Storm FM
Storm FM
14/06/2025, 10:38
Licha ya serikali kuendelea kuwatangazia wananchi waliosajiliwa kwenda kuchukua vitambulisho vyao lakini bado kuna idadi kubwa ya watu hususani vijijini wanadai kutosajiliwa. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa kijiji cha Nyakagomba Halmashauri ya wilaya ya Geita Mkoani Geita wameiomba serikali kuwapelekea…
13/06/2025, 23:05
Tukio hili liliwashangaza wengi kwani licha ya mtambo huo kuparamia makazi hayo na kuharibika vibaya hakuna mtu hata mmoja aliyepoteza maisha. Na Mrisho Sadick Familia nne katika kitongoji Cha Isingiro Kata ya Lwamgasa wilayani Geita Mkoani Geita zilizo vunjiwa makazi…
12/06/2025, 15:56
Halmashauri ya wilaya ya Nyang’hwale imeendelea kupata hati safi kutoka kwa mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali CAG Na Mrisho Sadick: Kaimu mkuu wa mkoa wa Geita ambae ni mkuu wa mkoa wa Kagera Hajat Fatma Mwasa amewataka…
11/06/2025, 14:05
Wafanyabiashara waangua kilio wakidai kupoteza mamilioni ya pesa baada ya maduka yao kuteketea kwa moto usiku. Na Mrisho Sadick: Moto ambao chanzo chake bado hakijajulikana umeteketeza maduka 17 pamoja na stoo zake usiku wa june 10,2025 katika Kata ya Buseresere…
08/06/2025, 14:57
Baada ya kusota kwa miaka mingi hatimaye wakazi wa Geita mjini wanakwenda kupata stendi mpya ya kisasa ya mabasi. Na Mrisho Sadick: Watumiaji wa kituo kikuu cha mabasi ya abiria Mkoa wa Geita wameishukuru serikali kwa kutoa fedha kiasi cha…
06/06/2025, 17:50
Matamanio ya muda mrefu kwa wakazi wa Manispaa ya Geita yakuahidiwa kituo cha kisasa cha mabasi ya abiria huenda yakafanikiwa baada ya Manispaa hiyo kusaini mkataba wa ujenzi. Na Kale Chongela: Halmashauri ya Manispaa ya Geita imesaini mkataba wa ujenzi…
04/06/2025, 19:00
Utunzaji na usafishaji wa mazingira Manispaa ya Geita umendeelea kupewa nguvu na wadau mbalimbali ili kukabiliana na changamoto ya magonjwa ya milipuko. Na Mwandishi Ester Mabula: Kuelekea katika kilele Cha siku ya Mazingira duniani Mgodi wa GGML kwa kushirikiana na…
04/06/2025, 18:33
Msemo wa mke wa mtu sumu umedhihirika kwa kijana Kake baada ya kuonja joto la jiwe kwa kudaiwa kuwa katika mahusiano na mke wa mtu. Na Mwandishi Wetu Bukombe: Kijana mmoja mkazi wa kitongoji cha Bukingwamizi Kijiji cha Nalusunguti Kata…
04/06/2025, 17:19
Matumizi ya nishati chafu ya kupikia kwa wanawake maeneo ya vijijini Mkoani Geita yalikuwa mwiba mchungu. Na Mrisho Sadick: Kuongezeka kwa matumizi ya Nishati safi ya kupikia maeneo ya vijijini imechangia kwa kiasi kikubwa kupunguza mauaji ya Wanawake yaliyokuwa yakisababishwa…
03/06/2025, 18:27
Wajasiriamali wilayani Nyang’hwale Mkoani Geita watakiwa kutumia mikopo ya asilimia 10 kukuza biashara zao Na Mrisho Sadick: Serikali wilayani Nyang’hwale Mkoani Geita imelitaka shirika la maendeleo ya viwanda vidogo (SIDO) kuongeza nguvu ya kutoa elimu , ujuzi na utambuzi wa…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.