On air
Play internet radio

Recent posts

29 March 2025, 1:47 pm

Viongozi wa dini Nyanguku waliombea Taifa kuelekea uchaguzi

Kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba nchini Tanzania, viongozi wa dini ya Nyanguku wameungana kuliombea Taifa. Na: Edga Rwenduru – Geita Viongozi wa dini mbalimbali katika kata ya Nyanguku iliyoko halmashauri ya manispa ya Geita wamekutana kwaajili ya  kuliombea…

29 March 2025, 1:35 pm

Wajasiriamali wahofia bei ya nyanya kupanda Manispaa ya Geita

Bei ya nyanya imepanda katika halamshauri ya manispaa ya Geita tofauti na ilivyokuwa mwezi uliopita hali ambayo inapelekea wasiwasi kwa watumiaji na wauzaji. Na: Kale Chongela – Geita Wajasiriamali  waliopo katika soko la asubuhi Nyankumbu katika halmashauri ya manispaa ya…

26 March 2025, 5:38 pm

Watatu mbaroni kwa kutorosha dhahabu Bukombe

Jeshi la polisi linaendelea na uchunguzi kuhusu usafirishaji wa dhahabu kwa njia ya magendo wilayani Bukombe Mkoani Geita. Na Mrisho Sadick: Watu watatu wanashikiliwa na jeshi la polisi Mkoani Geita Kwa tuhuma za kusafirisha dhahabu yenye thamani ya zaidi ya…

24 March 2025, 4:52 pm

Kifua kikuu bado tishio mkoani Geita

Ikiwa leo Tanzania na dunia kwa ujumla inaadhimisha siku ya ugonjwa wa kifua kikuu (TB) imeelezwa kuwa kundi la wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu lipo kwenye hatari zaidi ya kupata maambukizi ya ugonjwa huo kutokana na idadi kubwa ya…

24 March 2025, 3:11 pm

Ugawaji vibanda vya biashara Nyankumbu wazua balaa

Wajasiriamali waliopo katika soko la asubuhi Nyankumbu kata ya Nyankumbu, katika halmashauri ya manispaa ya Geita wamedai kutoridhishwa na utaratibu unaofanyika wa ugawaji wa maeneo ya kuuzia bidhaa. Na: Kale Chongela – Geita Wakizungumza na Storm FM leo Machi 24,…

24 March 2025, 12:55 pm

Sakata la dabi ya Kariakoo latua Geita

“Wanachama na mashabiki wa Yanga ndani ya mkoa wa Geita, tunaungana na viongozi wetu wa makao makuu, hatuhitaji busara kutatua mgogoro huu unaoendelea” – Rajabu Mohamed Na: Edga Rwenduru – Geita Uongozi wa matawi ya wanachama wa klabu ya soka ya…

24 March 2025, 12:38 pm

Wananchi wa Busonzo wajitolea kutengeneza barabara

“Tulikuwa tunapata changamoto sana ya kubeba wajawazito kutokana na ubovu wa barabara hii ambayo imetusumbua kwa muda mrefu” – Mwananchi Na: Ester Mabula – Geita Wananchi wa kitongoji cha Bukingwaminzi, Kijiji cha Narusunguti, kata ya Busonzo wilayani Bukombe  mkoani Geita…

21 March 2025, 10:45 am

Adaiwa kunywa sumu baada ya mke kuondoka na Tsh. laki 2

Mwanaume mmoja mkazi wa kata ya Kasamwa katika halmashauri ya manispaa ya Geita amenusurika kifo baada ya kufanya jaribio la kujiua kwa kunywa sumu. Na: Kale Chongela – Geita Gerevas Deus anakadiriwa kuwa na umri wa miaka 28 mkazi wa kijiji…

21 March 2025, 9:55 am

Mti uliokatwa wakutwa umesimama Mpomvu

Wakazi wa mtaa wa Mpomvu kata ya Mtakuja, halmashauri ya manispaa ya Geita wameshtushwa na hali ya mti uliopo katika kanisa la GGC uliokuwa umekatwa kukutwa umesimama. Na: Kale Chongela – Geita Wakizungumza na Storm FM Machi 20, 2025 baadhi…

20 March 2025, 12:13 pm

Wawili mbaroni kwa ubakaji wa mwanafunzi (10), yumo mwalimu

Katika hali ya kushangaza mwanafunzi wa shule ya msingi mwenye umri wa miaka 10 amekuwa akifanyiwa vitendo vya ubakaji kwa zaidi ya mwezi mmoja na watu wawili akiwemo mwalimu wake. Na: Emmanuel Twimanye – Sengerema Jeshi la Polisi wilayani Sengerema…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.