Storm FM
Storm FM
22 February 2025, 11:56 am
Mashirika mbalimbali ya kiraia yameendelea kuisaidia serikali katika uboreshaji wa miundombinu katika sekta mbalimbali ikiwemo elimu ili kurahisisha upatikanaji wa huduma. Na: Edga Rwenduru – Geita Shule ya msingi Ikulwa iliyopo kata ya Ihanamilo wilayani Geita yenye wanafunzi zaidi ya…
22 February 2025, 11:41 am
Migogoro ya familia hususani baina ya mke na mue imeendelea kutajwa kuwa kikwazo cha maendeleo kutokana na mifarakano ambayo wanandoa hupitia. Na: Amon Mwakalobo – Geita Mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Nehemia ambaye ni mkazi wa Msalala road,…
21 February 2025, 9:55 pm
Jeshi la polisi latumia nguvu kuwatuliza wanafunzi waliozua vurugu katika shule ya sekondari Geita huku wengine wakitiwa mbaroni. Na Edga Rwenduru: Jeshi la Polisi mkoani Geita linawashikilia wanafunzi 30 wa Shule ya Sekondari Geita GESECO kwa tuhuza za kuwashambulia na…
19 February 2025, 12:56 pm
Inaelezwa kuwa bampa la choo cha nyumba yenye wapangaji limegongwa na gari na kupelekea kuangukia ndani ya shimo la choo. Na: Paul William – Geita Tukio hilo limetokea mtaa wa Elimu, kata ya Nyankumbu, halmashauri ya manispaa ya Geita ambapo…
19 February 2025, 10:50 am
Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha mkoani Geita, zimepelekea baadhi ya athari za kimiundombinu kwa baadhi ya wananchi katika manispaa ya Geita. Na: Kale Chongela – Geita Baadhi ya wakazi wa mtaa wa Mbugani, kata ya kalangalala, halmashauri ya manispaa ya Geita makazi…
17 February 2025, 5:41 pm
Serikali imeendelea kuimarisha na kuboresha huduma za wizara ya fedha ikiwemo kusogeza huduma hizo karibu na wananchi zaidi. Na: Edga Rwenduru – Geita Wizara ya fedha imetoa onyo kwa watu na taasisi mbalimbali za fedha zinazotoa mikopo umiza kwa wananchi…
17 February 2025, 3:26 pm
Wananchi wa kijiji cha Narusunguti hatimaye waagana na changamoto ya kutembea umbali mrefu kufuata huduma za afya katika maeneo jirani. Na: Edga Rwenduru – Geita Wananchi wa kijiji cha Narusunguti kata ya Busonzo wilaya ya Bukombe mkoani Geita wameishukuru serikali…
17 February 2025, 2:49 pm
“Wananchi wengi wanaogopa kujitambulisha kwa balozi sababu ya kuombwa elfu tano jambo ambalo halikubaliki katika mtaa wangu” – Mwenyekiti Na: Kale Chongela – Geita Serikali ya mtaa wa Mwatulole kata ya Buhalahala halmashauri ya manispaa ya Geita imewataka mabalozi wa mashina…
15 February 2025, 4:09 pm
Vijana wa UVCCM mkoa wa Geita wametakiwa kujiamini na kupambania nafasi mbalimbali za kiuongozi kwa maslahi mapana ya Taifa la Tanzania. Na: Ester Mabula – Geita Kuelekea uchaguzi mkuu mwaka huu, Vijana wa umoja wa vijana wa Chama Cha Mapinduzi…
13 February 2025, 10:37 am
Storm FM imemtafuta Kamanda wa polisi mkoa wa Geita SACP Safia Jongo juu ya wimbi la wizi wa mifugo aina ya ng’ombe ambao umeendelea kushamiri mkoani Geita. Na: Edga Rwenduru – Geita Kamanda wa Polisi mkoa wa Geita SACP Safia…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.