Storm FM
Storm FM
30 May 2021, 2:00 pm
Watoto Wanne(4) Akiwemo Ramadhani Hasani Wakazi Wa Kata Ya Nyankumbu Halmashauri Ya Mji Wa Geita Mkoani Geita Wamekutwa Wamefugiwa Ndani Ya Chumba Cha Mchezo wa Game za Play Statio PS. Akielezea Mmoja Wa Wazazi Wa Watoto Hao Bi Amina Jumanne Amesema…
28 May 2021, 2:10 pm
Wanaume ambao hawajafanyiwa tohara Mkoani Geita wameshauriwa kujitokeza katika vituo vya afya kupatiwa huduma hiyo kwani inasaidia kujikinga na magonjwa mbalimbali ikiwemo kupunguza 60% ya maambukizi ya virusi vya Ukimwi. Rai hiyo imetolewa na Mratibu wa kuthibiti Ukimwi Mkoani Geita …
27 May 2021, 2:22 pm
Wanawake katika kata ya Mgusu wilayani Geita wameshauriwa kujishughulisha na biashara ndogo ndogo za halali ili kuepuka utegemezi katika jamii. Rai hiyo imetolewa na wanawake wanaofanya kazi katika mgodi wa uchimbaji wa madini ya dhahabu wa mgusu miners wakati wakizungumza…
26 May 2021, 2:17 pm
Kikao cha kamati ya ushauri cha mkoa wa Geita (RCC) kimekubaliana kwa pamoja kuwa mkoa mpya wa Chato utakaomegwa kutoka katika mkoa wa Geita na mikoa jirani za kagera na kigoma utaundwa na wilaya tano za Chato,Bukombe,Ngara,Bihalamulo na kakonko. Kikao…
21 May 2021, 5:52 pm
Na Joel Maduka: Wachimbaji wadogo ambao wamekuwa wakifanya shughuli zao kwenye Mikoa ya Kanda ya ziwa wametakiwa kuondoa tofauti ambazo zimekuwa zikisababisha migogoro ya mara kwa mara hali inayochangia kushindwa kuungana ili kuweza kukuza uzalishaji wao na kuufanya kuwa…
20 May 2021, 8:05 pm
Na Mrisho Sadick: Wazazi na walezi katika mtaa wa uwanja kata ya Nyankumbu mjini Geita wameshauriwa kuwaruhusu watoto wao kupatiwa dawa za kinga tiba ya kichocho na minyoo ili kuwakinga na changamoto hiyo. Rai hiyo imetolewa na Mganga mfawidhi wa…
20 May 2021, 7:51 pm
Na Mrisho Sadick: Hospitali za wilaya na vituo vya kutolea huduma za Afya Mkoani Geita zimetakiwa kufanya uhakiki wa vipimo ili kuondoa utata katika utoaji wa huduma kwa Wananchi.Rai hiyo imetolewa na Meneja wa wakala wa Vipimo Mkoani Geita Bw…
20 May 2021, 2:25 pm
Na Zubeda Handrish: Katika hali isiyokuwa ya kawaida watu wawili ambao hawajafahamika kwa majina yao wamekamatwa na jeshi la polisi baada ya kukutwa wakichinja mbwa katika mtaa wa Msalala road Halmashauri ya mji wa Geita. Wakizungumza na Storm FM wananchi…
19 May 2021, 7:20 pm
Na Kale Chongela: Wakazi wa Mtaa wa Ibolelo kata ya Nyankumbu Halmashauri ya mji wa Geita wamewaomba viongozi wa eneo hilo kumfuatilia na kurejesha kiasi cha Fedha shilingi Laki nane Tisini na Tatu Elfu iliyotumiwa na aliyekuwa afisa mtendaji wa…
13 May 2021, 9:47 am
Na Mrisho Sadick: Kikundi cha WhatsApp cha Geita Huru kimeungana kwa pamoja kuwatembelea watoto wenye uhitaji wakiwemo yatima katika kituo cha Bright Light kilichopo Geita mjini ambapo wametoa msaada wa chakula na vifaa vya usafi kwa ajili ya watoto hao.…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.