
Recent posts

17 April 2025, 11:42 am
Jogoo latoa funza muda mfupi baada ya kuchinjwa Nyakabale
‘Baada ya kuona afya yake inazorota ikabidi nimchinje na ndipo nikaona hayo maajabu sasa’ – Mmiliki wa kuku aina ya jogoo Na: Paul William: Katika hali isiyo ya kawaida Bi. Nusra Said mkazi wa kata ya Nyakabale katika halmashauri ya…

17 April 2025, 10:49 am
Community policing outreach yahitimishwa Nyarugusu
April 16, 2025 mkoa wa Geita kupitia Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na GGML umehitimisha program iliyokuwa na lengo la kutoa elimu kwa Jamii juu ya kukabiliana na vitendo vya uhalifu. Na: Ester Mabula: Programu ya kutoa elimu kwa jamii…

16 April 2025, 3:00 pm
Wazazi wasiolea watoto kukiona cha moto Geita
Jeshi la polisi katika mkakati wa kukabiliana na changamoto ya vitedo vya ukatili kwa watoto Mkoani Geita Na Mrisho Sadick: Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limeanza oparesheni ya kuwakamata watoto wanaozurura mitaani nyakati za usiku na kuwawajibisha wazazi wao…

15 April 2025, 1:42 pm
Madereva Geita wakutana kujadili changamoto zao
Madereva wa vyombo vya usafiri vya kibiashara mkoani Geita wamekutaka kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili ikiwemo ya usajili LATRA Na Mrisho Sadick: Kufuatia mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) kuwataka madereva wa vyombo vya moto vya kibiashara na watoa huduma kwenye…

14 April 2025, 1:30 pm
Wananchi Nyangh’wale waomba elimu ya mikopo
Kuanza kutolewa kwa mikopo ya asilimia 10 kumewaibua wananchi kudai kupatiwa elimu ya namna ya kuomba mikopo hiyo. Na Mrisho Sadick: Wananchi wilayani Nyangh’wale Mkoani Geita wameiomba serikali kuendelea kutoa elimu ya mikopo ya asilimia 10 kwakuwa idadi kubwa ya…

13 April 2025, 1:56 pm
Ubovu wa barabara hospitali Katoro
Ubovu wa barabara ya kwenda katika hospitali ya Katoro wawaibua wananchi wa kata za Katoro na Ludete wawaibua wananchi Na Mrisho Sadick: Wakazi wa Kata ya Ludete mamlaka ya mji mdogo wa Katoro wilayani Geita wameiomba serikali kuchukua hatua za…

12 April 2025, 8:42 pm
GGML, polisi wapongezwa elimu ya usalama
Jamii imeendelea kunufaika na elimu ya usalama pamoja na kukabiliana na vitendo vya uhalifu inayoendelea kutolewa mkoani Geita. Na: Ester Mabula: Wananchi wa mtaa wa Nyantorotoro A kata ya Nyankumbu katika halmashauri ya manispaa ya Geita wametoa pongezi kwa Jeshi…

11 April 2025, 2:43 pm
Wajasiriamali Mpomvu wapongeza uboreshwaji wa soko
Soko la Mpomvu linatumiwa na wakazi wa kata ya Mtakuja yenye idadi ya wakazi wapatao 26,676 kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi iliyofanyika mwaka 2022. Na: Kale Chongela: Wajasiriamali waliopo katika mtaa wa Mpomvu kata ya Mtakuja katika halmashauri…

11 April 2025, 11:32 am
RC Geita akabidhi bima za afya 102 kwa watoto yatima
Watoto 102 wa kituo cha kulea watoto yatima cha moyo wa huruma kilicho chini ya kanisa katoliki geita wamekabidhiwa bima za afya za NHIF jana April 09 2025. Na: Daniel Magwina: Akizungumza katika zoezi hilo la kukabidhi bima hizo mkuu…

10 April 2025, 7:35 pm
Mgodi wa Buckreef kutekeleza miradi ya CSR ya 420m
Miradi ya CSR (Corporate Social Responsibility) hufanywa na kampuni kama sehemu ya kuwajibika kijamii, kwaajili ya kusaidia jamii inayowazunguka au kulinda mazingira. Lengo kuu ni kuhakikisha kuwa kampuni haifanyi tu biashara kwa faida, bali pia inatoa mchango chanya kwa jamii.…