Storm FM

Recent posts

14/12/2024, 10:57

Wananchi mtaa wa Shilabela walia wimbi la vibaka

Uwepo wa vitendo vya wizi wa mali umeendelea kuwa mwiba kwa wakazi wa mtaa wa Shilabela kata ya Buhalahala mjini Geita ambapo wananchi wameeleza adha wanayopitia. Na: Edga Rwenduru – Geita Wananchi wa mtaa wa shilabela kata ya Buhalahala halmashauri…

13/12/2024, 13:57

CCM yalaani mtoto kuchomwa moto Kasota

Kufuatia tukio la mtoto Disemba 02, 2024 la mtoto kushambuliwa na kuchomwa moto na mama yake mzazi likatika kijiji cha Kasota wilayani na mkoani Geita, CCM mkoa wa Geita yalaani tukio hilo. Na: Evance Mlyakado – Geita Jumuiya ya wazazi…

13/12/2024, 12:04

Wafanyabiashara soko la Lwamgasa watoa ombi kwa Serikali

Lwamgasa ni miongoni mwa kata 37 zilizopo katika halmashauri ya wilaya ya Geita ambapo shughuli kuu inayofanyika katika kata hiyo ni uchimbaji wa madini ya dhahabu. Na: Paul William – Geita Wafanyabiashara mbalimbali katika soko kuu la kata ya Lwamgasa…

09/12/2024, 15:54

Askari magereza alalamikiwa kuharibu mali za ndani Geita

Licha ya kampeni ya kimataifa ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, bado vitendo vya ukatili vimeendelea kujitokeza katika Jamii ambavyo vinasababisha athari mbalimbali kwenye Jamii. Na: Evance Mlyakado – Geita Mwanaume mmoja ambaye ni Askari wa Jeshi la…

09/12/2024, 15:40

Madereva Geita waonywa kutii sheria za barabarani

Jeshi la polisi nchini kitengo cha usalama barabarani limeendelea kujiimarisha kwa kufanya ukaguzi kwa madereva na vyombo vya moto ili kubaini makosa mbalimbali na kuyachukulia hatua. Na: Kale Chongela – Geita Jeshi la Polisi kitengo cha usalama Barabarani nchini limewaonya…

06/12/2024, 16:54

DC Geita atoa maelekezo ya utendaji kwa wenyeviti

Mkuu wa wilaya ya Geita ametoa mwongozo wa kiutendaji kwa wenyeviti kutoka kata 13 za halmashauri ya mji wa Geita na kata 37 za halmashauri ya wilaya ya Geita. Na: Ester Mabula – Geita Mkuu wa Wilaya ya Geita, Hashim…

06/12/2024, 09:57

Mpangaji aezuliwa paa kwa kushindwa kulipa kodi Geita

Janeth Thomas mkazi wa mtaa wa Buchundwankende kata ya Nyankumbu halmashauri ya mji wa Geita amebaki njia panda baada ya nyumba aliyokuwa akiishi kuezuliwa paa na mwenye nyumba wake kwa madai kuwa hajalipa kodi ya kwa muda wa miezi mitano.…

06/12/2024, 08:22

Vyoo, visima na nyumba vyazingirwa na maji Ibolelo, Geita

Ni moja ya eneo lililopo mtaa wa Ibolelo, kata ya Nyankumbu mjini Geita ambalo limeathirika na mvua, Je wananchi wanaishi vipi katika mazingira haya?. Na: Ester Mabula – Geita Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Geita zimeendelea…

05/12/2024, 12:49

Wazazi walaani tukio la mtoto kuchomwa moto Kasota

Matukio ya ukatili kwa watoto bado ni pasua kichwa, jamii yatakiwa kushikamana ili kukomesha kabisa vitendo hivyo. Na: Sammy Manilaho – Geita Wakazi wa halmashauri ya mji wa Geita wamelaani vikali tukio la mama kumchoma moto mtoto wake kwa kutumia…

05/12/2024, 12:40

GGML kuendelea kuwajibika kwa jamii Geita

GGML yasema bado iko bega kwa bega na wananchi kwa kushiriki katika shughuli mbalimba za maendeleo katika jamii bila kuchoka. Na Mrisho Sadick: Mgodi wa Geita Gold Mining Limited (GGML) umewahakikishia wananchi wa mkoa wa Geta kuwa utaendelea kuwajibika ipasavyo…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.