Storm FM
Storm FM
28 September 2024, 10:27 am
Mkoa wa Geita umeendelea kukua na kuimarika kupitia nyanja mbalimbali, hivyo uboreshaji wa miundombinu ni muhimu katika ukuaji wa uchumi. Na: Kale Chongela – Geita Wakazi wa kata ya Buhalahala halmashuri ya mji wa Geita wameipongeza serikali kwa kuendelea kuboresha…
28 September 2024, 9:46 am
Wana-CCM kata ya Buhalahala wameanza mchakato wa ujenzi wa ofisi ya chama hicho katika kata hiyo ili kuondoa changamoto ya muda mrefu ya kukosa ofisi. Na: Edga Rwenduru – Geita Wanachama wa chama cha mapinduzi CCM kata ya Buhalahala iliyopo…
26 September 2024, 10:17 pm
Mtoto mwenye umri wa miaka mitatu amefariki dunia kwa kutumbukia katika kisima baada ya kudaiwa kutoweka nyumbani na kisha kukutwa ndani ya kisimani. Na: Ediga Rwenduru – Geita Mtoto mwenye umri wa miaka mitatu aliyetambulika kwa jina la Junior Mussa…
26 September 2024, 4:14 am
Baadhi ya wananchi mkoani Geita wamekuwa wakijihusisha na shughuli za uchimbaji madini ya dhahabu ili kuendesha maisha yao pamoja na kupata kipato cha kumudu gharama za maisha. Na: Edga Rwenduru -Geita Wachimbaji wadogo katika mgodi wa Isanjabhadugu (maarufu Area B)…
26 September 2024, 3:47 am
Umoja wa wanafunzi waliohitimu shule ya msingi Mpomvu mwaka 1973-75 wamekutana kuadhimisha miaka 50 tangu kuhitimu elimu hiyo. Na: Evance Mlyakado – Geita Baadhi ya wazee waliohitimu katika shule ya msingi Mpomvu wamependekeza kufanyika marekebisho katika mfumo wa elimu unaotumika…
24 September 2024, 7:26 pm
Mkazi wa Geita na Tanzania tuungane kwa mara nyingine tena kuendelea kumsaidia Anastazia kwakuwa pesa ulizojitoa kumchangia nakupata nafasi ya kupata matibabu katika Hosptali ya Bungando Jijini Mwanza zimeisha namba ya msaada ni 0756397026. Na Mrisho Sadick: Siku zote hatuwezi…
24 September 2024, 4:54 pm
Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Geita imemuachia huru Mahele Petro (19), mkazi wa Nyamilembe wilayani Chato mkoani Geita baada ya kukiri kosa la kumuua baba yake kwa kumchoma mkuki shingoni bila kukusudia. Na: Mwandishi wetu Hukumu hiyo imetolewa leo Septemba…
24 September 2024, 3:37 pm
Imeelezwa matukio ya ukatili ikiwemo vitendo vya ubakaji yameongezeka mkoani Geita kwa mwaka 2024 kufikia 91 kutoka 71 mwaka 2023. Na: Kale Chongela – Geita Wananchi mkoani Geita wametakiwa kuendelea kutoa ushirikiano juu ya vitendo vya ukatili ikiwemo upakaji ili…
19 September 2024, 10:14 am
Inadaiwa uwepo wa taarifa za uongo juu ya matukio ya watoto kutekwa nakutolewa figo imeendelea kuleta taharuki katika jamii huku vyombo vya dola vikitakiwa kusimama kidete. Na Mrisho Sadick: Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi CCM wilaya ya Geita…
19 September 2024, 12:16 am
Pichani ni umati wa watu wakiwa eneo la tukio.picha na Kale chongela. Katika hali ya kushangaza dereva pikipiki na dereva baiskeli wamegongana na kusababisha watu wawili kunusurika na kifo wakiwa katika shughuli zao za kila siku za kusafirisha abiria. Na…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.