Storm FM
Storm FM
20 June 2025, 2:55 pm
Wanafunzi kukatiza masomo kwasababu ya kupatiwa ujauzito sasa imekuwa historia kwa wakazi wa kijiji cha Lwamgasa Na Edga Rwenduru: Kutokana na changamoto ya wanafunzi kutembea umbali mrefu kutoka kijiji cha Lwangasa kwenda shule ya sekondari Kilombelo Wakazi wa kata ya…
18 June 2025, 2:26 pm
Kukamilika kwa ujenzi wa daraja la Kigongo Busisi limewakosha watu wengi kwakuwa litaondoa adha ya wananchi kuchelewa kutokana na kusubili vivuko Na Mrisho Sadick: Mawakala wa Mabasi yaendayo mikoani na maeneo mbalimbali ndani ya Mkoa wa Geita wametoa mabasi saba…
14 June 2025, 2:35 pm
Waandishi wa habari wa redio za kijamii kanda ya ziwa wameahidi kwenda kuibua na kusimulia mafanikio ya watu wenye ulemavu kama njia ya kuondoa unyanyapaa Na Mrisho Sadick: Watu wenye ulemavu nchini bado wanaendelea kukabiliwa na changamoto nyingi ikiwemo unyanyapaa …
14 June 2025, 10:38 am
Licha ya serikali kuendelea kuwatangazia wananchi waliosajiliwa kwenda kuchukua vitambulisho vyao lakini bado kuna idadi kubwa ya watu hususani vijijini wanadai kutosajiliwa. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa kijiji cha Nyakagomba Halmashauri ya wilaya ya Geita Mkoani Geita wameiomba serikali kuwapelekea…
13 June 2025, 11:05 pm
Tukio hili liliwashangaza wengi kwani licha ya mtambo huo kuparamia makazi hayo na kuharibika vibaya hakuna mtu hata mmoja aliyepoteza maisha. Na Mrisho Sadick Familia nne katika kitongoji Cha Isingiro Kata ya Lwamgasa wilayani Geita Mkoani Geita zilizo vunjiwa makazi…
12 June 2025, 3:56 pm
Halmashauri ya wilaya ya Nyang’hwale imeendelea kupata hati safi kutoka kwa mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali CAG Na Mrisho Sadick: Kaimu mkuu wa mkoa wa Geita ambae ni mkuu wa mkoa wa Kagera Hajat Fatma Mwasa amewataka…
11 June 2025, 2:05 pm
Wafanyabiashara waangua kilio wakidai kupoteza mamilioni ya pesa baada ya maduka yao kuteketea kwa moto usiku. Na Mrisho Sadick: Moto ambao chanzo chake bado hakijajulikana umeteketeza maduka 17 pamoja na stoo zake usiku wa june 10,2025 katika Kata ya Buseresere…
8 June 2025, 2:57 pm
Baada ya kusota kwa miaka mingi hatimaye wakazi wa Geita mjini wanakwenda kupata stendi mpya ya kisasa ya mabasi. Na Mrisho Sadick: Watumiaji wa kituo kikuu cha mabasi ya abiria Mkoa wa Geita wameishukuru serikali kwa kutoa fedha kiasi cha…
6 June 2025, 5:50 pm
Matamanio ya muda mrefu kwa wakazi wa Manispaa ya Geita yakuahidiwa kituo cha kisasa cha mabasi ya abiria huenda yakafanikiwa baada ya Manispaa hiyo kusaini mkataba wa ujenzi. Na Kale Chongela: Halmashauri ya Manispaa ya Geita imesaini mkataba wa ujenzi…
4 June 2025, 7:00 pm
Utunzaji na usafishaji wa mazingira Manispaa ya Geita umendeelea kupewa nguvu na wadau mbalimbali ili kukabiliana na changamoto ya magonjwa ya milipuko. Na Mwandishi Ester Mabula: Kuelekea katika kilele Cha siku ya Mazingira duniani Mgodi wa GGML kwa kushirikiana na…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.