Storm FM
Storm FM
28 August 2023, 9:07 am
Changamoto ya kupatikana kwa maji safi na salama vijijini, imechangia kwa kiasi kikubwa mradi wa maji wa miji 28 kuanzishwa.Na Adelina Ukugani- GeitaJumla ya wakazi laki sita na thelathini na nane mia tatu na ishirini na mbili (638,322 ) wanatarajia…
27 August 2023, 12:33 pm
Changamoto ya barabara za mitaa katika mamlaka ya mji mdogo wa Katoro imekuwa ya muda mrefu kiasi cha wananchi wa eneo hilo kuibuka tena na kutoa ya moyoni. Na Zubeda Handrish- Geita Baadhi ya wananchi wa kata ya Ludete katika…
25 August 2023, 9:08 am
Kupanda kwa bei ya nafaka imechangia kupungua kwa kasi ya biashara katika soko la Nyankumbu mjini Geita.Na Adelina Ukugani- Geita Wafanyabiashara wa nafaka katika soko la asubuhi la Nyankumbu mjini Geita wamelalamikia kupanda kwa bei ya mazao hayo hali inayochangia…
24 August 2023, 8:30 pm
Ukata wa kifedha umekuwa changamoto kubwa kwa klabu mpya ya ligi kuu ya wanawake ya Geita Gold Queens ya hapa mkoani Geita, na kumuinua Mwenyekiti wa Chama cha Soka Geita kuwaomba wadau msaada. Na Zubeda Handrish- Geita Klabu ya wanawake…
23 August 2023, 8:19 pm
Kukosekana kwa maji katika kijiji cha Chabulongo kumewatia moyo viongozi wa Kanisa la TAG Chabulongo kutoa msaada. Na Kale Chongela-Geita Wakazi zaidi ya 360 kunufaika na mradi wa maji katika mta wa Chabulongo, kata ya Bung’hwangoko mradi ambao umefadhiliwa na…
23 August 2023, 11:55 am
Changamoto ya maji safi na salama bado ni changamoto katika baadhi ya wilaya mkoani Geita, Licha ya ukosefu wa maji akini pia chumvi ipo. Na Kale Chongela- Geita Wananchi wa Kijiji na Kata ya Bumwang’oko Halmashauri ya mji wa Geita,…
21 August 2023, 9:06 am
Inadaiwa kibubu hakiwezi kutoa usalama wa moja kwa moja kama benki, huku kikidaiwa kupoteza fedha zilizohifadhiwa ndani yake , hili limewainua wauza vibubu na kutolea ufafanuzi. Na Zubeda Handrish- Geita Mfanyabiashara wa Vibubu katika soko la Nyankumbu la jioni amezungumzia…
20 August 2023, 9:58 pm
Afya ya kinywa na meno ni muhimu katika maendeleo ya taifa, kwani bila ya afya njema hata utendaji hautawezekana. Na Zubeda Handrish- Geita Mganga Mkuu wa mkoa wa Geita (RMO) Omari Sukari amewataka wataalamu na watoa huduma katika kitengo cha…
18 August 2023, 6:08 am
Uchafuzi wa mazingira ni kikwazo kwa maendeleo ya mitaa kwani ni chanzo pia cha magonjwa ya mlipuko. Na Kale Chongela- Geita Wakazi wawili mmoja akijulikana kwa jina la Mama Nelson wakazi wa Mtaa wa Ujamaa Halmashauri ya Mji wa Geita…
17 August 2023, 1:12 pm
Kuelekea msimu mpya wa mvua wananchi wilayani Mbogwe wamezihofia barabara zao zikiwemo zilizotelekezwa kwa muda mrefu huenda zikawapa changamoto iwapo hazitafanyiwa marekebisho. Na Nicholous Lyankando: Wananchi wa vijiji vya Ikunguigazi na Nyikonga wilayani Mbogwe mkoani Geita wamesikitishwa na kitendo cha…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.