Storm FM

Je wanawake wanaojitokeza kugombea mkoani Geita wanaungwa mkono?

27 June 2025, 10:08 am

Muonekano wa eneo la njia kikuta (round about) iliyopo mkoani Geita. Picha na Maktaba ya Storm FM

Karibu kusikiliza kipindi maalumu cha Mwanamke na Uongozi kinachopewa nguvu na Chama cha umoja wa waandishi wa habari wanawake (TAMWA).

Leo kinaangazia juu ya mada isemayo JE WANAWAKE WANAOJITOSA KUGOMBEA NAFASI MBALIMBALI WANAUNGWA MKONO??

Kipindi hiki kimeandaliwa na Ester Mabula kwa ushirikiano na Amon Mwakarobo.

Sauti ya makala