Storm FM
Storm FM
18 September 2024, 1:32 am
Pichani ni mufti mkuu akiwa na viongozi wa dini mkoa na viongozi wa GGML .Picha na Adelina ukugani Mufti na Sheikhe mkuu wa Tanzania amefanikiwa kutembelea mgodi wa GGML kwa mara ya kwanza uliopo mkoani Geita akiambatana na Viongozi mbalimbali…
16 September 2024, 6:12 pm
Kutokana na uwepo wa matukio ya watu kutekwa na wengine kuuawa makundi mbalimbali katika jamii yanalaani juu ya matukio hayo ikiwemo viongozi wa dini. Na Mrisho Sadick: Baraza Kuu la Waislamu Tanzania BAKWATA limelaani vikali matukio ya utekaji na mauaji…
13 September 2024, 8:11 pm
Hatimae mwili wa Theresia John aliyeuawa katika vurugu za wananchi na jeshi la polisi Kata ya Lulembela wilayani Mbogwe Mkoani Geita umezikwa. Na Mrisho Sadick: Mkuu wa Mkoa wa Geita Martine Shigela amewaonya wakazi wa Kata ya Lulembela wilayani Mbogwe…
12 September 2024, 8:07 pm
Akataa kuolewa baada ya mama mzazi kudaiwa kumlazimisha aolewe kwa nguvu , mama mzazi akanusha tuhuma hizo. Na kale chongela: Msichana mwenye umri wa miaka 18 mkazi wa mtaa wa Mpomvu kata ya Mtakuja Halmashauri ya mji wa Geita Mkoani…
12 September 2024, 7:20 pm
Pichani ni Mama mzazi wa Teresa John binti aliyeuawa katika vurugu za polisi na wananchi. Picha na Evance Mlyakado. Vurugu za wananchi na polisi katika kituo cha Polisi Lulembela wilayani Mbogwe zasababisha vifo vya watu wawili. Na Evance Mlyakado: Watu…
11 September 2024, 10:24 am
Changamoto ya taka Geita mjini bado ni kitendawili wananchi watajwa kuwa kikwazo kwa kushindwa kupeleka taka hizo sehemu husika. Na Amon Bebe: Licha ya uwepo wa gari linalopita mtaani kukusanya taka katika Halmashauri ya Mji wa Geita mkoani Geita baadhi…
10 September 2024, 9:19 pm
Baada ya kusota kwa miaka saba sasa wanafunzi wa darasa la saba wanakwenda kuhitimu elimu ya msingi kwa kufanya mtihani wa taifa. Na Eunice Mdui: Jumla ya watahiniwa 62,489 kutoka shule za msingi 719 wamesajiliwa kufanya mtihani wa kumaliza elimu…
9 September 2024, 9:09 pm
Geita Gold Mining Limited (GGML) imeendelea kusisitiza dhamira yake ya kuendelea kushirikiana na Serikali pamoja na wadau wengine ili kuhakikisha Tanzania inapiga hatua. Na Gabriel Mushi: Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imesisitiza dhamira yake ya…
8 September 2024, 3:41 pm
Wakazi wa kijiji cha Chibingo, kata ya Nyamigota wilaya na mkoani Geita wamejitolea eneo lao kwa ajili ya kuanzisha ujenzi wa shule ya sekondari. Wananchi wa kijiji cha Chibingo wamehamasika kushiriki katika usafi wa eneo hilo ambapo itajengwa shule itakayohusisha…
6 September 2024, 4:32 pm
Serikali imeendelea kutoa fursa za watoto pamoja na watu wazima kujiendeleza kimasomo kupitia mipango ya MEMKWA, SEQUIP na MUKEJA ili kuweza kuwasaidia kupata ujuzi. Na: Edga Rwenduru – Geita Walimu wanaofundisha elimu ya watu wazima na elimu nje ya mfumo…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.