Storm FM
Storm FM
1 August 2023, 10:45 pm
Wakulima wa pamba wamelalamikia kutapeliwa pesa zao za mauzo, hali iliyopelekea TAKUKURU kuingilia kati. Na Kale Chongela- Geita Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoa wa Geita imefanikiwa kuokoa zaidi ya Shilingi Milioni 11 zilizokuwa zimetapeliwa na viongozi…
1 August 2023, 6:46 pm
Geita Gold FC imeweka kambi mkoani Morogoro ikiendelea na maandalizi ya msimu mpya wa Ligi 2023/24. Na Zubeda Handrish- Geita Mchezo wa kirafiki kati ya Geita Gold FC dhidi ya Kilombero Stars ulioanza majira ya saa 10:00 jion katika Dimba…
31 July 2023, 5:40 pm
Bajeti zinazopitishwa na halmashauri ya wilaya ya Geita na Mji wa Geita zimetakiwa kuzingatia vipaumbele vya ujenzi wa vituo vya polisi kila kata wilayani humo ili kukabiliana na vitendo vya uvunjifu wa amani. Na Mrisho Sadick: Wilaya ya Geita imeweka…
31 July 2023, 4:51 pm
Serikali ya awamu ya sita imeendelea kuwekeza katika huduma za afya kwa kujenga hospitali katika maeneo yenye idadi kubwa ya watu ikiwemo mamlaka ya mji mdogo wa Katoro wilayani Geita. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa mamlaka ya mji mdogo wa…
29 July 2023, 10:20 pm
Uduni wa vifaa vya uokozi kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoani Geita inachangia kulifanya Jeshi hilo kushindwa kufanya kazi kwa ufanisi. Na Alex Masele: Maduka matatu ya wafanyabiashara katika mji wa Ushirombo Halmashauri ya wilaya Bukombe Mkoani Geita yameteketea…
28 July 2023, 9:15 am
Kwa mara nyingine tena vilabu vya Tanzania vinakwenda kuiwakilisha nchi katika michuano ya CAF kwa upande wa Klabu Bingwa na Kombe la Shirikisho, Je watafika mbali? Na Zubeda Handrish- Geita Droo ya hatua mbili za awali za michuano ya Ligi…
26 July 2023, 10:37 pm
Kusaidia ni moyo na si utajiri kama msemo wa wahenga, hivyo unaweza kusaidia pale penye uhitaji kama ambavyo amesisitiza mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Magogo B. Na Kale Chongela- Geita Jamii imekumbushwa kujenga desturi ya kuwatembelea wazee na kuwasaidia…
26 July 2023, 7:39 pm
Kutokana na changamoto ya upungufu wa madawati katika shule za msingi wilayani Geita Mgodi wa GGML umejitosa kuisaidia serikali kukabiliana na changamoto hiyo. Na Kale Chongela: Mgodi wa Geita Gold Mining Limited GGML umekabidhi madawati 3,000 kwa ajili ya shule…
25 July 2023, 5:46 pm
Kutokana na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuendelea kuweka mazingira rafiki kwa wawekezaji hali ambayo imekuwa kivutio kikubwa cha wawekezaji jambo hilo limepongezwa na viongozi wa dini. Na Mrisho Sadick: Viongozi wa dini mkoani Geita wameipongeza serikali ya…
25 July 2023, 5:26 pm
Wananchi na viongozi mbalimbali wa mkoa wa Geita wamejitokeza katika viwanja vya Mashujaa kuadhimisha kumbukumbu ya mashujaa waliojitoa maisha yao kwa ajili ya watanzania. Na Mrisho Sadick: Mkuu wa mkoa wa Geita Mhe Martin Shigela amesema mkoa wa Geita utaendelea…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.