Storm FM
Storm FM
5 July 2023, 11:25 am
Suala la kutoa na kupokea rushwa kwa viongozi na wafanyakazi wa sekta binafsi na za serikali mkoani Geita bado limeonekana kuwa ni changamoto na kupelekea Kaimu Kamanda Mkuu wa Taasisi ya kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoa wa Geita…
5 July 2023, 8:28 am
Matukio ya watoto na watu wazima pamoja na wanyama kutumbukia kisimani au kwenye mashimo yameonekana bado ni changamoto mkoani Geita, kiasi cha Jeshi la Polisi kuwakumbusha wananchi kufunika visima na mashimo hayo ili kuepusha ajali zinazoweza kuepukika. Na Kale Chongela…
4 July 2023, 3:02 pm
Kutokana na ukuaji wa teknolojia ya mawasiliano hapa nchini, Mtandao wa Redio za Jamii Tanzania (TADIO) umeendelea kuzijengea uwezo redio hizo ili kujiimarisha kimtandao zaidi. Na Mrisho Sadick – Geita Redio za kijamii 11 wanachama wa mtandao wa TADIO kutoka…
4 July 2023, 2:49 pm
Sikiliza Makala ya Tafakari Pevu iliyoandaliwa na Storm FM kuhusu taratibu za kufuata kisheria pindi unapomdai mtu. Sambamba na hilo Makala hii huruka kila siku ya Jumanne saa moja kamili hadi saa moja na dakika thelathini asubuhi na kurudiwa Jumamosi…
4 July 2023, 11:02 am
Wakuu wa Idara wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato wamekuwa na kasumba ya kutohudhuria vikao vya baraza la madiwani jambo ambalo limemsukuma Mkuu wa Mkoa kutoa maagizo. Na Zubeda Handrish -Geita Mkuu wa Mkoa wa Geita Martine Shigela ameagiza kuchukuliwa…
3 July 2023, 12:23 pm
Tatizo la vifo vya wanawake wajawazito na watoto mkoani Geita bado ni kubwa na kutokana na changamoto hiyo serikali imekuja na njia mbadala ya kupunguza tatizo hilo. Na Mrisho Sadick – Geita Serikali imetenga kiasi cha shilingi milioni 218 kwa…
3 July 2023, 11:43 am
Na Mrisho Sadick Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeahidi kuendelea kushirikiana na vyombo vya habari kufikisha elimu ya mlipa kodi kwa kuwa idadi kubwa ya wafanyabiashara hususani maeneo ya vijijini hawafikiwi na elimu hiyo mara kwa mara. Kauli hiyo imetolewa…
28 June 2023, 12:42 pm
Na: Kale Chongela: Idadi ya watalii wazawa katika Hifadhi ya Taifa ya Burigi Chato imeendelea kuongezeka kutokana na hamasa inayoendelea kutolewa kwa wananchi ikiwemo filamu ya Royal Tour ambayo imekuwa na msukumo mkubwa kwa wakazi wanaozunguka hifadhi hiyo kutembelea kujionea…
22 June 2023, 12:53 pm
Na Mrisho Sadick: Baadhi ya Wafanyakazi wa Storm FM Redio (Sauti ya Geita) leo Juni 22,2023 wametembelea Bungeni Jijini Dodoma kushuhudia uendeshaji wa shughuli mbalimbali za kibunge kwa mwaliko wa Mbubge wa Jimbo la Geita mjini Mhe Constantine Kanyasu. Wafanyakazi…
22 June 2023, 8:29 am
Na Zubeda Handrish: Fikiri Manyilizu mwenye umri wa miaka (31) Mkazi wa Muleba Mkoani Kagera amemuomba Waziri wa Afya Mhe Ummy Mwalimu msaada wa matibabu baada ya kuugua ugonjwa wa ajabu ambao umemsumbua kwa muda mrefu. Fikiri anasema katika familia…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.