28/02/2026, 16:42

Kijana mwenye ulemavu apatiwa baiskeli Geita

“Naimani baiskeli hii itamsaidia kuweza kutimiza majukumu yake ya kila siku, nina imani pia ataitunza vizuri” – MNEC Evarist Gervas Na: Ester Mabula Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa kutoka mkoa wa Geita, Evarist Gervas, ametimiza…

On air
Play internet radio

Recent posts

12/03/2026, 18:33

SALIKI yaadhimishwa Katoma, Diwani asisitiza chakula shuleni

Maadhimisho ya siku ya Afya na Lishe ya Kijijini (SALIKI) hufanyika katika ngazi ya jamii kwa lengo la kuwaleta wananchi karibu na huduma muhimu za afya na lishe ili kujenga jamii yenye afya bora. Na: Ester Mabula Maadhimisho ya siku…

06/03/2026, 23:06

Mbunge wa Geita mjini atoa mitaji kwa wanawake 28

Kaulimbiu ya maadhimisho ya siku ya wanawake kwa mwaka huu ni “Haki na Usawa kwa wanawake na wasichana: Msingi wa maendeleo Jumuishi kufikia Dira ya 2050”. Na: Ester Mabula Wanawake 28 mkoani Geita wamepatiwa mitaji ya kuendeleza biashara zao na…

05/03/2026, 18:30

Motisha wasichana kupenda masomo ya sayansi yaongezeka

GGML Mentorship program ilianzishwa mwaka 2020 ikiwa na lengo la kumsaidia msichana kutimiza ndoto zake kitaaluma sambamba na kumjengea uwezo wa kujiamini. Na: Ester Mabula Jumla ya shule sita za sekondari ambazo ni Nyalwanzaja, Kamena, Kasota, Bugando, Bugurula na Butundwe…

03/03/2026, 16:25

Programu yaongeza ufaulu kwa wasichana Geita

“Dhamira kuu ya programu hii ni pamoja na kuwawezesha watoto wa kike kufikia ndoto zao kwa kuwajengea uwezo wa kujiamini na kutokata tamaa kwenye masomo yao” – Khadija Kisatu, msimamizi wa Rasilimali watu wa GGML Na: Ester Mabula Programu ya…

28/02/2026, 16:42

Kijana mwenye ulemavu apatiwa baiskeli Geita

“Naimani baiskeli hii itamsaidia kuweza kutimiza majukumu yake ya kila siku, nina imani pia ataitunza vizuri” – MNEC Evarist Gervas Na: Ester Mabula Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa kutoka mkoa wa Geita, Evarist Gervas, ametimiza…

26/02/2026, 15:47

Wakazi walia miundombinu duni msimu wa mvua

Licha ya mvua kuleta neema kwa wakulima , hali imekuwa tofauti kwa wakazi wa Nyatorotoro B, kata ya Nyankumbu wilayani na mkoani Geita kwani wanalazimika kulala wakiwa wamesimama. Na: Ester Mabula Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini, Wakazi wa…

26/02/2026, 13:51

Maafisa usafirishaji Geita waendelea kunufaika kupitia BCRO

“Ndani ya miaka yangu mitano nitaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wajasiriamali na watu wote wa kata ya Kalangalala ikiwemo na nyie maafisa usafirishaji ili muweze kujikwamua kiuchumi” – Reuben Sagayika Na: Ester Mabula Asasi ya BCRO (Bajaj In Community Reform…

25/02/2026, 12:15

Watumishi ajira mpya Manispaa ya Geita wapigwa msasa

“Naamini baada ya mafunzo haya mtaendelea kuwa na utendaji wenye tija na kuzingatia miiko ya utumishi wa UMMA kwa kujiepusha na vitendo vyenye kujenga taswira mbaya ya Serikali kwenye Jamii” -Mkurugenzi Yefred Myenzi Na: Ester Mabula Jumla ya watumishi 209…

24/02/2026, 21:33

TFS yahimiza upandaji miti, 700 wafikiwa Chato

Hadi sasa jumla ya watu 700 wamefikiwa na huduma ya kupewa miche bure na TFS katika wilaya ya Chato mkoani Geita. Na: Ester Mabula Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (Tanzania Forest Services Agency – TFS) umeendelea kuhamasisha jamii kupanda…

23/02/2026, 09:20

GGML yaendeleza juhudi za uhifadhi endelevu

Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa mchango wa shilingi milioni 50 kudhamini hafla ya Tanzania Water Service Excellence Awards  inayofanyika jijini Arusha tarehe 23 Februari 2026. Na: Ester Mabula Tuzo hizo ni sehemu ya mkutano wa kitaifa wa…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.