Storm FM
Storm FM
3 August 2023, 4:28 pm
Katika kukabiliana na changamoto ya huduma za afya katika Kata ya Nyankumbu, serikali kupitia Halmashauri ya mji wa Geita imefanya upanuzi kwa kuongeza majengo nakununua Gari la kubebea wagonjwa. Na Mrisho Sadick: Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa…
2 August 2023, 11:52 pm
Mwenge wa Uhuru umeanza kukimbizwa mkoani Geita Agosti 02,2023 na utakimbizwa kwa siku sita katika halmashauri sita za mkoa huo kisha kukabidhiwa Agosti 08 mwaka huu mkoani Kagera. Na Mrisho Sadick: Wakazi zaidi ya Eefu nane (8,000) wa kijiji cha…
2 August 2023, 1:50 pm
Siku chache zilizopita ilitokea changamoto ya uhaba wa mafuta ya petroli na dizeli mkoani Geita na Tanzania, licha ya Waziri wa Nishati Mhe. January Makamba kuthibitishiwa kuwepo kwa mafuta ya kutosha kwenye maghala ya kuhifadhia mafuta nchini. Na Zubeda Handrish-…
2 August 2023, 9:13 am
Baadhi ya wachimbaji wadogo wamekuwa na utamaduni wa kuweka pesa ndani, jambo linalotishia usalama wa fedha zao na fursa hiyo kutumiwa na benki ya TCB huku ikija na mpango wa mikopo nafuu kwa wachimbaji. Serikali mkoani Geita imewataka wachimbaji wadogo…
1 August 2023, 10:45 pm
Wakulima wa pamba wamelalamikia kutapeliwa pesa zao za mauzo, hali iliyopelekea TAKUKURU kuingilia kati. Na Kale Chongela- Geita Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoa wa Geita imefanikiwa kuokoa zaidi ya Shilingi Milioni 11 zilizokuwa zimetapeliwa na viongozi…
1 August 2023, 6:46 pm
Geita Gold FC imeweka kambi mkoani Morogoro ikiendelea na maandalizi ya msimu mpya wa Ligi 2023/24. Na Zubeda Handrish- Geita Mchezo wa kirafiki kati ya Geita Gold FC dhidi ya Kilombero Stars ulioanza majira ya saa 10:00 jion katika Dimba…
31 July 2023, 5:40 pm
Bajeti zinazopitishwa na halmashauri ya wilaya ya Geita na Mji wa Geita zimetakiwa kuzingatia vipaumbele vya ujenzi wa vituo vya polisi kila kata wilayani humo ili kukabiliana na vitendo vya uvunjifu wa amani. Na Mrisho Sadick: Wilaya ya Geita imeweka…
31 July 2023, 4:51 pm
Serikali ya awamu ya sita imeendelea kuwekeza katika huduma za afya kwa kujenga hospitali katika maeneo yenye idadi kubwa ya watu ikiwemo mamlaka ya mji mdogo wa Katoro wilayani Geita. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa mamlaka ya mji mdogo wa…
29 July 2023, 10:20 pm
Uduni wa vifaa vya uokozi kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoani Geita inachangia kulifanya Jeshi hilo kushindwa kufanya kazi kwa ufanisi. Na Alex Masele: Maduka matatu ya wafanyabiashara katika mji wa Ushirombo Halmashauri ya wilaya Bukombe Mkoani Geita yameteketea…
28 July 2023, 9:15 am
Kwa mara nyingine tena vilabu vya Tanzania vinakwenda kuiwakilisha nchi katika michuano ya CAF kwa upande wa Klabu Bingwa na Kombe la Shirikisho, Je watafika mbali? Na Zubeda Handrish- Geita Droo ya hatua mbili za awali za michuano ya Ligi…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.