Recent posts
18 February 2026, 1:28 pm
Lwamgasa Farmers Amcos waendesha harambee ununuzi wa trekta
Chama cha ushirika kimekuwa na fursa mbalimbali ya kuwaunganisha wakulima katika kujadili na kufanya mambo ya kuleta tija kwenye kilimo. Na: Kale Chongela Chama cha ushirika cha Lwamgasa Farmers Amocos Limited kilichopo wilaya ya Geita mkoani Geita kimefanya harambe kwa ajili…
18 February 2026, 12:56 pm
Walimu shule ya sekondari ya wavulana ya Geita wapongezwa
Jumla ya wanafunzi 65 waliohitimu kidato cha nne katika shule ya sekondari ya wavulana ya Geita walipata ufaulu wa daraja la kwanza (division one). Na: Ester Mabula Walimu wa shule ya sekondari ya wavulana ya Geita (GESECO) wamepewa tuzo kufuatia…
17 February 2026, 6:07 pm
Mbunge atimiza ahadi ya kununua mitambo ya barabara
Pichani ni Mbunge wa Jimbo la Chato kusini Mhe. Paschal Lutandula “Siwezi kuona wananchi wangu wa Chato kusini wanateseka na miundombinu mibovu ya barabara, na ndiyo maana nilisema ndani ya siku zangu 100 nitaleta mitambo na nimetimiza” – Mbunge Lutandula…
17 February 2026, 7:52 am
Mbunge awapongeza wananchi kwa kujitoa kutengeneza barabara
Mbunge jimbo la Geita mjini, mkoani Geita, Chacha Wambura amewapongeza wananchi kwa kujitoa kutengeneza miundombinu ya barabara huku akisema “katika kipindi cha uongozi wangu nitahakikisha barabara hii inatengenezwa kwa ubora zaidi ili kuondoa changamoto” Na: Ester Mabula Wananchi wa Kata…
16 February 2026, 11:44 pm
Diwani aingilia kati sakata la mwekezji mtaa wa Nyanza
Ni mwendelezo wa ziara za diwani wa kata ya Kalangalala kutembelea maeneo mbalimbali kwa lengo la kusikiliza kero za wananchi na kuweza kuzitatua. Na: Ester Mabula Wananchi wakazi wa mtaa wa Nyanza, kata ya Kalangalala, halmashauri ya manispaa ya Geita…
15 February 2026, 11:38 am
Mbunge Geita mjini afanyia kazi kero ya barabara
“Nataka niseme kuanzia siku ya Jumanne, barabara zitaanza kufanyiwa matengenezo ili kero hii iweze kuondoka kwa wananchi wa eneo hili kwani serikali ya Rais Samia imetupa fedha kwaajili ya kukarabati miundombinu” – Mbunge Geita mjini, Chacha Wambura Na: Ester Mabula…
15 February 2026, 12:44 am
Diwani kata ya Ichwankima ahimiza umoja
“Maendeleo ya kata yetu yanahitaji umoja na ushirikiano na tuweke makundi pembeni, na mimi nawahakikishia nitakuwa kiongozi wa wote bila kumbagua mtu” – Diwani Kulwa Ludaho Na: Ester Mabula Diwani wa Kata ya Ichwankima wilayani Chato, mkoani Geita, Kulwa Elias…
14 February 2026, 1:16 am
Diwani kata ya Kalangalala akagua miradi ya elimu mtaa wa Mbugani
Ziara hiyo imekagua miradi ya BOOST iliyotekelezwa na inayoendelea kutekelezwa. BOOST ni sehemu ya mpango wa lipa kulingana na matokeo katika elimu awamu ya pili (EPforR II) na inachangia utekelezaji wa mpango wa maendeleo wa sekta ya elimu wa miaka…
13 February 2026, 12:28 pm
Wapangaji wamlilia mwenye nyumba kufunga choo kwa zaidi ya siku 14
“Kwenye mkataba wetu hauoneshi kama sisi wapangaji tunatakiwa kuchanga pesa ili kuweza kuzibua choo, hili jambo linapelekea mkanganyiko” – mmoja wa mpangaji Na: Kale Chongela Choo kinachotumiwa na wapangaji 10 katika nyumba inayomilikiwa na Bi. Jedida Kassim iliyopo mtaa wa Ujamaa…
13 February 2026, 12:02 pm
Mradi wa Mama mjamzito na mtoto salama wabisha hodi Geita
Shirika la THAMINI UHAI limepata ufadhili wa kutekeleza mradi wa Mama mjamzito na mtoto salama kwa muda wa miaka mitano kuanzia Septemba hadi Juni 2030 kupitia ufadhili wa pamoja wa Bloomberg Philanthropies na Gates Foundation. Na: Ester Mabula Shirika la…