Storm FM
Storm FM
20 July 2023, 11:05 am
Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita yajipanga kuupokea mwenge wa uhuru kwa kuanza ukaguzi katika miradi yote itakayopitiwa. Na Mrisho Sadick: Mkuu wa mkoa wa Geita, Martin Shigela ameiongoza Kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa, Kamati ya Ulinzi na Usalama…
19 July 2023, 6:23 pm
Inadaiwa kuwa utandawazi ni moja ya njia inayopelekea mila na desturi za kiafrika kusahaulika, na watu wa tamaduni hizo kufuata mambo ya kigeni, hilo limewainua CHAMIJATA kusimama kidete katika kuzilinda tamaduni hizo. Na Kale Chongela- Geita Katika kuendelea kuboresha utamaduni…
19 July 2023, 10:33 am
Matukio ya uhalifu yakiwemo ya wizi na udokozi yameendelea kuwa changamoto katika baadhi ya mitaa na vijiji, jambo lililopelekea Kamanda Jongo kuwataka Polisi kata kuwajibika ipasavyo. Na Said Sindo- Geita Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Geita ACP Safia…
17 July 2023, 10:51 am
Kila mwaka mashindano ya Ligi daraja la tatu yanafanyika kwa maandalizi makubwa na matarajio ya kuikuza Ligi hiyo mkoani Geita, huku moja ya changamoto ikiwa ni kucheleweshwa kuwasilisha bingwa wa wilaya kwa vilabu. Na Amon Bebe- Geita Ligi Daraja la…
16 July 2023, 3:58 pm
Ili Stars iweze kufuzu Kombe la Dunia 2026, inatakiwa kutorudia makosa ya nyuma kwa kuandaa kikosi mapema ikizingatiwa kuandaa mashindano ya vijana kwa wingi, na ndilo hasa lilowaibua wadau. Na Zubeda Handrish- Geita Baada ya Droo ya hatua ya awali…
16 July 2023, 1:17 pm
Matukio ya utapeli katika nyanja mbalimbali yamekithiri ikiwamo katika upande wa upatikanaji wa vifaa vya kuzimia moto na uokoaji, jambo lililomuinua Inspekta Lukuba kuzungumzia hilo. Na Kale Chongela- Geita Jeshi la zimamoto na ukoaji mkoni Geita limewataka wananchi kufika katika…
15 July 2023, 6:51 pm
Ukubwa wa gharama za umeme katika maeneo mbalimbali ya vijijini ni moja ya changamoto inayowanyima fursa wananchi kupata huduma ya umeme. Na Nicolaus Lyankando- Geita Wananchi wanaoishi maeneo ya vijijini katika halimashauri ya wilaya ya mbogwe mkoani Geita wamelalamikia gharama…
15 July 2023, 5:32 pm
Leo ni siku ya 15 tangu kufunguliwa kwa dirisha kubwa la usajili ambapo Julai 1, 2023 rasmi vilabu katika ngazi mbalimbali za ligi ziliruhusiwa kuongeza wachezaji kwaajili ya msimu mpya wa 2023/24. Na Zubeda Handrish- Geita Klabu ya Geita Gold…
15 July 2023, 4:43 pm
Mjadala wa Serikali ya Tanzania kutaka kuingia makubaliano na serikali ya dubai kupitia Kampuni ya DP World ya uboreshaji na uendelezaji wa Bandari bado unaendelea huku wabunge wakiendelea kuwatoa hofu wananchi. Na Mrisho Sadick: Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini…
14 July 2023, 4:24 pm
Katika uchaguzi wa wa uongozi katika nyadhifa mbalimbali ukiwemo wa mtaa, viongozi hunadi sera zao kwa wananchi ili waweze kupigiwa kura za kuwahudumia wananchi wa eneo husika, Je ahadi huwa zinatekelezwa? Na Zubeda Handrish- Geita Kufuatia utaratibu wa Kipindi cha…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.