Storm FM
Storm FM
13 April 2025, 1:56 pm
Ubovu wa barabara ya kwenda katika hospitali ya Katoro wawaibua wananchi wa kata za Katoro na Ludete wawaibua wananchi Na Mrisho Sadick: Wakazi wa Kata ya Ludete mamlaka ya mji mdogo wa Katoro wilayani Geita wameiomba serikali kuchukua hatua za…
12 April 2025, 8:42 pm
Jamii imeendelea kunufaika na elimu ya usalama pamoja na kukabiliana na vitendo vya uhalifu inayoendelea kutolewa mkoani Geita. Na: Ester Mabula: Wananchi wa mtaa wa Nyantorotoro A kata ya Nyankumbu katika halmashauri ya manispaa ya Geita wametoa pongezi kwa Jeshi…
11 April 2025, 2:43 pm
Soko la Mpomvu linatumiwa na wakazi wa kata ya Mtakuja yenye idadi ya wakazi wapatao 26,676 kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi iliyofanyika mwaka 2022. Na: Kale Chongela: Wajasiriamali waliopo katika mtaa wa Mpomvu kata ya Mtakuja katika halmashauri…
11 April 2025, 11:32 am
Watoto 102 wa kituo cha kulea watoto yatima cha moyo wa huruma kilicho chini ya kanisa katoliki geita wamekabidhiwa bima za afya za NHIF jana April 09 2025. Na: Daniel Magwina: Akizungumza katika zoezi hilo la kukabidhi bima hizo mkuu…
10 April 2025, 7:35 pm
Miradi ya CSR (Corporate Social Responsibility) hufanywa na kampuni kama sehemu ya kuwajibika kijamii, kwaajili ya kusaidia jamii inayowazunguka au kulinda mazingira. Lengo kuu ni kuhakikisha kuwa kampuni haifanyi tu biashara kwa faida, bali pia inatoa mchango chanya kwa jamii.…
9 April 2025, 12:42 pm
“Sikujua kama ana tabia za wizi kwani alikuja kutafuta chumba cha kupanga kama wanavyofanya watu wengine na nikampa chumba” – Mwenye nyumba Na: Amon Mwakalobo: Binti mmoja (19) mkazi wa Nyankumbu mtaa wa Elimu kwa jina Khadija Paschal amekamatwa na…
9 April 2025, 12:05 pm
Baada ya mafunzo kwa watendaji wa serikali za mitaa, kata, vijiji, wenyeviti na maofisa tarafa, Kamanda wa polisi mkoa wa Geita ameeleza waandishi wa habari juu ya mikakati ya kuondoa watoto wanaoishi mitaani mkoani Geita. Na: Ester Mabula: Jeshi la…
9 April 2025, 11:44 am
Program maalumu ya utoaji elimu ya kukabiliana na uhalifu kwa makundi mbalimbali ya watu katika Jamii mkoani Geita bado inaendelea tangu ilipozinduliwa Aprili 04, 2025. Na: Ester Mabula: Jeshi la polisi mkoani Geita limewataka wananchi kutokubali kukamatwa na mtu yeyote…
8 April 2025, 12:49 pm
Kufuatia mvua zinzoendelea kunyesha katika baadhi ya maeneo nchini, zimepelekea changamoto ya miundombinu ya barabara katika baadhi ya maeneo mkoani Geita. Na: Ester Mabula: Wananchi wa kitongoji cha Mhama, Kijiji cha Nampangwe, kata ya Runzewe-mashariki wilayani Bukombe mkoani Geita wameiomba…
7 April 2025, 11:49 am
“Serikali inayo dhamira ya dhati ya kuhakikisha huduma za Afya zinakuwa bora kwa kila mwananchi” – Barnabas Mapande Na: Kale Chongela: Serikali imenunua vifaa tiba vya kisasa na kuongeza madaktari kwenye Kituo cha Afya Nyarugusu wilayani Geita kinachohudumia zaidi ya…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.