Storm FM
Storm FM
14 July 2025, 7:35 pm
Benki ya NMB imeendelea kuwa karibu na walimu ili kuwapunguzia baadhi ya changamoto ambazo ziko ndani ya uwezo wa benki hiyo kama mikopo yenye mashariti nafuu. Na Mrisho Sadick: Serikali imeahidi kuendeleza ushirikiano na Benki ya NMB kutokana na mchango…
12 July 2025, 5:01 pm
Kutimuliwa kwa madereva wa mizigo eneo lao la kupaki Shilabela Manispaa ya Geita lachukua sura mpya Na Kale Chongela: Madereva wa magari ya mzigo yanayopaki pembezoni mwa barabara katika Mtaa wa Shilabela Kata ya Buhalahala Manispaa ya Geita Mkoani Geita wamepinga kauli…
12 July 2025, 4:43 pm
kutembea umbali mrefu , ajali za barabarani zimewasukuma wakazi wa Mji Mwema kuanzisha ujenzi wa soko la mtaa Na Edga Rwenduru: Wakazi wa Kitongoji cha Mji Mwema Kata ya Lulembela wilayani Mbogwe Mkoani Geita wameamua kuanzisha Ujenzi wa soko la…
12 July 2025, 4:14 pm
Baada ya serikali kuwasisitiza watanzania kuchangamkia fursa ya elimu ya ufundi wanawake Geita wamejitokeza katika chuo cha VETA kupatiwa mafunzo katika fani mbalimbali. Na Kale Chongela: Wanawake na Samia zaidi ya 100 wanaonufaika na mafunzo ya ufundi stadi kutoka Chuo…
11 July 2025, 7:02 pm
Je nini hasa sababu inayopelekea wanawake mkoani Geita kuwa na mwitikio mdogo wa kujitokeza katika kugombea nafasi za uongozi?? Karibu kusikiliza makala maalumu ambayo imeangazia suala hili kwa kina zaidi. Muandaaji ni Ester Mabula na Amon Mwakarobo
10 July 2025, 8:29 pm
Zaidi ya miaka 25 serikali ya mtaa wa Shilabela Manispaa ya Geita imekuwa ikiishi katka ofisi za kupanga katika majumba ya watu. Na Kale Chongela: Wakazi wa mtaa wa Shilabela Manispaa ya Geita wameamua kuanzisha ujenzi wa ofisi ya kudumu…
8 July 2025, 7:15 pm
Ngozi imekuwa na matumizi mengi kama kutengeneza viatu na bidhaa nyingine lakini kwa Geita imekuwa tofauti. Na Mrisho Sadick: Kijana Robert Charles Mkazi wa Mwembeni Kata ya Nyankumbu Manispaa ya Geita ameamua kujishughulisha na kazi ya uuzaji wa ngozi choma kitoweo kipya ambacho…
5 July 2025, 5:07 pm
Matukio ya watu kujichukulia sheria mkononi yameendelea kuleta athari ikiwemo mauaji ya watu ambao wengine huenda wakawa hawana hatia. Na Mrisho Sadick: Mama wa kijana Enock Muhangwa (25) aliyeuawa kwa kipigo katika Kijiji cha Uyovu Wilaya ya Bukombe, mkoani Geita…
4 July 2025, 1:50 pm
Kutokana na matukio ya uharibifu wa misitu nyakati za kiangazi TFS imeamua kuongeza nguvu ya ulinzi wa shamba la miti Silayo Na Mrisho Sadick: Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) kupitia Shamba la Miti Silayo Wilayani Chato Mkoani Geita imetoa fursa…
3 July 2025, 5:39 pm
Baada ya zoezi la uchukuaji na urejeshaji wa fomu za kuwania nafasi za ubunge na udiwani kumalizika sasa joto limehamia kwenye hatua ya uchujaji wagombea. Na Mrisho Sadick: Wanachama wa CCM 102 Kutoka Majimbo tisa ya uchaguzi Mkoani Geita wamejitokeza…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.