Storm FM
Storm FM
8 April 2021, 12:23 pm
Na Mrisho Sadick Mnyama aina ya kima au mbega amezua taharuki katika Mtaa wa uwanja mjini Geita baada ya kuingia katika makazi ya watu huku akiwa hajulikani ametoka wapi. Kima akiwa amejificha chooni Wakizungumza na Storm FM baadhi ya wakazi…
5 April 2021, 6:35 pm
Na Zubeda Handrish: Wakazi wa Mtaa wa Msufini mjini Geita wamezungumzia hali ya ulinzi na usalama wa raia na mali zao tangu aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli kuingia madarakani. Wameyasema hayo walipozungumza…
5 April 2021, 6:24 pm
Wananchi mjini Geita wameelezea namna walivyoguswa na kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na watakavyoendelea kumuenzi kwa yale aliyowaachia ikiwamo barabara za mitaa zilizojengwa katika kipindi chake. Baadhi ya wakazi wa mtaa…
5 April 2021, 5:27 pm
Mwenyekiti wa mtaa wa Tambukareli kata ya Kalangalala Wilayani Geita amenusurika kipigo kutoka kwa wananchi wa mtaa wa Bombambili kwa madai ya kutaka kusoma taarifa ambayo hawakuitaka isomwe mbele yao. Hatua hiyo ya wananchi imetokana na madai ya kiongozi huyo…
5 April 2021, 4:36 pm
Baadhi ya wazee katika Halmashauri ya mji wa Geita wameomba viongozi mbalimbali kumuenzi Hayati Magufuli kwa kuwapa kipaumbele kwa huduma mbalimbali za kijamii kama ilivyokuwa enzi za utawala wa hayati Magufuli . Wazee hao wamesema kuwa hayati Magufuli watamkumbuka kwa…
5 April 2021, 1:23 pm
Jumuiya ya umoja wa wanawake wa chama cha mapinduzi wilaya ya Geita umesema wanawake watamuenzi Hayati Dkt John Pombe Magufuli kwa kuchapa kazi na kusimamia haki na kumuunga mkono Rais wa awamu ya sita Samia Suluhu Hassan ili kutimiza maono ya mtangulizi wake.…
5 April 2021, 12:36 pm
Wakazi wa Mtaa wa Uwanja kata ya Nyankumbu mjini Geita wametakiwa kuwa na vifaa vidogo vya kuzimia moto wa awali katika Makazi yao na Sehemu za biashara ili kukabiliana na majanga ya moto yanayoweza kujitokeza katika maeneo yao. Rai hiyo…
4 April 2021, 2:21 pm
KAMPUNI ya Utafiti wa madini ya Mabangu imekana kuzilipa fidia ya mashamba familia 22 za wakazi wa kijiji cha Nyakafulu wilayani Mbogwe mkoani Geita ili kupisha shughuli za uchimbaji na badala yake imesema malipo iliyowalipa yalikuwa ni kwa ajili ya…
2 April 2021, 3:45 pm
Baadhi ya viongozi wa mamlaka ya mji mdogo wa Katoro wilayani na Mkoani Geita wamesema katika kumuenzi Hayati Dkt John Pombe Magufuli watahakikisha wanafanya kazi kwa uadilifu. Kauli hiyo imetolewa na Afisa mtendaji wa kata ya Katoro wilayani Geita Bw…
30 March 2021, 1:59 am
Mbunge wa jimbo la mbogwe Nikodemas Maganga ameamua kuiita MAGUFULI ROAD barabara ya kilomita 3 inayotengenezwa kpitia fedha zilizotolewa na hayati Dkt John Pombe Magufuli kwa kutambua mchango wake katika wilaya hiyo. Mbunge Maganga Amesema kutokana na mchango mkubwa wa…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.