Storm FM
Storm FM
13 July 2023, 1:25 pm
Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato imeendelea kuwa mkombozi mkubwa kwa wananchi wanaozunguka wilaya hiyo huku changamoto mbalimbali zinazoikabili ikiwemo dawa na vifaa tiba zikiendelea kupatiwa ufumbuzi kwa haraka. Na Mrisho Sadick Wataalam kutoka Bohari ya Dawa (MSD) wamefika katika…
13 July 2023, 12:27 pm
Majanga ya moto mkoani Geita yameendelea kujitokeza huku wananchi wakitakiwa kutoa taarifa mapema kwa Jeshi la Zimamoto kwa ajili ya uokozi kwa namba ya bure ya 114. Na Kale Chongela Moto ambao haujajulikana chanzo chake umezuka na kuteketeza vitu vya…
13 July 2023, 9:59 am
Kutokana na mabadiliko ya tabianchi kusababisha kupungua kwa mvua wilayani Chato mkoani Geita, serikali imekuja na njia mbadala ya kilimo cha umwagiliaji ili kuwakomboa wakulima. Na Mrisho Sadick: Serikali imepanga kuboresha mifumo ya umwagiliaji kwa wakulima wanaoishi pembezoni mwa Ziwa…
12 July 2023, 5:27 pm
Vuguvugu na tuhuma kutoka kwa wanachama wa CWT zimekuwa kubwa kwa Rais wa chama hicho na katibu wake, suala lililopelekea Rais huyo kutoka hadharani na kujibia tuhuma zinazomkabili kutoka kwa wanachama wake. Na Said Sindo- Geita Ikiwa imepita wiki moja…
12 July 2023, 1:32 pm
Sikiliza Makala ya Tafakari Pevu iliyoandaliwa na Storm FM kuhusu Dhamana. Makala hii huruka kila siku ya Jumanne saa moja kamili hadi saa moja na dakika thelathini asubuhi na kurudiwa Jumamosi saa nne asubuhi 88.9 Storm FM Sauti ya Geita.…
12 July 2023, 11:32 am
Wananchi Mkoani Geita wametakiwa kutoa taarifa haraka pindi wanapohitaji msaada wa maokozi kutoka Jeshi la Zimamoto na Uokoaji ili kukabiliana na tatizo kabla halijawa kubwa. Na Mrisho Sadick: Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoani Geita limefanikiwa kuudhibiti moto uliyozuka karibu…
11 July 2023, 10:21 pm
Dirisha kubwa la usajili limefunguliwa rasmi Julai 1, 2023 kwa ajili ya vilabu nchini kuingiza maingizo mapya yatakayowasaidia katika msimu mpya wa 2023/24, huku mapema vilabu hivyo vikianza usajili na kutangaza hadharani wakati vingine vikisajili kimya kimya. Na Zubeda Handrish…
11 July 2023, 10:32 am
Kutokuwepo kwa mfumo rasmi wa utunzaji wa kumbukumbu za manunuzi na mauzo kwa wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu hali ambayo ilikuwa ikichangia wengi wao kukwepa kodi, serikali imefanya mabadiliko ya sheria ili kila mchimbaji aweze kulipa kodi. Na Mrisho…
10 July 2023, 8:42 pm
Kutokana na changamoto ya muda mrefu ya kutozwa faini iliyokuwa ikiwasumbua waendesha pikipiki katika soko la Nyankumbu mjini Geita hatimaye adha hiyo imetatuliwa baada ya Storm FM kufika na kuripoti changamoto hiyo. Na Kale Chongela Waendesha pikipiki maarufu kwa jina…
10 July 2023, 8:11 pm
Suala la kufuata utaratibu wa mlo kamili ni la muhimu ili kuimarisha afya, ili kutimiza azma ya serikali kuandaa wataalam wabunifu wa kizazi kinachokuja, viongozi mbalimbali wa kiserikali na kiimani wameendelea kusisitiza kuwa lishe si suala la hiari, wanaowaza hivyo…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.