Storm FM
Storm FM
21/09/2023, 17:33
Washiriki kutoka mataifa mbalimbali kama vile China, Rwanda, Burundi na mengineyo yameshiriki maonesho hayo ya 6 yaliyoanza rasmi mwaka 2018. Na Zubeda Handrish- Geita Mkuu wa Mkoa wa Geita Martin Shigela amesema kuwa maonesho ya dhahabu ambayo yameanza jana Septemba…
20/09/2023, 14:58
Serikali Mkoani Geita imetoa tahadhari kwa watu wenye makazi duni kuhakikisha wanaboresha makazi yao ili kuepuka madhara kutokana na mvua zilizoanza kunyesha nakuleta madhara kwa baadhi ya wananchi. Na Mrisho Sadick: Siku chache baada ya Nyumba kadhaa kuezuliwa na mvua…
19/09/2023, 22:44
Changamoto ya wakulima na wafugaji bado imeendelea kusumbua katika baadhi ya maeneo mkoani Geita. Na Said Sindo- Geita Wakulima wa kijiji cha Chikobe kata ya Nyachiluluma, wilayani na mkoani Geita wamesema wapo hatarini kukumbwa na njaa baada ya mashamba yao…
18/09/2023, 22:31
Shule ya sekondari Lutozo iliyopo katika Mamlaka ya mji mdogo Katoro, ina walimu wawili wa bailojia ambao hulazimika kufundisha wanafunzi 2,049 yenye jumla ya mikondo 26 kuanzia kidato cha kwanza mpaka kidato cha nne. Na Said Sindo- Geita Shule hiyo…
17/09/2023, 14:20
Wilaya ya Nyang’hwale imeanza kudhibiti changamoto ya watoto wa kike kuozeshwa baada ya kumaliza mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi mwaka huu. Na Mrisho Sadick: Mkuu wa wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita Grace Kingalame ametoa onyo kwa wazazi na walezi…
17/09/2023, 13:47
Changamoto ya taa katika viwanja vinavyotumika na vilabu vya Ligi kuu ya NBC ni ya pili kutokea, baada ya ile iliyotokea katika Dimba la Benjamin Mkapa linalotumiwa na vigogo wa soko la Tanzania Simba SC na Yanga SC. Na Zubeda…
16/09/2023, 23:20
Katika kuelekea miaka 9 ya uwepo wa Kituo cha redio cha Storm FM mkoani Geita, tunayo furaha kukufahamisha juu ya uwepo wa kipindi kipya cha “Sauti Ya Tiba” ambacho kitajikita katika kutoa elimu na taarifa sahihi juu ya magonjwa mbalimbali. Na…
16/09/2023, 13:21
Ubunifu wa ujenzi wa miradi kupitia fedha za TASAF umekuwa na matokeo chanya hususani maeneo ya vijijini ambayo yalikuwa yakikabiliwa na changamoto ya huduma za jamii kama afya, maji na elimu. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa kijiji cha Ishololo wilayani…
14/09/2023, 12:50
Mgodi wa Buckreef umechukua eneo la wananchi wa Lwamgasa lenye kilomita za mraba 12 kwa ajili ya kupanua shughuli za uzalishaji wa mgodi huo. Mgodi wa Uchimbaji madini ya dhahabu wa buckreef uliopo kata ya Lwamgasa Jimbo la busanda wilaya…
13/09/2023, 20:23
Uchunguzi umeanza kufanyika kwa watumishi wa umma waliohama vituo vyao vya kazi kwa njia za udanganyifu nakukimbilia mjini. Na Mrisho Sadick – Geita Serikali imesema itawachukulia hatua kali ikiwemo kuwafuta kazi baadhi ya watumishi wa umma waliotumia nyaraka feki za…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.