Storm FM
Storm FM
12/08/2025, 14:15
Katika oparesheni hiyo wamekamatwa watanzania wawili mmoja alikuwa amepangisha baadhi ya raia hao wa kigeni. Na Mrisho Sadick: Raia wa Burundi 39 wakiwemo waliovamia pori la akiba la Mshinde nakuanzisha shughuli za kilimo wilayani Geita mkoani Geita wamekamatwa na idara…
11/08/2025, 13:49
Mwanamke huyo amekiri kuwa amekuwa akiishi maisha ya mateso kwa kuota ndoto za kutisha akiwa kwenye shughuli hizo za kishirikina. Na Kale Chongela: Wakati mikutano ya injili ikiendelea kuwagusa watu katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Geita, Mwanamke mmoja kutoka…
11/08/2025, 13:09
Mashindano hayo ni zaidi ya burudani kwani yanatoa nafasi kwa vijana kuonesha vipaji ambavyo havijaonekana kitaifa. Na Mwandishi Wetu: Mwamuzi maarufu wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Ally Simba ameonesha kuridhishwa na kiwango cha ushindani na nidhamu ya wachezaji katika michuano…
11/08/2025, 12:00
Tanzania Peace Familiy (TPF) ni taasisi ya Kiraia inayofanya kazi kwa ushirikiano mkubwa na vyombo vya dola katika kulinda amani ya nchi. Na Mrisho Sadick: Wananchi Mkoani Geita wametakiwa kuilinda amani ya nchi kuelekea uchaguzi mkuu kwa kushirikiana na vyombo…
08/08/2025, 10:35
Mteja kachepusha umeme kwenye njia namba moja na njia namba tatu kwa kuunga waya moja kwa moja kwenye suplaya ya TANESCO Mpaka kwenye kiwanda. Na Edga Rwenduru: Shirika la umeme Tanzania TANESCO mkoa wa Geita limemkamata Joseph Bhukelebe mkazi wa…
05/08/2025, 18:39
Katika oparesheni hiyo watanzania watano wamekamatwa kwa kuwatumia raia hao wa kigeni kinyume cha Sheria. Na Mrisho Sadick: Idara ya Uhamiaji Mkoani Geita katika Oparesheni zake imefanikiwa kuwakamata raia 20 wa Burundi walioingia nchini kinyume cha sheria nakufanya idadi ya…
04/08/2025, 16:13
Matukio ya moto kuteketeza karakana yameendelea kuongezeka mkoani Geita huku sababu za matukio hayo zikiwa hazijulikani. Na Kale Chongela: Moto mkubwa ambao chanzo chake bado hakijajulikana umeteketeza karakana moja ya useremala katika mtaa wa Mkoani, Kata ya Kalangalala, Manispaa ya…
03/08/2025, 15:40
Klabu ya Yanga imeahidi kufanya vizuri kwenye michuano ya kimataifa msimu huu kuliko wakati wowote. Na Mrisho Sadick: Klabu ya Soka ya Yanga imeendelea kusherehekea mafanikio yake ya msimu wa 2024/25 kwa kutembeza makombe yake matano katika mitaa mbalimbali ya…
31/07/2025, 20:40
Maendeleo ya teknolojia yameleta mabadiliko makubwa katika sekta ya madini huku serikali ikikumbushwa kuwekeza katika ujuzi kwa vijana. Na Edga Rwenduru: Wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu mkoani Geita wameiomba Serikali kutumia Chuo cha VETA Geita kuanzisha mitaala maalum ya…
31/07/2025, 20:28
Wafanyabiashara hao wameipongeza benki ya NMB kwa kuwapatia mafunzo juu ya elimu ya fedha na mikopo Na Mrisho Sadick: Halmashauri ya Manispaa ya Geita Mkoani Geita imewataka wafanyabiashara kuhakikisha wanamiliki leseni halali za biashara huku ikisisitiza kuwa hatua hiyo itawasaidia…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.