Storm FM

Recent posts

14 April 2021, 6:36 pm

Mama arudishwa kwao kisa kajifungua mtoto mwenye matatizo

Na  Joel Maduka: Mwanaume anaejulikana kwa jina la LEORNARD MFI mwenye (24) mkazi wa Kata ya Kaseme Wilayani Geita anadaiwa kumrudisha mke wake nyumbani kwao kwa sababu ya kujifungua mtoto mwenye ugonjwa wa kichwa kujaa maji. Mtoto huyo mwenye umri…

14 April 2021, 5:15 pm

Waumini wa dini ya kiislamu Geita washauriwa kuzidisha upenndo

Na Joel Maduka: Waislamu kote duniani leo  hii  wameanza kufunga kwa ajili ya mwezi mtukufu wa Ramadhan ambapo hujizuiya kula na kunywa kuanzia alfajiri hadi jua linapozama takriban siku 30 au 29 kutegemea na muandamo wa mwezi. Shehe Mkuu wa…

14 April 2021, 4:02 pm

Wafugaji wakaidi kuchukuliwa hatua kali Geita

Na Kale Chongela Serikali ya mtaa wa Tambukareli kata ya kalangalala Halmashauri ya mji wa Geita  imeanza utekelezaji wa kuwachukulia hatua kali wafugaji ambao hawazingatia  taratibu na kanuni za ufugaji maeneo ya mjini. Mwenyekiti wa serikali ya mtaa huo Bw Mabula…

9 April 2021, 12:16 pm

Mwanaume (32) wilayani Chato ajinyonga hadi kufa

Na Mrisho Sadick: Mtu mmoja mwenye umri wa miaka (32)  mkazi wa kijiji cha Izumangabo kata ya Bwanga wilayani chato mkoani Geita amejinyonga hadi kufa kwa kutumia kikoi cha mke wake huku chanzo cha tukio hilo kikiwa bado hakijafahamika. Tukio…

8 April 2021, 12:23 pm

Mnyama aina ya kima azua taharuki Geita

Na Mrisho Sadick Mnyama aina ya kima au mbega amezua taharuki katika Mtaa wa uwanja  mjini Geita baada ya kuingia katika makazi ya watu huku akiwa hajulikani ametoka wapi. Kima akiwa amejificha chooni Wakizungumza na Storm FM baadhi ya wakazi…

5 April 2021, 6:35 pm

Ulinzi na usalama Geita umeimarika

Na Zubeda Handrish: Wakazi wa Mtaa wa Msufini mjini Geita wamezungumzia hali ya ulinzi na usalama wa raia na mali zao tangu aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli kuingia madarakani. Wameyasema hayo walipozungumza…

5 April 2021, 6:24 pm

Wananchi Geita wajivunia barabara za mitaa

 Wananchi mjini Geita wameelezea namna walivyoguswa na kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na watakavyoendelea kumuenzi kwa yale aliyowaachia ikiwamo barabara za mitaa zilizojengwa katika kipindi chake. Baadhi ya wakazi wa mtaa…

5 April 2021, 5:27 pm

Mwenyekiti wa Mtaa anusurika kipigo kutoka kwa wananchi Geita

Mwenyekiti wa mtaa wa Tambukareli kata ya Kalangalala Wilayani Geita amenusurika kipigo kutoka kwa wananchi wa mtaa wa Bombambili kwa madai ya kutaka kusoma taarifa ambayo hawakuitaka isomwe mbele yao. Hatua hiyo ya wananchi imetokana na madai ya kiongozi huyo…

5 April 2021, 4:36 pm

Wazee Mjini Geita Waendelea kumuenzi Dkt John Pombe Magufuli

Baadhi ya wazee katika   Halmashauri ya mji wa Geita   wameomba viongozi mbalimbali kumuenzi Hayati Magufuli  kwa kuwapa kipaumbele kwa huduma mbalimbali za kijamii kama ilivyokuwa enzi za utawala wa  hayati Magufuli . Wazee hao wamesema kuwa  hayati Magufuli watamkumbuka kwa…

5 April 2021, 1:23 pm

Umoja wa wanawake wilaya ya Geita Kumuenzi JPM kwa kuchapa kazi

Jumuiya ya umoja wa wanawake wa chama cha mapinduzi wilaya ya Geita umesema wanawake watamuenzi Hayati  Dkt John Pombe Magufuli kwa kuchapa  kazi na kusimamia haki na kumuunga mkono Rais wa awamu ya sita  Samia Suluhu Hassan ili kutimiza maono ya mtangulizi wake.…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.