Storm FM
Storm FM
14 July 2023, 4:05 pm
Mtandao wa Redio Jamii wa TADIO umeendelea kuziimarisha redio hizo kwendana na wakati hususani katika kurusha matangazo kwa njia ya mtandao. Na Mrisho Sadick: Mtandao wa TADIO umeendelea kuijengea uwezo Storm FM wa namna ya kutumia mtandao wa Redio Portal…
14 July 2023, 1:28 pm
Inaelezwa kuwa utulivu , amani , umoja na mshikamano katika taifa umechangiwa kwa kiasi kikubwa na viongozi wa dini kuendelea kuwajenga kiimani wananchi. Na Kale Chongela: Serikali mkoani Geita imesema inatambua mchango wa viongozi wa dini katika kuleta umoja na…
13 July 2023, 9:16 pm
Majonzi yatawala wilayani Bukombe kufuatia ajali ya watu sita kufariki dunia, miili imeendelea kutambuliwa huku serikali ikitoa wito kwa watumiaji wa vyombo vya moto kuzingatia sheria. Na Mrisho Sadick: Kaimu Mganga Mkuu wa wilaya ya Bukombe Mkoani Geita Dkt Timotheo…
13 July 2023, 2:59 pm
Usingizi wa dereva wa gari dogo la abiria Toyota Hiace umekatisha uhai wa watu sita katika kata ya Runzewe wilayani Bukombe mkoani Geita. Na Mrisho Sadick: Watu sita wamefariki dunia na wawili kujeruhiwa baada ya gari dogo aina ya Toyota…
13 July 2023, 1:25 pm
Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato imeendelea kuwa mkombozi mkubwa kwa wananchi wanaozunguka wilaya hiyo huku changamoto mbalimbali zinazoikabili ikiwemo dawa na vifaa tiba zikiendelea kupatiwa ufumbuzi kwa haraka. Na Mrisho Sadick Wataalam kutoka Bohari ya Dawa (MSD) wamefika katika…
13 July 2023, 12:27 pm
Majanga ya moto mkoani Geita yameendelea kujitokeza huku wananchi wakitakiwa kutoa taarifa mapema kwa Jeshi la Zimamoto kwa ajili ya uokozi kwa namba ya bure ya 114. Na Kale Chongela Moto ambao haujajulikana chanzo chake umezuka na kuteketeza vitu vya…
13 July 2023, 9:59 am
Kutokana na mabadiliko ya tabianchi kusababisha kupungua kwa mvua wilayani Chato mkoani Geita, serikali imekuja na njia mbadala ya kilimo cha umwagiliaji ili kuwakomboa wakulima. Na Mrisho Sadick: Serikali imepanga kuboresha mifumo ya umwagiliaji kwa wakulima wanaoishi pembezoni mwa Ziwa…
12 July 2023, 5:27 pm
Vuguvugu na tuhuma kutoka kwa wanachama wa CWT zimekuwa kubwa kwa Rais wa chama hicho na katibu wake, suala lililopelekea Rais huyo kutoka hadharani na kujibia tuhuma zinazomkabili kutoka kwa wanachama wake. Na Said Sindo- Geita Ikiwa imepita wiki moja…
12 July 2023, 1:32 pm
Sikiliza Makala ya Tafakari Pevu iliyoandaliwa na Storm FM kuhusu Dhamana. Makala hii huruka kila siku ya Jumanne saa moja kamili hadi saa moja na dakika thelathini asubuhi na kurudiwa Jumamosi saa nne asubuhi 88.9 Storm FM Sauti ya Geita.…
12 July 2023, 11:32 am
Wananchi Mkoani Geita wametakiwa kutoa taarifa haraka pindi wanapohitaji msaada wa maokozi kutoka Jeshi la Zimamoto na Uokoaji ili kukabiliana na tatizo kabla halijawa kubwa. Na Mrisho Sadick: Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoani Geita limefanikiwa kuudhibiti moto uliyozuka karibu…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.