Recent posts
12/03/2026, 18:33
SALIKI yaadhimishwa Katoma, Diwani asisitiza chakula shuleni
Maadhimisho ya siku ya Afya na Lishe ya Kijijini (SALIKI) hufanyika katika ngazi ya jamii kwa lengo la kuwaleta wananchi karibu na huduma muhimu za afya na lishe ili kujenga jamii yenye afya bora. Na: Ester Mabula Maadhimisho ya siku…
06/03/2026, 23:06
Mbunge wa Geita mjini atoa mitaji kwa wanawake 28
Kaulimbiu ya maadhimisho ya siku ya wanawake kwa mwaka huu ni “Haki na Usawa kwa wanawake na wasichana: Msingi wa maendeleo Jumuishi kufikia Dira ya 2050”. Na: Ester Mabula Wanawake 28 mkoani Geita wamepatiwa mitaji ya kuendeleza biashara zao na…
05/03/2026, 18:30
Motisha wasichana kupenda masomo ya sayansi yaongezeka
GGML Mentorship program ilianzishwa mwaka 2020 ikiwa na lengo la kumsaidia msichana kutimiza ndoto zake kitaaluma sambamba na kumjengea uwezo wa kujiamini. Na: Ester Mabula Jumla ya shule sita za sekondari ambazo ni Nyalwanzaja, Kamena, Kasota, Bugando, Bugurula na Butundwe…
03/03/2026, 16:25
Programu yaongeza ufaulu kwa wasichana Geita
“Dhamira kuu ya programu hii ni pamoja na kuwawezesha watoto wa kike kufikia ndoto zao kwa kuwajengea uwezo wa kujiamini na kutokata tamaa kwenye masomo yao” – Khadija Kisatu, msimamizi wa Rasilimali watu wa GGML Na: Ester Mabula Programu ya…
28/02/2026, 16:42
Kijana mwenye ulemavu apatiwa baiskeli Geita
“Naimani baiskeli hii itamsaidia kuweza kutimiza majukumu yake ya kila siku, nina imani pia ataitunza vizuri” – MNEC Evarist Gervas Na: Ester Mabula Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa kutoka mkoa wa Geita, Evarist Gervas, ametimiza…
26/02/2026, 15:47
Wakazi walia miundombinu duni msimu wa mvua
Licha ya mvua kuleta neema kwa wakulima , hali imekuwa tofauti kwa wakazi wa Nyatorotoro B, kata ya Nyankumbu wilayani na mkoani Geita kwani wanalazimika kulala wakiwa wamesimama. Na: Ester Mabula Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini, Wakazi wa…
26/02/2026, 13:51
Maafisa usafirishaji Geita waendelea kunufaika kupitia BCRO
“Ndani ya miaka yangu mitano nitaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wajasiriamali na watu wote wa kata ya Kalangalala ikiwemo na nyie maafisa usafirishaji ili muweze kujikwamua kiuchumi” – Reuben Sagayika Na: Ester Mabula Asasi ya BCRO (Bajaj In Community Reform…
25/02/2026, 12:15
Watumishi ajira mpya Manispaa ya Geita wapigwa msasa
“Naamini baada ya mafunzo haya mtaendelea kuwa na utendaji wenye tija na kuzingatia miiko ya utumishi wa UMMA kwa kujiepusha na vitendo vyenye kujenga taswira mbaya ya Serikali kwenye Jamii” -Mkurugenzi Yefred Myenzi Na: Ester Mabula Jumla ya watumishi 209…
24/02/2026, 21:33
TFS yahimiza upandaji miti, 700 wafikiwa Chato
Hadi sasa jumla ya watu 700 wamefikiwa na huduma ya kupewa miche bure na TFS katika wilaya ya Chato mkoani Geita. Na: Ester Mabula Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (Tanzania Forest Services Agency – TFS) umeendelea kuhamasisha jamii kupanda…
23/02/2026, 09:20
GGML yaendeleza juhudi za uhifadhi endelevu
Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa mchango wa shilingi milioni 50 kudhamini hafla ya Tanzania Water Service Excellence Awards inayofanyika jijini Arusha tarehe 23 Februari 2026. Na: Ester Mabula Tuzo hizo ni sehemu ya mkutano wa kitaifa wa…