Storm FM
Storm FM
24 March 2025, 12:55 pm
“Wanachama na mashabiki wa Yanga ndani ya mkoa wa Geita, tunaungana na viongozi wetu wa makao makuu, hatuhitaji busara kutatua mgogoro huu unaoendelea” – Rajabu Mohamed Na: Edga Rwenduru – Geita Uongozi wa matawi ya wanachama wa klabu ya soka ya…
24 March 2025, 12:38 pm
“Tulikuwa tunapata changamoto sana ya kubeba wajawazito kutokana na ubovu wa barabara hii ambayo imetusumbua kwa muda mrefu” – Mwananchi Na: Ester Mabula – Geita Wananchi wa kitongoji cha Bukingwaminzi, Kijiji cha Narusunguti, kata ya Busonzo wilayani Bukombe mkoani Geita…
21 March 2025, 10:45 am
Mwanaume mmoja mkazi wa kata ya Kasamwa katika halmashauri ya manispaa ya Geita amenusurika kifo baada ya kufanya jaribio la kujiua kwa kunywa sumu. Na: Kale Chongela – Geita Gerevas Deus anakadiriwa kuwa na umri wa miaka 28 mkazi wa kijiji…
21 March 2025, 9:55 am
Wakazi wa mtaa wa Mpomvu kata ya Mtakuja, halmashauri ya manispaa ya Geita wameshtushwa na hali ya mti uliopo katika kanisa la GGC uliokuwa umekatwa kukutwa umesimama. Na: Kale Chongela – Geita Wakizungumza na Storm FM Machi 20, 2025 baadhi…
20 March 2025, 12:13 pm
Katika hali ya kushangaza mwanafunzi wa shule ya msingi mwenye umri wa miaka 10 amekuwa akifanyiwa vitendo vya ubakaji kwa zaidi ya mwezi mmoja na watu wawili akiwemo mwalimu wake. Na: Emmanuel Twimanye – Sengerema Jeshi la Polisi wilayani Sengerema…
19 March 2025, 5:58 pm
‘Inabidi viongozi wa mtaa waweke wazi juu ya mapato ya asilimia 10 ili tuelewe inatumika katika maeneo gani’ – Mwananchi Na: Kale Chongela – Geita Baadhi ya wakazi wa kata ya Buhalahala katika halmashauri ya manispaa ya Geita wamewaomba viongozi…
19 March 2025, 4:42 pm
Ikiwa leo imetimia miaka minne ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, wakazi wa mtaa wa Mbabani kata ya Mtakuja, halmashauri ya manispaa ya Geita wamshukuru kwa kuwajengea shule ya sekondari. Na: Ester Mabula – Geita Viongozi na wananchi wa…
19 March 2025, 4:00 pm
Leo Marchi 19, 2025 imetimia miaka minne ya uongozi wa Rais wa awamu ya sita Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambapo katika kipindi hicho miradi mbalimbali ya kimkakati imeanzishwa wilayani Geita. Na: Ester Mabula – Geita Wananchi wilayani na mkoani Geita…
18 March 2025, 2:49 pm
Alama za barabarani hutajwa kusaidia katika muongozo wa matumizi ya barabara sambamba na kurahisisha watumiaji kuepukana na ajali za barabarani. Na: Kale Chongela – Geita Wananchi wa mtaa wa Nyantorotoro B eneo la Uboani, kata ya Nyankumbu, halmashauri ya manispaa ya…
17 March 2025, 12:34 pm
Tarehe 17 ya mwezi Machi 2021 ni siku ambayo Tanzania iliingia simanzi baada ya kifo cha Rais wa awamu ya tano hayati John Pombe Magufuli. Leo imetimia miaka minne tangu kifo chake. Na: Ester Mabula – Geita Viongozi mbalimbali wa…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.