Storm FM
Storm FM
21 May 2021, 5:52 pm
Na Joel Maduka: Wachimbaji wadogo ambao wamekuwa wakifanya shughuli zao kwenye Mikoa ya Kanda ya ziwa wametakiwa kuondoa tofauti ambazo zimekuwa zikisababisha migogoro ya mara kwa mara hali inayochangia kushindwa kuungana ili kuweza kukuza uzalishaji wao na kuufanya kuwa…
20 May 2021, 8:05 pm
Na Mrisho Sadick: Wazazi na walezi katika mtaa wa uwanja kata ya Nyankumbu mjini Geita wameshauriwa kuwaruhusu watoto wao kupatiwa dawa za kinga tiba ya kichocho na minyoo ili kuwakinga na changamoto hiyo. Rai hiyo imetolewa na Mganga mfawidhi wa…
20 May 2021, 7:51 pm
Na Mrisho Sadick: Hospitali za wilaya na vituo vya kutolea huduma za Afya Mkoani Geita zimetakiwa kufanya uhakiki wa vipimo ili kuondoa utata katika utoaji wa huduma kwa Wananchi.Rai hiyo imetolewa na Meneja wa wakala wa Vipimo Mkoani Geita Bw…
20 May 2021, 2:25 pm
Na Zubeda Handrish: Katika hali isiyokuwa ya kawaida watu wawili ambao hawajafahamika kwa majina yao wamekamatwa na jeshi la polisi baada ya kukutwa wakichinja mbwa katika mtaa wa Msalala road Halmashauri ya mji wa Geita. Wakizungumza na Storm FM wananchi…
19 May 2021, 7:20 pm
Na Kale Chongela: Wakazi wa Mtaa wa Ibolelo kata ya Nyankumbu Halmashauri ya mji wa Geita wamewaomba viongozi wa eneo hilo kumfuatilia na kurejesha kiasi cha Fedha shilingi Laki nane Tisini na Tatu Elfu iliyotumiwa na aliyekuwa afisa mtendaji wa…
13 May 2021, 9:47 am
Na Mrisho Sadick: Kikundi cha WhatsApp cha Geita Huru kimeungana kwa pamoja kuwatembelea watoto wenye uhitaji wakiwemo yatima katika kituo cha Bright Light kilichopo Geita mjini ambapo wametoa msaada wa chakula na vifaa vya usafi kwa ajili ya watoto hao.…
13 May 2021, 9:42 am
Wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu katika wilaya ya Mbogwe Mkoani Geita wameipongeza serikali kupitia wizara ya madini kwa kumaliza mgogoro wa wachimbaji katika mgodi wa Nyakafuru. Wakizungumza na Storm FM siku chache baada ya waziri wa madini Mhe, Dotto…
12 May 2021, 9:28 am
Na Mrisho Sadick: Wakazi wa kijiji cha Igate kata ya Nzera halmashauri ya wilaya ya Geita mkoani Geita wameweka mikakati ya kutokomeza vitendo vya baadhi ya wazazi wenye tabia ya kuozesha watoto wadogo badala ya kuwapeleka shule. Wakizungumza na Storm…
11 May 2021, 6:01 pm
Na Mrisho Sadick: Watoto 2578 waliochini ya umri wa miaka mitano wamepatiwa chanjo katika mkoa wa Geita kwenye wiki ya Maadhimisho ya chanjo ya Umoja wa Mataifa(UN) idadi ambayo ni mkubwa ukilinganisha na lengo la serikali ya mkoa huo ya…
4 May 2021, 6:55 pm
Na Mrisho Sadick: Mwenyekiti wa Chama cha Soka la wanawake Mkoani Geita Mwalimu Veronica William ameahidi kuinua soka la wanawake Geita kwa kuanza na shule za Msingi. Amesema hayo siku chache baada ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa chama hicho nakuahidi…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.