Storm FM
Storm FM
14 May 2025, 9:31 am
‘Mikopo hii ina riba nafuu kabisa na ni maono ya serikali ya awamu ya sita chini ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuwainua wafanyabishara kufikia malengo yao’ – Afisa maendeleo ya Jamii Carlos Gwamgobe Na: Ester Mabula: Serikali kupitia wizara…
14 May 2025, 8:58 am
Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Geita ikishirikiana na GGML wafungua warsha ya siku 2 kwa lengo la kutoa elimu juu ya kukabiliana na Rushwa. Na: Ester Mabula: Warsha hiyo, iliyoanza jana Mei 13, itaendelea leo…
12 May 2025, 2:42 pm
Mwenyekiti wa Chama cha wachimba madini mkoa wa Geita (GEREMA) Ndg. Titus Kabuo amesema dhumuni kubwa la kongamano hilo ni kumpongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuiboresha sekta ya madini na kuweka mazingira rafiki ya uchimbaji na ufanyaji biashara.…
10 May 2025, 9:17 pm
CHADEMA yaendelea na kampeni yake ya No reforms, no election katika mikoa ya kanda ya ziwa na leo mei 10,2025 ni zamu ya mkoa wa Geita. Na Mrisho Sadick: Katibu mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Mnyika…
10 May 2025, 1:54 pm
Suala la michango kwa ajili ya shughuli za maendeleo katika kijiji limewatibua baadhi ya wananchi nakukimbilia CCM kuomba utatuzi. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa Kijiji Cha Kalebezo Kata ya Nyamirembe wilayani Chato Mkoani Geita wamekiomba Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa…
10 May 2025, 1:29 pm
Wilaya ya Geita imeendelea na kampeni ya usafi wa mazingira yenye lengo la kuweka manispaa kuwa safi sambamba na kuepuka magonjwa yatokanayo na uchafu. Na: Kale Chongela: Mkuu wa wilaya ya Geita Mhe. Hashim Komba ameipongeza redio ya Storm FM…
8 May 2025, 10:43 am
Kila Jumatano ya kwanza ya mwezi, Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji nchini (EWURA) hutangaza bei mpya kikomo za mafuta ya Petrol, Diesel na Mafuta ya taa. Na: Ester Mabula: Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati…
6 May 2025, 5:12 pm
Katika kuelekea maadhimisho ya siku ya wauguzi Duniani, wauguzi wilaya ya Bukombe waadhimisha siku hiyo Mei 03, 2025. Na: Edga Rwenduru: Chama cha wauguzi Tanzania (TANA) wilaya ya Bukombe mkoani Geita kimeiomba serikali kuwatatulia changamoto ya uhaba wa nyumba za…
5 May 2025, 1:55 pm
Kampeni ya HYAGULAGA GEITA ikimaanisha SAFISHA/FAGIA GEITA imeendelea kutekelezwa katika maeneo mbalimbali ikiwa sambamba na uhamasishaji wa usafi wa maeneo ya Geita. Na: Kale Chongela – Geita Watu sita wamefikishwa katika ofisi ya polisi jamii katika mtaa wa Mwatulole kata…
3 May 2025, 3:30 pm
Mapenzi hayana mwenyewe, lakini wakati mwingine huibua taharuki kwenye Jamii pale wawili wasipofikia makubaliano. Na: Kale Chongela: Taharuki yaibuka baada ya msichana ambaye alitambulika kwa jina moja la Eunice, mkazi wa mtaa wa Shilabela na mjasiriamali ambaye anauza mahindi katika…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.