Storm FM
Storm FM
15/04/2021, 18:23
Na Mrisho Sadick: Katika kukuza utalii wa ndani baadhi ya walimu wa shule za msingi na sekondari Mkoani Geita wameungana kwa pamoja kuchangia ziara ya mafunzo katika Hifadhi za Taifa kwa lengo la kujijengea uwezo wa kitaaluma kuhusu rasilimali hizo.…
15/04/2021, 18:15
Na Elizabeth Obadia Wakazi wa mtaa wa nyamalembo wanaonufaika na mpango wa kunusuru kaya masikini tanzania tasaf wameshauriwa kuzitumia vizuri pesa wanazozipata kwa kufanya uwekezaji ili kujiongezea kipato zaidi. Hayo yamebainishwa na mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa nyamalembo Bw.…
15/04/2021, 18:08
Na Mrisho Sadick: Kutokana nakushamili kwa vitendo vya uhalifu katika kata ya Nyankumbu mjini Geita wananchi na viongozi wa eneo hilo wamelazimika kuanzisha kituo kidogo cha polisi ili kukabiliana na changamoto hiyo. Wakizungumza katika eneo lililotengwa kwa ajili ya ujenzi,…
15/04/2021, 18:00
Na Paul Lyankando: Serikali ya kijiji cha Ikunguigazi wilayani mbogwe mkoani Geita kwa kushirikiana na wananchi wameendelea kutengeneza madawati ili kuondoa changamoto ya wanafunzi zaidi 890 kusomea chini. Mwenyekiti wa kijiji cha Ikunguigazi Bw Jumanne Manyasa amesema kwa kushirikiana na…
15/04/2021, 17:50
Na Kale Chongela: Watoa huduma ya chakula katika halmashauri ya mji wa Geita wametakiwa kuvaa mavazi maalum wakati wa biashara pamoja na kofia kwa ajili ya kuimarisha usafi ili kuendelea kulinda afya za wateja wanaowahudumia. Wito huo umetolewa na Afisa…
14/04/2021, 19:41
Na Mrisho Sadick: Katika hali isiyokuwa ya kawaida wakazi wa mtaa wa Nyantorotoro Kata ya Nyankumbu mjini Geita wamelazimika kuzika mara mbili mwili wa mtoto aliefariki baada ya kutoka kuzika na kuukuta mwili nyumbani. Tukio hilo limetokea wiki iliyopita, na…
14/04/2021, 19:16
Na Paul Lyankando: Wananchi katika kijiji cha ikunguigazi wilayani mbogwe mkoani geita wamekamilisha ujenzi wa matundu 12 ya vyoo vya kisasa katika shule ya msingi ikunguigazi ili kunusuru zaidi ya wanafunzi 899 kujisaidia hovyo. Akizungumza mara baada ya kukamilika kwa…
14/04/2021, 18:52
Na kalechongela: Wananchi Geita wameiomba serikali ya mkoa wa kupitia kitengo cha usalama barabarani kudhibiti suala na ubebaji wa watoto kwenye matanki ya mafuta kwenye pikipiki. Hayo yameelezwa na baadhi ya wakazi wa Geita wakati wakizungumza na Storm FM nakusema…
14/04/2021, 18:36
Na Joel Maduka: Mwanaume anaejulikana kwa jina la LEORNARD MFI mwenye (24) mkazi wa Kata ya Kaseme Wilayani Geita anadaiwa kumrudisha mke wake nyumbani kwao kwa sababu ya kujifungua mtoto mwenye ugonjwa wa kichwa kujaa maji. Mtoto huyo mwenye umri…
14/04/2021, 17:15
Na Joel Maduka: Waislamu kote duniani leo hii wameanza kufunga kwa ajili ya mwezi mtukufu wa Ramadhan ambapo hujizuiya kula na kunywa kuanzia alfajiri hadi jua linapozama takriban siku 30 au 29 kutegemea na muandamo wa mwezi. Shehe Mkuu wa…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.