Storm FM
Storm FM
8 June 2021, 4:06 pm
Na Ester Mabula: Mtu Mmoja ambae hakujulikana kwa jina Wala Makazi amejeruhiwa baada ya kugongwa na gari aina ya Hiace lenye namba za usajiri T- 115 – DGV wakati alipokuwa akijaribu kuvuka Barabara na baiskeli. Baadhi ya abiria waliyokuwa ndani…
8 June 2021, 3:37 pm
Na Zubeda Handrish: Jamii imetakiwa kuwa na uelewa juu ya hali anayopitia mwanamke katika kipindi cha ujauzito ambacho mara nyingi hupelekea mwanamke kuchagua baadhi ya vyakula pamoja na hasira. Hayo yamezungumzwa na Daktari Victor Kajoba kutoka hospitali binafsi ya SAKAMU…
7 June 2021, 6:57 pm
Na Zubeda Handrish: Katika kuendelea kuwainua wafanyabiashara wadogo wanawake kwa upande wa Uchimbaji,Mkurugenzi Mtendaji Wa Chama Cha Wafanyabiashara Wanawake Tanzania (TWCC) Bi Mwajuma Hamza ametembelea machimbo madogo ya Dhahabu ya Mgusu, Msasa na Nyarugusu Mkoani Geita Akizungumza na Strom FM…
4 June 2021, 9:58 pm
Wafanyakazi na viongozi wa kituo cha Storm fm kwa kushirikiana na Idara ya mazingira na wakazi wa mtaa wa Mpovu kata ya Mtakuja wamefanya usafi katika soko la mtaa huo lengo likiwa ni kuhimiza jamii kujenga desturi ya kuishi kwenye…
4 June 2021, 9:50 pm
Baadhi ya wafugaji wa Mifugo aina ya mbuzi katika Mtaa wa Mpomvu kata ya Mtakuja Halmashauri ya mji wa Geita wamefika nakutoa malalamiko katika ofisi ya mtaa huo kutokana na mbuzi wao kukamatwa bila kufuata utaratibu unaotakiwa. Aidha wananchi wa…
4 June 2021, 9:41 pm
Jamii katika halmashauri ya mji wa Geita mkoani Geita imetakiwa kutumia nishati mbadala kwa matumizi ya majumbani na sehemu za kazi ili kuondokana na changamoto ya ukataji wa miti na utupaji wa taka hovyo. Rai hiyo imetolewa na afisa mazingira…
31 May 2021, 8:16 pm
Na Joel Maduka: Mkuu wa wilaya ya Geita Fadhili Juma amewataka wakulima kuchangamkia fursa ya Mkopo wa vifaa vya Kilimo inayotolewa na Benki ya NMB ambayo itawasaidia kujikwamua kwenye shughuli zao za kilimo ambazo wamekuwa wakizifanya. Mkuu wa Wilaya ya…
31 May 2021, 8:08 pm
Na Joel Maduka: Afisa michezo Mkoa wa Geita, Carol Steven amesema kwa kiasi kikubwa ushindani kwa halmashauri sita zilizopo ndani ya Mkoa wa Geita ni mkubwa zaidi ukilinganisha na miaka ambayo wameshaendelea na michuano ya michezo ya UMITASHUMTA ambao umekuwa…
31 May 2021, 7:51 pm
Na Zubeda Handrish: Waendesha Baiskeli maarufu kwa jina la (Daladala) Mkoani Geita wamewashauriwa kutumia lugha za staha na kuzingatia suala la usafi na utunzaji wa mazingira wawapo katika vituo au vijiwe vyao vya kazi Ushauri huo umetolewa na Mwenyekiti wa…
31 May 2021, 2:00 pm
WAKAZI wa vijiji vya Lwamgasa wilayani Geita na Nampalahala wilayani Bukombe Mkoani Geita vinavyopakana na mapori ya hifadhi wameiomba Serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kuwaruhusu kutumia baadhi ya maeneo hayo kwa shughuli za kilimo na makazi kutokana na…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.