Recent posts
27 January 2026, 5:10 pm
Manispaa ya Geita yapitisha bajeti ya Tsh. bil. 78.8 kwa mwaka 2026/2027
Baraza la madiwani la halmashauri ya Manispaa ya Geita leo Januari 27, 2026 limejadili na kupitisha rasimu ya bajeti kisasi cha shilingi bilioni 78,811,212,825.7 kwa mwaka wa fedha 2026/2027. Na: Ester Mabula Bajeti hiyo ina ongezeko la 8.3% zaidi ya…
26 January 2026, 6:04 pm
Hati za kimila 838 zatolewa kwa wananchi Nyang’hwale
Ugawaji wa hati za kimila ni sehemu ya mkakati wa Serikali wa kuhakikisha wananchi wanakuwa na umiliki halali wa ardhi. Na Mrisho Sadick: Kuelekea siku 100 za uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan,…
26 January 2026, 5:42 pm
Matukio ya watu kufa mto Buluhe Mbogwe sasa basi
Kutokana na mvua za El nino zilizonyesha siku za nyuma serikali imetumia zaidi ya shilingi bilioni 500 kukabiliana na athari za uharibifu huo katika maeneo mbalimbali nchini. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa Kata ya Iponya wilayani Mbogwe mkoani Geita wameishukuru…
26 January 2026, 1:15 pm
Katukula afariki akiwa na miaka 115, aacha familia ya watu 1,989
“Tunashukuru malezi na mafundisho aliyotupa baba yetu na tutayaendeleza kwa uzao wake ikiwa ni kuendelea kuheshimu watu wote katika Jamii” – Mtoto wa marehemu Na: Kale Chongela Historia ya kuishi duniani ya Mzee Jacob Chigabilo Katukula mkazi wa mtaa wa…
25 January 2026, 2:51 pm
Wanafunzi 261 hawajaripoti shule Katoro
Hadi sasa wanafunzi 480 pekee ndio walioripoti katika shule hizo tatu, huku idadi kubwa ya wanafunzi waliopangiwa kujiunga bado hawajafika. Na Mrisho Sadick: Jumla ya wanafunzi 261 kati ya 741 waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza katika shule tatu za…
23 January 2026, 7:34 pm
Kamati ya maendeleo kata ya Kalangalala yatembelea GGML
“Ziara hii imekuwa ni bora sana kwetu na yenye tija kwani itatuwezesha kuelewa kwa upana shughuli zinazofanyika ndani ya mgodi” – Diwani Sagayika Na: Ester Mabula Kamati ya maendeleo ya kata ya Kalangalala, halmashauri ya manispaa ya Geita ikiongozwa na…
23 January 2026, 11:23 am
Mbunge Chato Kusini atoa bati 200 kuezeka jengo la shule
Shule ya msingi Ndalichako iliyopo katika kijiji na kata ya Bwanga, halmshauri ya wilaya ya Chato mkoani Geita ina jumla ya wa wanafunzi 1045 Na: Ester Mabula Mbunge wa Jimbo la Chato Kusini Mhe. Paschal Lutandula ametoa bati 200 ili…
21 January 2026, 4:11 pm
Nyankumbu yazindua kampeni ya upandaji wa miti laki tano
Siku ya kwanza ya uzinduzi wa zoezi hili imepandwa miti zaidi ya 10,000 katika taasisi za umma na binafsi pamoja na majumbani. Na Mrisho Sadick: Kata ya Nyankumbu, Manispaa ya Geita mkoani Geita, imezindua kampeni maalum ya upandaji wa miti…
20 January 2026, 12:50 pm
TISEZA yafanya ziara mkoani Geita kuhamasisha uwekezaji
Jumla ya miradi 901 yenye thamani ya Tsh. bilioni 9.31 kwa mwaka 2024, na miradi 927 kwa mwaka 2025 yenye thamani ya Tsh. bilioni 11 ambapo jumla ya miradi 469 inamilikiwa na watanzania sawa na asilimia 51%. Na: Ester Mabula…
19 January 2026, 6:39 pm
Mwanamke mwenye ulemavu aliyetelekezwa apatiwa msaada
Kundi la watu wenye ulemavu linaendelea kukumbana na changamoto mbalimbali, hususan wanawake wanaotelekezwa. Na Mrisho Sadick: Mwanamke mwenye ulemavu Sarah Malale mkazi wa Kata ya Lulembela Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita amewaomba Watanzania wenye mapenzi mema kujitokeza kumsaidia baada ya…