani wateule kula viapo vya utumishi. Na: Ester Mabula Diwani wa kata ya Kalangalala Reuben Sagayika mara…
2 December 2025, 3:50 pm
Halmashauri ya Manispaa ya Geita yapata viongozi wapya
Leo Disemba 02, 2025 kikao cha kwanza cha baraza la madiwani kimefanyika katika ukumbi wa mikutano wa Dkt. Samia Suluhu Hassan eneo la Bombambili manispaa ya Geita. Na: Ester Mabula Baraza la madiwani la halmashauri ya manispaa ya Geita limeketi…