Storm FM
Storm FM
2 July 2025, 8:04 pm
Karibu kusikiliza taarifa ya Habari ya Jioni Ripoti leo Julai 02,2025 miongoni mwa taarifa zilizogonga vichwa vya habari zaidi ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa atangaza kutogombea Ubunge. Msomaji ni Mrisho Sadick
2 July 2025, 12:00 pm
Kushamiri kwa vitendo vya watoto wadogo kutumikishwa kwenye shughuli za bar imewaibua wananchi Sengerema Na Emmanuel Twimanye: Wamiliki wa bar katika kata ya misheni Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza wamepigwa marufuku kuajiri watoto chini ya umri wa miaka 18 kwa kuwa…
2 July 2025, 11:38 am
Tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan afungue rasmi Daraja la JP Magufuli ili lianze kutumika kuanzia Juni 19, 2025 wananchi wameendelea kupongeza hatua hiyo. Na Mrisho Sadick: Wananchi na wakulima wa Mkoa wa Geita wameendelea kuipongeza…
27 June 2025, 10:08 am
Karibu kusikiliza kipindi maalumu cha Mwanamke na Uongozi kinachopewa nguvu na Chama cha umoja wa waandishi wa habari wanawake (TAMWA). Leo kinaangazia juu ya mada isemayo JE WANAWAKE WANAOJITOSA KUGOMBEA NAFASI MBALIMBALI WANAUNGWA MKONO?? Kipindi hiki kimeandaliwa na Ester Mabula…
21 June 2025, 2:24 pm
Suala la upandishaji nauli holela bado ni kizungumkuti katika kituo kikuu cha mabasi ya abiria mjini Geita Na Edga Rwenduru: Jeshi la Polisi kikosi cha usalama barabarani wilaya ya Geita kwa kushirikiana na mabalozi wa usalama barabarani mkoa wa Geita…
20 June 2025, 2:55 pm
Wanafunzi kukatiza masomo kwasababu ya kupatiwa ujauzito sasa imekuwa historia kwa wakazi wa kijiji cha Lwamgasa Na Edga Rwenduru: Kutokana na changamoto ya wanafunzi kutembea umbali mrefu kutoka kijiji cha Lwangasa kwenda shule ya sekondari Kilombelo Wakazi wa kata ya…
18 June 2025, 2:26 pm
Kukamilika kwa ujenzi wa daraja la Kigongo Busisi limewakosha watu wengi kwakuwa litaondoa adha ya wananchi kuchelewa kutokana na kusubili vivuko Na Mrisho Sadick: Mawakala wa Mabasi yaendayo mikoani na maeneo mbalimbali ndani ya Mkoa wa Geita wametoa mabasi saba…
14 June 2025, 2:35 pm
Waandishi wa habari wa redio za kijamii kanda ya ziwa wameahidi kwenda kuibua na kusimulia mafanikio ya watu wenye ulemavu kama njia ya kuondoa unyanyapaa Na Mrisho Sadick: Watu wenye ulemavu nchini bado wanaendelea kukabiliwa na changamoto nyingi ikiwemo unyanyapaa …
14 June 2025, 10:38 am
Licha ya serikali kuendelea kuwatangazia wananchi waliosajiliwa kwenda kuchukua vitambulisho vyao lakini bado kuna idadi kubwa ya watu hususani vijijini wanadai kutosajiliwa. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa kijiji cha Nyakagomba Halmashauri ya wilaya ya Geita Mkoani Geita wameiomba serikali kuwapelekea…
13 June 2025, 11:05 pm
Tukio hili liliwashangaza wengi kwani licha ya mtambo huo kuparamia makazi hayo na kuharibika vibaya hakuna mtu hata mmoja aliyepoteza maisha. Na Mrisho Sadick Familia nne katika kitongoji Cha Isingiro Kata ya Lwamgasa wilayani Geita Mkoani Geita zilizo vunjiwa makazi…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.