19 November 2024, 8:33 pm

Binti aliyevunjika uti wa mgongo Inyala awashukuru

Nguvu ya umma imeendelea kurejesha tabasamu kwa Annastazia aliekata tamaa ya maisha nakutamani afe baada ya kuvunjika uti wa mgogo wakati akichuma maembe juu ya mti Na Mrisho Sadick: Annastazia Jackobo mkazi wa kijiji cha Inyala Kata ya Nyamigota wilayani…

On air
Play internet radio

Recent posts

21 March 2025, 10:45 am

Adaiwa kunywa sumu baada ya mke kuondoka na Tsh. laki 2

Mwanaume mmoja mkazi wa kata ya Kasamwa katika halmashauri ya manispaa ya Geita amenusurika kifo baada ya kufanya jaribio la kujiua kwa kunywa sumu. Na: Kale Chongela – Geita Gerevas Deus anakadiriwa kuwa na umri wa miaka 28 mkazi wa kijiji…

21 March 2025, 9:55 am

Mti uliokatwa wakutwa umesimama Mpomvu

Wakazi wa mtaa wa Mpomvu kata ya Mtakuja, halmashauri ya manispaa ya Geita wameshtushwa na hali ya mti uliopo katika kanisa la GGC uliokuwa umekatwa kukutwa umesimama. Na: Kale Chongela – Geita Wakizungumza na Storm FM Marchi 20, 2025 baadhi…

20 March 2025, 12:13 pm

Wawili mbaroni kwa ubakaji wa mwanafunzi (10), yumo mwalimu

Katika hali ya kushangaza mwanafunzi wa shule ya msingi mwenye umri wa miaka 10 amekuwa akifanyiwa vitendo vya ubakaji kwa zaidi ya mwezi mmoja na watu wawili akiwemo mwalimu wake. Na: Emmanuel Twimanye – Sengerema Jeshi la Polisi wilayani Sengerema…

19 March 2025, 5:58 pm

Wananchi Geita wahoji mapato ya 10% ya viwanja

‘Inabidi viongozi wa mtaa waweke wazi juu ya mapato ya asilimia 10 ili tuelewe inatumika katika maeneo gani’ – Mwananchi Na: Kale Chongela – Geita Baadhi ya wakazi wa kata ya Buhalahala katika halmashauri ya manispaa ya Geita wamewaomba viongozi…

19 March 2025, 4:42 pm

Sekondari ya Mbabani yaondoa kikwazo kwa wanafunzi

Ikiwa leo imetimia miaka minne ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, wakazi wa mtaa wa Mbabani kata ya Mtakuja, halmashauri ya manispaa ya Geita wamshukuru kwa kuwajengea shule ya sekondari. Na: Ester Mabula – Geita Viongozi na wananchi wa…

19 March 2025, 4:00 pm

Miaka minne ya Rais Samia yaacha neema Geita

Leo Marchi 19, 2025 imetimia miaka minne ya uongozi wa Rais wa awamu ya sita Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambapo katika kipindi hicho miradi mbalimbali ya kimkakati imeanzishwa wilayani Geita. Na: Ester Mabula – Geita Wananchi wilayani na mkoani Geita…

18 March 2025, 2:49 pm

Wananchi Nyantorotoro B waomba alama za barabarani

Alama za barabarani hutajwa kusaidia katika muongozo wa matumizi ya barabara sambamba na kurahisisha watumiaji kuepukana na ajali za barabarani. Na: Kale Chongela – Geita Wananchi wa mtaa wa Nyantorotoro B eneo la Uboani, kata ya Nyankumbu, halmashauri ya manispaa ya…

17 March 2025, 12:34 pm

Picha: Ibada ya kumwombea Hayati JPM wilayani Chato

Tarehe 17 ya mwezi Machi 2021 ni siku ambayo Tanzania iliingia simanzi baada ya kifo cha Rais wa awamu ya tano hayati John Pombe Magufuli. Leo imetimia miaka minne tangu kifo chake.  Na: Ester Mabula – Geita Viongozi mbalimbali wa…

9 March 2025, 2:45 pm

Mbunge atoa kompyuta 5 Ihanamilo sekondari

Wadau mbalimbali wa elimu wameombwa kuendelea kujitokeza kusaidia sekta hiyo hususani katika masuala ya TEHAMA. Na Mrisho Shabani: Mbunge wa Jimbo la Geita mjini Costantine Kanyasu ametoa Kompyuta  zenye thamani ya zaidi ya milioni 10 katika shule ya sekondari Ihanamilo…

9 March 2025, 2:31 pm

Wasabato wafanya matendo ya huruma Geita

Jamii imeombwa kuendelea kuwasaidia watu wenye mahitaji ikiwemo wagonjwa , wafungwa na wale wanaoshi katika mazingira magumu. Na Mrisho Shabani: Kanisa la Waadventisti Wasabato Mtaa wa Geita kati limetoa zawadi nakuwaombea wagonjwa katika Hospitali ya Manispaa ya Geita mkoani Geita…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.