Storm FM
Storm FM
11 July 2023, 10:21 pm
Dirisha kubwa la usajili limefunguliwa rasmi Julai 1, 2023 kwa ajili ya vilabu nchini kuingiza maingizo mapya yatakayowasaidia katika msimu mpya wa 2023/24, huku mapema vilabu hivyo vikianza usajili na kutangaza hadharani wakati vingine vikisajili kimya kimya. Na Zubeda Handrish…
11 July 2023, 10:32 am
Kutokuwepo kwa mfumo rasmi wa utunzaji wa kumbukumbu za manunuzi na mauzo kwa wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu hali ambayo ilikuwa ikichangia wengi wao kukwepa kodi, serikali imefanya mabadiliko ya sheria ili kila mchimbaji aweze kulipa kodi. Na Mrisho…
10 July 2023, 8:42 pm
Kutokana na changamoto ya muda mrefu ya kutozwa faini iliyokuwa ikiwasumbua waendesha pikipiki katika soko la Nyankumbu mjini Geita hatimaye adha hiyo imetatuliwa baada ya Storm FM kufika na kuripoti changamoto hiyo. Na Kale Chongela Waendesha pikipiki maarufu kwa jina…
10 July 2023, 8:11 pm
Suala la kufuata utaratibu wa mlo kamili ni la muhimu ili kuimarisha afya, ili kutimiza azma ya serikali kuandaa wataalam wabunifu wa kizazi kinachokuja, viongozi mbalimbali wa kiserikali na kiimani wameendelea kusisitiza kuwa lishe si suala la hiari, wanaowaza hivyo…
10 July 2023, 7:20 pm
Wezi katika maeneo mbalimbali mkoani Geita bado ni changamoto huku uongozi katika ngazi mbalimbali ukiendelea kushirikiana na wananchi kwa ukaribu ili kutokomeza vitendo hivyo. Nicolaus Lyankando- Geita Kundi la watu ambao hawakufahamika wamebomoa ghala la chakula na kuiba magunia ya…
10 July 2023, 3:35 pm
Wahitimu wa vyuo mbalimbali vya Biblia wa Muungano wa makanisa ya Kipentekoste Tanzania wametakiwa kutumia ujuzi na elimu ambayo wanaipata kwenye vyuo hivyo kuisaidia jamii. Na Kale Chongela: Askofu Mkuu wa makanisa ya kipentekoste Tanzania Eliaza Issack amewataka wahitimu wa…
9 July 2023, 5:48 pm
Matukio ya ukatili yamekuwa yakiendelea katika maeneo mbalimbali nchini, licha ya juhudi binafsi ya jamii kwa kushirikiana na serikali kuendelea kukemea na kuwachukulia hatua kali wanaofanya vitendo hivyo. Na Said Sindo- Geita Baadhi ya akina mama mtaa wa Ibolelo maarufu…
8 July 2023, 3:57 pm
Ugonjwa wa kifua kikuu (TB) umeendelea kuwa tishio mkoani Geita kutokana na idadi ya watu wanaobainika kuwa na ugonjwa huo kwa mwaka pamoja na idadi ya watu wanaofariki dunia. Na Mrisho Sadick- Geita Watu wanane (8) wanafariki dunia kila mwezi…
7 July 2023, 7:33 pm
Katibu wa ACT- Wazalendo amekuja juu na kutoa shutuma baada ya bendera kadhaa za chama chao kushushwa katika mitaa na barabara za mjini Geita, jambo lililopelekea Katibu wa chama hicho kuzungumzia hilo. Na Said Sindo- Geita Bendera za chama cha…
7 July 2023, 12:12 pm
Kupitia Pekuzi za Mtaa kwa Mtaa (Storm Asubuhi) iliruka taarifa ya mkakanganyiko wa mabadiliko ya uongozi uliotokea kati ya Diwani wa kata ya Tabaruka Sospeter Busumabu na Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Sengerema Binuru Shekhidele kutaka kubadili uongozi nafasi…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.