Storm FM
Storm FM
8 May 2025, 10:43 am
Kila Jumatano ya kwanza ya mwezi, Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji nchini (EWURA) hutangaza bei mpya kikomo za mafuta ya Petrol, Diesel na Mafuta ya taa. Na: Ester Mabula: Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati…
6 May 2025, 5:12 pm
Katika kuelekea maadhimisho ya siku ya wauguzi Duniani, wauguzi wilaya ya Bukombe waadhimisha siku hiyo Mei 03, 2025. Na: Edga Rwenduru: Chama cha wauguzi Tanzania (TANA) wilaya ya Bukombe mkoani Geita kimeiomba serikali kuwatatulia changamoto ya uhaba wa nyumba za…
5 May 2025, 1:55 pm
Kampeni ya HYAGULAGA GEITA ikimaanisha SAFISHA/FAGIA GEITA imeendelea kutekelezwa katika maeneo mbalimbali ikiwa sambamba na uhamasishaji wa usafi wa maeneo ya Geita. Na: Kale Chongela – Geita Watu sita wamefikishwa katika ofisi ya polisi jamii katika mtaa wa Mwatulole kata…
3 May 2025, 3:30 pm
Mapenzi hayana mwenyewe, lakini wakati mwingine huibua taharuki kwenye Jamii pale wawili wasipofikia makubaliano. Na: Kale Chongela: Taharuki yaibuka baada ya msichana ambaye alitambulika kwa jina moja la Eunice, mkazi wa mtaa wa Shilabela na mjasiriamali ambaye anauza mahindi katika…
3 May 2025, 2:28 pm
Licha ya Jeshi la polisi kupitia kitengo cha usalama barabarani kuelimisha watumiaji wa vyombo vya moto kuepuka mwendo kasi, bado ni changamoto kwa baadhi ya watumiaji wa vyombo vya moto. Na: Kale Chongela: Madereva pikipiki waliopo Njia panda ya Mgusu…
26 April 2025, 2:05 pm
“Na tukikupa bendera hii maana yake wewe ndio unaturudisha nyuma kwenye suala la usafi na unatakiwa kubadilika” – Mkuu wa wilaya ya Geita Na: Kale Chongela: Serikali wilaya ya Geita imeadhimisha siku ya kumbukizi ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar…
23 April 2025, 5:44 pm
‘Kwa sababu tumejitolea kushiriki basi tunaomba serikali itusaidia kuwa na uhakika wa maji na sio kusubiri kipindi cha uchaguzi tu’ – Mwananchi Na: Kale Chongela: Wananchi wa mtaa wa Mbabani kata ya Mtakuja, halmashauri ya manispaa ya Geita wamejitolea kufanya…
22 April 2025, 9:45 am
Licha ya serikali kutoa wito kwa wananchi kutunza miundombinu mbalimbali katika maeneo yote, bado baadhi ya wananchi wanahujumu miundombinu hiyo. Na: Kale Chongela: Kijana mmoja aliyetambulika kwa jina la Daniel Robert mkazi wa mtaa wa Nyantorotoro A, kata ya Nyankumbu katika halmashauri…
18 April 2025, 4:43 pm
“Mama mzazi wa marehemu amepoteza maisha baada ya kupata mshtuko kutokana na taarifa ya kifo cha binti yake” – Mwenyekiti Na: Edga Rwenduru: Mwanamke mmoja anayejulikana kwa jina la Lesine Chongela, mkazi wa kijiji cha Bugogo kilichopo Kata ya Bukoli,…
17 April 2025, 11:42 am
‘Baada ya kuona afya yake inazorota ikabidi nimchinje na ndipo nikaona hayo maajabu sasa’ – Mmiliki wa kuku aina ya jogoo Na: Paul William: Katika hali isiyo ya kawaida Bi. Nusra Said mkazi wa kata ya Nyakabale katika halmashauri ya…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.