Storm FM
Storm FM
16 July 2023, 3:58 pm
Ili Stars iweze kufuzu Kombe la Dunia 2026, inatakiwa kutorudia makosa ya nyuma kwa kuandaa kikosi mapema ikizingatiwa kuandaa mashindano ya vijana kwa wingi, na ndilo hasa lilowaibua wadau. Na Zubeda Handrish- Geita Baada ya Droo ya hatua ya awali…
16 July 2023, 1:17 pm
Matukio ya utapeli katika nyanja mbalimbali yamekithiri ikiwamo katika upande wa upatikanaji wa vifaa vya kuzimia moto na uokoaji, jambo lililomuinua Inspekta Lukuba kuzungumzia hilo. Na Kale Chongela- Geita Jeshi la zimamoto na ukoaji mkoni Geita limewataka wananchi kufika katika…
15 July 2023, 6:51 pm
Ukubwa wa gharama za umeme katika maeneo mbalimbali ya vijijini ni moja ya changamoto inayowanyima fursa wananchi kupata huduma ya umeme. Na Nicolaus Lyankando- Geita Wananchi wanaoishi maeneo ya vijijini katika halimashauri ya wilaya ya mbogwe mkoani Geita wamelalamikia gharama…
15 July 2023, 5:32 pm
Leo ni siku ya 15 tangu kufunguliwa kwa dirisha kubwa la usajili ambapo Julai 1, 2023 rasmi vilabu katika ngazi mbalimbali za ligi ziliruhusiwa kuongeza wachezaji kwaajili ya msimu mpya wa 2023/24. Na Zubeda Handrish- Geita Klabu ya Geita Gold…
15 July 2023, 4:43 pm
Mjadala wa Serikali ya Tanzania kutaka kuingia makubaliano na serikali ya dubai kupitia Kampuni ya DP World ya uboreshaji na uendelezaji wa Bandari bado unaendelea huku wabunge wakiendelea kuwatoa hofu wananchi. Na Mrisho Sadick: Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini…
14 July 2023, 4:24 pm
Katika uchaguzi wa wa uongozi katika nyadhifa mbalimbali ukiwemo wa mtaa, viongozi hunadi sera zao kwa wananchi ili waweze kupigiwa kura za kuwahudumia wananchi wa eneo husika, Je ahadi huwa zinatekelezwa? Na Zubeda Handrish- Geita Kufuatia utaratibu wa Kipindi cha…
14 July 2023, 4:05 pm
Mtandao wa Redio Jamii wa TADIO umeendelea kuziimarisha redio hizo kwendana na wakati hususani katika kurusha matangazo kwa njia ya mtandao. Na Mrisho Sadick: Mtandao wa TADIO umeendelea kuijengea uwezo Storm FM wa namna ya kutumia mtandao wa Redio Portal…
14 July 2023, 1:28 pm
Inaelezwa kuwa utulivu , amani , umoja na mshikamano katika taifa umechangiwa kwa kiasi kikubwa na viongozi wa dini kuendelea kuwajenga kiimani wananchi. Na Kale Chongela: Serikali mkoani Geita imesema inatambua mchango wa viongozi wa dini katika kuleta umoja na…
13 July 2023, 9:16 pm
Majonzi yatawala wilayani Bukombe kufuatia ajali ya watu sita kufariki dunia, miili imeendelea kutambuliwa huku serikali ikitoa wito kwa watumiaji wa vyombo vya moto kuzingatia sheria. Na Mrisho Sadick: Kaimu Mganga Mkuu wa wilaya ya Bukombe Mkoani Geita Dkt Timotheo…
13 July 2023, 2:59 pm
Usingizi wa dereva wa gari dogo la abiria Toyota Hiace umekatisha uhai wa watu sita katika kata ya Runzewe wilayani Bukombe mkoani Geita. Na Mrisho Sadick: Watu sita wamefariki dunia na wawili kujeruhiwa baada ya gari dogo aina ya Toyota…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.